Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 744
Hii ni aibu ya kukosa vision ya kawaida kabisa.
Tangu lini ni dhambi kwa mbunge kwenda kwao kimya kimya??
Kama kuna mawazo ya kizandiki hili la kulaumu mbunge Zitto kwenda jimboni kwake nalo ni moja wapo.
Wao ni kina nani mpaka waalifiwe kwamba mbunge anataka kwenda jimboni kwake????
We have a lot of intelligent people in CHADEMA but some of them are just carrying pieces of rocks over their necks and call them heads.
Shame on you
Tangu lini ni dhambi kwa mbunge kwenda kwao kimya kimya??
Kama kuna mawazo ya kizandiki hili la kulaumu mbunge Zitto kwenda jimboni kwake nalo ni moja wapo.
Wao ni kina nani mpaka waalifiwe kwamba mbunge anataka kwenda jimboni kwake????
We have a lot of intelligent people in CHADEMA but some of them are just carrying pieces of rocks over their necks and call them heads.
Shame on you
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA wamemuonya aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu Zitto Kabwe kwa ukiukwaji wa waziwazi wa taratibu za chama hicho.
Wakizungumza kwa nyakati Tofauti wajumbe hao wameshangazwa na kitendo cha Zitto Kabwe kujiandalia ziara zenye mwelekeo hasi kwa chama hicho.
Ikumbukwe kwamba Zitto amefukuzwa nafasi zote za Uongozi ndani ya Chadema na yeye ni mbunge tu wa Kigoma Kaskazini huku akisubiri huruma ya Kamati Kuu kuhusu uanachama wake.
Kilichoshangaza zaidi ni kitendo cha Zitto Kabwe kufanya ziara Jimbo la Kasulu bila kutaarifu Chama huku mashabiki wake wakiutumia mkutano huo kukashifu chama na viongozi wake.
Kitendo kinachofanyika hakikubaliki na ni ukiukwaji mkubwa wa Kanuni na taratibu za chama.
Katika hali ya kuonyesha kinachofanywa ni mkakati wa kuangamiza Chadema Gazeti la Jamboleo Toleo la Jumapili linalomilikiwa na Kada wa CCM katika habari kuu limeandika "Zitto aimaliza CHADEMA" likiripoti yanayotokea Kigoma.