Hao wajumbe wa CC ndio kina nani?, who are they to Zitto?!. Hii ni kauli ya kuhalalisha kile ambacho tayari waliisha kipanga!, washauri waendelee tuu kutimiza kile walichokipanga na kusubiria matokeo!.
Vita imeishatangazwa!, sasa ni ama zake, ama zao!. Wanafikiri Zitto ni the begging type akae kimya kuisubiria hatima yake, kwa vile majaaliwa ya Zitto ndani ya Chadema, yako mikononi mwa CC hivyo Zitto asubirie huruma yao!, no way!. Zitto is the fighting type and he takes the bull by its horns!.
Watu wanaozungumza kupitia watu, "They can just go to hell!"
Ule muda wa kuwalisha watu maneno kwa tisha toto za "fulani" kasema, umepita!.
Sasa ni muda wa ama kusema uhesabiwe, au kukaa kimya na kusubirianeni humo vikaoni!.
Pasco