Mnyabwilo
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 720
- 256
Laiti angeishia Jimbo lake la Kigoma Kaskazini ingeeleweka kwa kuwa yeye ni mbunge wa Jimbo hilo.Lakini Kasulu wapi na wapi huku akiwa hana madaraka yoyote ndani ya chama?
Hapa kuna Tofauti gani na Shibuda aliyekuwa anajiamulia kuhutubia majukwaa ya CCM?
Jambo lingine ni kwanini akiwa kama Mbunge asiungane na Katibu Mkuu wa chama chake aliyeko ziarani Kanda ya Magharibi huko Tabora??
Kwanini katibu mkuu hasiungane na zitto wakati anaenda kigoma....jaribu kujiuliza swali lako upande wa pili