Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
Ukiwa kama mwanaCCM huwezi kufahamu taratibu za Chadema!
Taja ni kifungu gani cha katiba ya CDM kilichovunjwa na Zitto otherwise acha kurusha mate.
Ukiwa kama mwanaCCM huwezi kufahamu taratibu za Chadema!
Kaa kimya wewe , usisahau kuwa slaa ni katibu mkuu wa chama... Sasa huyo mnafiki wenu vipi? Afu kwanini msimshauri akaanzishe chama chake jamani?
Laiti angeishia Jimbo lake la Kigoma Kaskazini ingeeleweka kwa kuwa yeye ni mbunge wa Jimbo hilo.Lakini Kasulu wapi na wapi huku akiwa hana madaraka yoyote ndani ya chama?
Hapa kuna Tofauti gani na Shibuda aliyekuwa anajiamulia kuhutubia majukwaa ya CCM?
Jambo lingine ni kwanini akiwa kama Mbunge asiungane na Katibu Mkuu wa chama chake aliyeko ziarani Kanda ya Magharibi huko Tabora??
Sielewi kwanini watu hawaoni hivi vitendo vya Zitto ni tatizo!!
Sidhani kama kuna mbunge wa CCM anaweza kwenda kufanya mikutano kwenye majimbo mengine tu nje ya utaratibu wa CCM.
Sawa endeleeni kumuonea aibu kumwambia ukweli.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepitisha mpango mkakati wake wa kuelekea kushika dola mwaka 2015 kwa kumega madaraka ya makao makuu katika kanda kumi. Maazimio hayo yalipitishwa na Kamati Kuu (CC) juzi kwa agenda moja kubwa ambayo ni kupitisha mpango mkakati wa mwaka 2013 ili kushinda chaguzi zote kuanzia serikali za vitongoji, vijiji na mitaa mwaka 2014 na Uchaguzi Mkuu 2015.
Huyu mtu sijuin kwanini chama kinamlea kwa kiwango hiki. Huko Kigoma Kaskazini angalau inaweza kueleweka kwamba alikwenda kuongea na wapiga kura wake lakini maeneo mengine anakwenda kama nani? Kama anakwenda kama mwananchi huru au mwanachama wa CCM na ieleweke hivyo na sio kwenda kwa mwamvuli wa chama huku akifanya yaliyo kinyume na kanuni za chama anachojifanya kukipigania.
Kamati kuu inamuunga mkono,baraza kuu lina muunga mkono na hata mkutano mkuu unamkubi zitto kama Icon of transformation,hizo molemo unazosema ni hekaya za Mbowe na Vibaraka wake,chadema inaamini ktk nguvu ya umma,acheni nguvu ya umma iamue na si vikao vya chumbani vyenye maslahi ya wachache tu. Mwache Zitto atimize wajibu wake ,ninyi endeleeni na majungu pamoja na mikakati haramu ya kumhujumu kisiasa kwa kisingizio cha usaliti lkn hata mwana kijiji amewaonya ktk makala zake hapa JF.
Hivyo vibali vya mikutano na maandamano anaombea kwa kibali kipi? Anaomba kama kiongozi gani ndani ya chama?
Kuna sheria inayoruhusu mtu yeyote kwenda popote kuomba vibali vya mikutano na maandamano bila kushirikisha chama??
Mtu asiende mkoani kwao?wivu tu
Utaratibu wa chama ndiyo upi huo?.Sielewi kwanini watu hawaoni hivi vitendo vya Zitto ni tatizo!!
Sidhani kama kuna mbunge wa CCM anaweza kwenda kufanya mikutano kwenye majimbo mengine tu nje ya utaratibu wa CCM.
Sawa endeleeni kumuonea aibu kumwambia ukweli.