mjombajona
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 262
- 50
Ila sasa na nyinyi CHADEMA wiki hili mfanye kweli suala la Zitto liishe. Mfukuzeni kama ambavyo tunategemea au mwacheni ionekane munamwogopa, (nadhani hamtafanya kosa hili).
Bunge limekwisha lililokuwa linawabana nafasi ya kukutana, sasa mfanye kweli wiki hii tumechoshwa na hili suala la Zitto!
Bunge limekwisha lililokuwa linawabana nafasi ya kukutana, sasa mfanye kweli wiki hii tumechoshwa na hili suala la Zitto!