Fungo N.
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 252
- 43
Kabisa... Ogopa sana mtu mnafiki ndugu yangu... Mnafiki anakuua huku anakuchekea.... Zito ni zaidi ya janga.... Ni mnafiki.... Muongo.... Ana roho mbaya sana
hiki kirus tutakiskan muda si mrefu
Kabisa... Ogopa sana mtu mnafiki ndugu yangu... Mnafiki anakuua huku anakuchekea.... Zito ni zaidi ya janga.... Ni mnafiki.... Muongo.... Ana roho mbaya sana
hivi ni kipengele gani kimevunjwa?Point ni ziara zitambulike na chama,ushabiki usikupunguzie uwezo wa kufikiri,Sugu anafanya hizo ziara kwa uratibu wa chama na malengo ambayo chama imeridhia sasa nini malengo ya ziara ya MM?
Hizi bangi za kuvutia chooni ndio shida yake hii kijana punguza/acha hii kitu:mvutaji:Ninaimani wakati wowote kuanzia sasa cc itakutana kupitia utete wa Zitto na wenzake kisha mjadala juu ya Zitto na historia ya siasa zake ndani ya Chadema vitafungwa kwa yeye kufukuzwa rasmi,
Hao wajumbe ni kina nani,wapo wangapi na wamesema wapi? Mbona sugu anakujaga huku songea kufanya mikutano na hana cheo chochote zaidi ya ubunge wa mbeya? Wapi zitto kakashifu viongozi wa chama,kama wafuasi wake mbona yeye anatukanwa pia?
Ninaimani wakati wowote kuanzia sasa cc itakutana kupitia utete wa Zitto na wenzake kisha mjadala juu ya Zitto na historia ya siasa zake ndani ya Chadema vitafungwa kwa yeye kufukuzwa rasmi,
Kabisa... Ogopa sana mtu mnafiki ndugu yangu... Mnafiki anakuua huku anakuchekea.... Zito ni zaidi ya janga.... Ni mnafiki.... Muongo.... Ana roho mbaya sana
Ninaimani wakati wowote kuanzia sasa cc itakutana kupitia utete wa Zitto na wenzake kisha mjadala juu ya Zitto na historia ya siasa zake ndani ya Chadema vitafungwa kwa yeye kufukuzwa rasmi,
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA wamemuonya aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu Zitto Kabwe kwa ukiukwaji wa waziwazi wa taratibu za chama hicho.
Wakizungumza kwa nyakati Tofauti wajumbe hao wameshangazwa na kitendo cha Zitto Kabwe kujiandalia ziara zenye mwelekeo hasi kwa chama hicho.
Ikumbukwe kwamba Zitto amefukuzwa nafasi zote za Uongozi ndani ya Chadema na yeye ni mbunge tu wa Kigoma Kaskazini huku akisubiri huruma ya Kamati Kuu kuhusu uanachama wake.
Kilichoshangaza zaidi ni kitendo cha Zitto Kabwe kufanya ziara Jimbo la Kasulu bila kutaarifu Chama huku mashabiki wake wakiutumia mkutano huo kukashifu chama na viongozi wake.
Kitendo kinachofanyika hakikubaliki na ni ukiukwaji mkubwa wa Kanuni na taratibu za chama.
Katika hali ya kuonyesha kinachofanywa ni mkakati wa kuangamiza Chadema Gazeti la Jamboleo Toleo la Jumapili linalomilikiwa na Kada wa CCM katika habari kuu limeandika "Zitto aimaliza CHADEMA" likiripoti yanayotokea Kigoma.
Kama ulieanzisha uzi huu ni mwanachadema haswaaa! basi zito kweli anawapa presha na mnawasiwasi mkubwa , kwanini msikae kimya mbona wabunge mbalimbali wanafanya ziara nje ya majimbo yao! hajaweka bendela ya chama mnalalamika angeweka cndio mngemsakama hana ridhaa ya kufanya mikutano. Hebu muacheni kijana wa kitanzania afanye yake kama hajamtukana mtu kinacho wawasha nini? Yani mnakera sana wanachadema msio na uvumilivu wa kisiasa muacheniii
Ninaimani wakati wowote kuanzia sasa cc itakutana kupitia utete wa Zitto na wenzake kisha mjadala juu ya Zitto na historia ya siasa zake ndani ya Chadema vitafungwa kwa yeye kufukuzwa rasmi,
ni kipengele kipi cha chadema kina kataza mtu kuongea na wananchi wake?
Chadema huu unyanyasaji mnaomfanyia zitto utawaangamiza.
Too pathetic, too bad.
Kiongozi wa chama asiyekuwa na ushirikiano au mawasiliano na wenzake ktk shughuli za kichama ni hatari sana. Huyo hafai.
Kulikuwa na umuhimu wa japo kutoa taarifa kwa uongozi wa chama, ndio ustaatabu na taratibu zinavyoelekeza.
Anyway, huyu tushajua anatapatapa
Just like that?Muulizeni Mbowe kwanini anasita kumfukuza mpaka leo hii,Anajua!Anajua kuwa akimfukuza Zitto uchafu wao wote utaanikwa hadharani.Pindi Watanzania wasiomfahamu vyema Billicanas Boy wakishamfahamu tu mmoja baada ya mwingine watakikimbia Chama.Mbowe will be the last person to let Zitto go since it's Zitto who hold Mbowe's political life.
Namshangaa Zitto kufanya mikutano nje ya jimbo lake la Kigoma Kaskazini kama ambavyo nisingemwelewa Dr. Kitila angeenda Singida
Zitto ameenda Kasulu kama nani?si naibu k/mkuu na kama ni umaarufu wake angeshirikisha CDM makao makuu