Jof3
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 656
- 313
Huyu siku zake zinahesabika.
yule ni mwanasimba kwahiyo ushindi kwake lazima. Mbona siku 14 mlizompa zimeisha au mnamuogopa
Huyu siku zake zinahesabika.
Muacheni kijana awatumikie wananchi.Mh..... Sasa hilo gazeti linaandika zito aimaliza chadema, kwani zito sio mwanachama wa chadema tena?
Huyu zito sifa zimemzidi na zitamponza siku sio nyingi
Zito janga kubwa la taifa
Muacheni kijana awatumikie wananchi.
Ndio maana hua nasema kuwa Baadhi ya Waandishi WA Habari WA Tanzania ni zaidi ya Ibilisi, sasa hapo Jambo Leo wameandika utumbo gani? Je wakati wanaandika walifikiria impact ya utumbo kwa Jamiii maskini?????
Kama angetulia ningemwona mstaarabu lakini anachofanya ndicho kitakachomvua uanachama muda si mrefu.
yule ni mwanasimba kwahiyo ushindi kwake lazima. Mbona siku 14 mlizompa zimeisha au mnamuogopa
Kaa kimya wewe , usisahau kuwa slaa ni katibu mkuu wa chama... Sasa huyo mnafiki wenu vipi? Afu kwanini msimshauri akaanzishe chama chake jamani?
Hapo kwenye Red: Huruma ya nini, si mumfukuze? kwani siku 14 hazijaisha?
Hapo kwenye green: Slaa alienda Jimbo la Zitto bila mwenyeji wake kuwepo. Je hapo FAIR PLAY ikowapi? CHADEMA mmecheza Faulo na Zitto naye anacheza faulo.(Nakumbuka enzi za miaka ya 1970 mechi kati ya Uruguay & Paraguay kuanzi golikipa hadi namba 11 wote wanapiga buti)
Hapo mimi naona kama Ngoma imekuwa droo.
Labda kama amevunja katiba ya CDM, lakini Katiba ya JMT, sheria msma inasema kila raia ana uhuru wa kwenda popote, kukutana na mtu au kikundi cha watu ili mradi havunji sheria
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA wamemuonya aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu Zitto Kabwe kwa ukiukwaji wa waziwazi wa taratibu za chama hicho.
Wakizungumza kwa nyakati Tofauti wajumbe hao wameshangazwa na kitendo cha Zitto Kabwe kujiandalia ziara zenye mwelekeo hasi kwa chama hicho.
Ikumbukwe kwamba Zitto amefukuzwa nafasi zote za Uongozi ndani ya Chadema na yeye ni mbunge tu wa Kigoma Kaskazini huku akisubiri huruma ya Kamati Kuu kuhusu uanachama wake.
Kilichoshangaza zaidi ni kitendo cha Zitto Kabwe kufanya ziara Jimbo la Kasulu bila kutaarifu Chama huku mashabiki wake wakiutumia mkutano huo kukashifu chama na viongozi wake.
Kitendo kinachofanyika hakikubaliki na ni ukiukwaji mkubwa wa Kanuni na taratibu za chama.
Katika hali ya kuonyesha kinachofanywa ni mkakati wa kuangamiza Chadema Gazeti la Jamboleo Toleo la Jumapili linalomilikiwa na Kada wa CCM katika habari kuu limeandika "Zitto aimaliza CHADEMA" likiripoti yanayotokea Kigoma.
Labda kama amevunja katiba ya CDM, lakini Katiba ya JMT, sheria msma inasema kila raia ana uhuru wa kwenda popote, kukutana na mtu au kikundi cha watu ili mradi havunji sheria
Haikubaliki kuandaa mikutano bila ridhaa ya chama.
Zitto amekiuka chama kichukue hatua stahiki.
Hivi siku hizi mtu aruhusiwi kufanya mikutano jimboni kwake au hata nje ya jimbo lake bila ruhusa ya Chama chake? Inakuwaje viongozi wengine wa CHADEMA wafanye mikutano wakiongelea masuala haya ya zitto lakini yeye hasiruhusiwe!
Hivi siku hizi mtu aruhusiwi kufanya mikutano jimboni kwake au hata nje ya jimbo lake bila ruhusa ya Chama chake? Inakuwaje viongozi wengine wa CHADEMA wafanye mikutano wakiongelea masuala haya ya zitto lakini yeye hasiruhusiwe!