Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 590
- 1,655
Huyo namba 8 nimecheka
Eti anadanga kabisa🤣🤣🤣🤣
Eti anadanga kabisa🤣🤣🤣🤣
Hivi ni mwanae wa kumzaa?Yote kwa yote ila Martha mwaipaja kakuza kabinti kake kalibia wanalingana
Rose muhamdo hajawahi kuolewa ,hapa umemuonea!Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
🤔🤔Mwanamke akipata mafanikio kiuchumi anataka kuwa huru(kuishi bila masharti), wakati mwanaume akiwa na mafanikio kiuchumi anataka kuwa na watu pembeni yake wafaidi jasho lake pamoja.
That's the only difference.
Kwa hivyo unataka kusemaje kuhusu Madam Ritha Paulsen?Madam kwa hapa bongo maana yake ni mwanamke anayegawa utamu kwa vijana wadogo.
Mfano ni madam Wema na huyo madam Flora
Ukweli halisi unaokataliwa na wengi.Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Au nimekosea mtumishi? Kuna kipindi ulisema wewe ni gospel singer!!
Kilahiro(mumewe )alibaki amepigwa na butwaa,na ilimchukua muda kukaa sawa,,hivi karibuni alioa pia tena.Asante kwa minyama hii. Ngoja niongezee kwenye uzi.
Ana mtt wa kiume aliyemzaa na aliyekua mumeweHivi ni mwanae wa kumzaa?
Labda ule msemo wa kwenye maandiko kuwa mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake.😂Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
No ,mkuu!Au nimekosea mtumishi? Kuna kipindi ulisema wewe ni gospel singer!!
Ooh ila hakuna ubaya kujiestablish kuwa soloist.No ,mkuu!
Mi naimba church tu ,siko huko Kwa magospel singer ma cereb😂
Alikuwa anashangaa nnKilahiro(mumewe )alibaki amepigwa na butwaa,na ilimchukua muda kukaa sawa,,hivi karibuni alioa pia tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chali,kitamboBeatrice Mwaipaja je?
-Kaveli-
Huku church kunatosha mambo yasiwe mengi mkuuOoh ila hakuna ubaya kujiestablish kuwa soloist.
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Sio msemoLabda ule msemo wa kwenye maandiko kuwa mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake.😂