Wajumbe Kamati Kuu CHADEMA wamuonya Zitto.

Wajumbe Kamati Kuu CHADEMA wamuonya Zitto.

Chadema waache ujinga mbona mbowe na babu slaa wako mikoan?Zitto habomoi chama bali anawaeleza ukweli wananchi wake na watanzania kwa ujumla!
 
Mikutano inaandaliwa na CCM, NCCR CUF na PM7. kwa makubaliano kwamba hakuna mbendera ya CDM kupepea..
 
Mkuu Tatizo Nyinyi Wa Mjini, Ungeishi Kijijini Kidogo Tu Ungejionea, Zitto Anaushawishi Kuliko Mtu Yeyote Unae Mjua Kwa Mikoani. Haujui Chochote Kuhusu Zitto, Kizibo Wewe Rudi Iringa Ebony Wanakuhitaji!
ushawishi upi alionao kwa nini uchaguzi mkuu hakuutumia hadi CDM ikaambulia jimbo moja tu la kwake tena hata yeye huyo STAA wenu alipata less 50 percent ya. Kura zote za ubunge jimboni kwake, ustaa upi ka si siasa za kuchumia tumbo
 
ziara zote za viongozi na wabunge wa chadema ni lazima ziruhusiwe na zipate baraka ya chama!

Molemo weka hapa kipengele cha katiba yenu kinacho ongea haya na utwambia hao wajumbe wa kamati kuu walio sema haya.

Chadema acheni kuendesha chama kama kampuni.
 
Last edited by a moderator:
Zitto ana mawazo kama ya Sultani Makenga au ya Koffie Olomide anavaa suti nzuri chini anavaa raba na kofia ya jua .Zitto ana pambana kuonyesha CCM kwamba bado ana kubalika Chadema .Chadema mkateni na kumtosa aende CCM .

Mzee Zuberi Magoha weka kipengele kwenye katiba ya chadema kilicho vunjwa kwa kufanya mkutano na kuongea na wananchi wake.
 
Last edited by a moderator:
Zitto ana mawazo kama ya Sultani Makenga au ya Koffie Olomide anavaa suti nzuri chini anavaa raba na kofia ya jua .Zitto ana pambana kuonyesha CCM kwamba bado ana kubalika Chadema .Chadema mkateni na kumtosa aende CCM .

Mzee Zuberi Magoha weka kipengele kwenye katiba ya chadema kilicho vunjwa kwa kufanya mkutano na kuongea na wananchi wake.
 
Last edited by a moderator:
je mkutano wa kasulu ndo kuongea na wananchi wake? Mkuu weka ushabiki pembeni, angalia kwa macho manne jambo hili utajua kilichojificha nyuma ya pazia!

ok twambie amevunja kipengele gani kwenye katiba ya chadema.
 
Zitto silolote... maccm yanampa kichwa.na kwakuwa hakuna nafas ya tawi la ccm ndan ya CDM zitto lazima atoswe.
 
Chadema bana kwa udikteta yaani mbunge kwenda kufanya mkutano jimboni kwake ni makosa, Lema akipokelewa na wapiga kura wake sawa lakini Zitto anaonywa.
 
Ni ibara ipi ya katiba ya Chadema inasema mbunge kwenda kuongea na wapiga kura wake aombe ruhusu kamati kuu.
 
Point ni ziara zitambulike na chama,ushabiki usikupunguzie uwezo wa kufikiri,Sugu anafanya hizo ziara kwa uratibu wa chama na malengo ambayo chama imeridhia sasa nini malengo ya ziara ya MM?

Mara ngapi chama chetu kimefanya maandano bila kibali?
 
Eti mkutano wa kitaifa Kasulu - yaani ghafla amegeuka na kuwa mtendaji wa serikali unakagua miradi ya maendeleo? kamati kuu habu tuondoleeni hiki kirus kinachojipima ubavu na nyie fasta
 
Kanuni za chama nyie mnazijua?Mwenyekiti anavojilipa fedha kupitia ruzuku ni kwa utaratibu upi?
Siamini analyst yoyote anaweza kutoa comment kma za wale wanaomponda zitto
najua hawa wametumwa na kina mnyika mzee wa majungu ndo maana hanenepi.
 
Ninaimani wakati wowote kuanzia sasa cc itakutana kupitia utete wa Zitto na wenzake kisha mjadala juu ya Zitto na historia ya siasa zake ndani ya Chadema vitafungwa kwa yeye kufukuzwa rasmi,

Hamna haja ya kupitia hata huo utetezi maana akili yako inakwambia atafukuzwa tu.

Ila CDM haitabaki salama. Dhambi hiyo itawatafuna.
 
Ninaimani wakati wowote kuanzia sasa cc itakutana kupitia utete wa Zitto na wenzake kisha mjadala juu ya Zitto na historia ya siasa zake ndani ya Chadema vitafungwa kwa yeye kufukuzwa rasmi

KWENYE BLUE UMETUONESHA KUWA KAMATI KUU YA CHADEMA IMESHAFANYA MAAMUZI KABLA YA KUSIKILIZA UTETEZI.
PIA UMEONESHA KUWA UTETEZI WAKE HAUTO SIKILIZWA KABISA NA HAUTO BATILISHA MAAMUZI WALIO YA FANYA NI WAZI ILIKUWA NI DANGANYA TOTO KUSEMA KUWA WATAWAPA NAFASI ZA KUJITETEA.

KWENYE RED UMEONESHA WANATAKIWA KUJITETEA LAKINI UMESAHAU KUWA WANAWEZA KUSHINDA NA UMEONGOZWA NA HISIA UKAJIKUTA UNAONGEA KWENYE BLUE.

NINACHO WAPENDEA VIJANA WA BAVICHA WANAJUA KUTOA SIRI ZA CHAMA CHAO , KUMBE KAMATI KUU ILISHAFANYA MAAMUZI.

CHADEMA HUU UNYANYASAJI UTAWATESA SANA NA HILI NDILO KABURI LENU.

cc
CHAMVIGA, Pasco, MSALANI Ritz mwekundu, Tumaini Makene, Dr.W.Slaa.
 
Last edited by a moderator:
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA wamemuonya aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu Zitto Kabwe kwa ukiukwaji wa waziwazi wa taratibu za chama hicho.

Wakizungumza kwa nyakati Tofauti wajumbe hao wameshangazwa na kitendo cha Zitto Kabwe kujiandalia ziara zenye mwelekeo hasi kwa chama hicho.

Ikumbukwe kwamba Zitto amefukuzwa nafasi zote za Uongozi ndani ya Chadema na yeye ni mbunge tu wa Kigoma Kaskazini huku akisubiri huruma ya Kamati Kuu kuhusu uanachama wake.

Kilichoshangaza zaidi ni kitendo cha Zitto Kabwe kufanya ziara Jimbo la Kasulu bila kutaarifu Chama huku mashabiki wake wakiutumia mkutano huo kukashifu chama na viongozi wake.

Kitendo kinachofanyika hakikubaliki na ni ukiukwaji mkubwa wa Kanuni na taratibu za chama.

Katika hali ya kuonyesha kinachofanywa ni mkakati wa kuangamiza Chadema Gazeti la Jamboleo Toleo la Jumapili linalomilikiwa na Kada wa CCM katika habari kuu limeandika "Zitto aimaliza CHADEMA" likiripoti yanayotokea Kigoma.

ZZK has to read this from the Holy Bible: Daniel 5

25-"This is the inscription that was written:
MENE, MENE, TEKEL, PARSIN

26-"Here is what these words mean:
Mene : God has numbered the days of your [ZZK] reign and brought it to an end.

27- Tekel : You [ZZK] have been weighed on the scales and found wanting.

28- Peres : Your [ZZK] kingdom is divided and given to the Medes and Persians."
 
Mh..... Sasa hilo gazeti linaandika zito aimaliza chadema, kwani zito sio mwanachama wa chadema tena?

Huyu zito sifa zimemzidi na zitamponza siku sio nyingi

Inategema aliongea nini hata ikamfanya aseme hivyo. May he was negative. Zitto anazidi kujimaliza kisiasa.
 
Zitto anatisha jamani kama fukushima! Kamvua nguo Dr.Slaa. umati ule wa wanakasulu ni ujumbe tosha tu.

Najua CC haitamfukuza tu,ila itamchapa na viboko maana panchi zote zimeyeyuka.
 
Back
Top Bottom