Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.

Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.

4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).

5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)

7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.

8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.

Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Rose muhamdo hajawahi kuolewa ,hapa umemuonea!
Ndo Yuko kwenye process ss!

Flora mbasha(madam flora) ana mambo yake ,Gwajima alisingiziwa wana undugu hao!
Upendo kilahilo unamuonea alipitia mateso sn kupigwa haswa,afe kisa ndoa,no way!

Wengine 😷😷🏃🏃
 
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?

Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Ukweli halisi unaokataliwa na wengi.
 
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?

Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Labda ule msemo wa kwenye maandiko kuwa mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake.😂
 
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?

Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.

Iyo kasumba ipo kwa sababu;

* Mwanamke ndo mleta ndoa yenyewe.
Mwanaume unavutiwa na mdada unatuma ombi mdada anakuzoom&kuscan then anachagua kukubali au kukukataa.

*Mwanamke ndo mwenye power ndani.
Hii wengi imeshawashinda maana wengi wanaishia kujitunisha misuli na wanaume hawajui nguvu naturally walipewa na mungu.

Mi naamini mwanamke ndo chanzo cha ndoa na ndo mwamuzi wa mwisho wa ndoa kama atakua na akili timamu(Thinking capability).
 
Back
Top Bottom