Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,186
- 10,922
Mmoja ya mtu muhimu katika baraza la kuongoza vita baina ya Israel na Hamas amesema usalama wa mateka uwekwe mwanzo kabla maamuzi ya kuendeleza vita na Hamas,
Kiongozi huyo,Gadi Eisenkot ambaye mtoto wake mwenye miaka 25 na mjomba wake waliuliwa vitani mwezi uliopita ametishia kujitoa kwenye baraza hilo na kutaka uchaguzi uitishwe haraka ili kutoa maamuzi juu ya uongozi wa Benjamin Netanyahu.
Msimamo wa Gadi ndio msimamo wa wanachi wa Israel walio wengi ambao unakinzana na wakereketwa wa chama cha Likud kinachoongozwa na Benjamin Netanyahu ambao wanashinikiza vita viendelee mpaka ushindi dhidi ya Hamas upatikane.
Gadi Eisenkot ni general mstaafu wa IDF na aliyepata umaarufu sana katika jeshi hilo.
Miongoni mwa kauli za Gadi Eisenkot kuhusu vita vinavyoendelea ni hii
“Whoever speaks of the absolute defeat [of Hamas in Gaza] and of it no longer having the will or the capability [to harm Israel], is not speaking the truth. That is why we should not tell tall tales,” Eisenkot said.
Kiongozi huyo,Gadi Eisenkot ambaye mtoto wake mwenye miaka 25 na mjomba wake waliuliwa vitani mwezi uliopita ametishia kujitoa kwenye baraza hilo na kutaka uchaguzi uitishwe haraka ili kutoa maamuzi juu ya uongozi wa Benjamin Netanyahu.
Msimamo wa Gadi ndio msimamo wa wanachi wa Israel walio wengi ambao unakinzana na wakereketwa wa chama cha Likud kinachoongozwa na Benjamin Netanyahu ambao wanashinikiza vita viendelee mpaka ushindi dhidi ya Hamas upatikane.
Gadi Eisenkot ni general mstaafu wa IDF na aliyepata umaarufu sana katika jeshi hilo.
Miongoni mwa kauli za Gadi Eisenkot kuhusu vita vinavyoendelea ni hii
“Whoever speaks of the absolute defeat [of Hamas in Gaza] and of it no longer having the will or the capability [to harm Israel], is not speaking the truth. That is why we should not tell tall tales,” Eisenkot said.