msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,204
- 7,720
Na pale chuoni alifukuzwa mbonaMr.netho alikiwa mwalim wangu chuo na kocha wa mpira timu ya chuo. Long tyme sana huyu mshkaji.. kumbe alikula ukurugenzi
Na pale chuoni alifukuzwa mbonaMr.netho alikiwa mwalim wangu chuo na kocha wa mpira timu ya chuo. Long tyme sana huyu mshkaji.. kumbe alikula ukurugenzi
Ila hawa wengi naona kabisa wapo kwenye dozee
dooh that y jiwe alijigamba "siwezi kukupa gari, mshahara, posho then uje umtangaze mshindi wa upinzani" ni kweli haiwezekani!
Unafikiri hata kama ukiwaondoa Ma-DED watakaosimamia unafikiri wanatoka kwa mabeberu? Jaribuni kushughulisha ubongo nyinyi Chadema!Hii ni thread maalumu kwa Wakurugenzi wa Halmashauri (DED) wasimamizi wa Uchaguzi ambao ni makada wa CCM.
View attachment 1098421
View attachment 1098390
1. Kisena M. Mabuba, DED wa Halmashauri ya Misungwi na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa Jimbo la Misungwi.
View attachment 1098391
2. Lutengano G. Mwalwiba, DED wa Magu na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu Jimbo la Magu. 2015 alishiriki Kura za Maoni za Ubunge za CCM Tanzania Busokelo.
View attachment 1098393
3. Anna-Claire Shija, DED wa Same na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa Same Mashariki na Magharibi. 2015 alishiriki Kura za Maoni za Ubunge wa CCM Tanzania Sengerema.
View attachment 1098395
4. Netho Ndilito, DED wa Mufindi na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Majimbo ya Mufindi Kaskazini na Kusini.
View attachment 1098396
5. John Lipesi Kayombo, DED wa Musoma na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Majimbo ya Musoma Mjini n Vijijini. Alikuwa mNEC wa CCM kupitia Vyuo Vikuu.
View attachment 1098397
6. Esther Anania Chaula, DED wa Ukerewe na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Jimbo la Ukerewe.
View attachment 1098432
7. Elias Mahwago Kayandabila, DED wa Mbogwe na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Jimbo la Mbogwe. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Kigoma Kaskazini.
View attachment 1098495
8. Jefrin Lubuva, DED wa Mwanga aliyekuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Osterbay kwa tiketi ya CCM.
9. Adeladius Makwega, DED wa Mbozi na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Jimbo la Mbozi. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Jimbo la Kigamboni.
10. Pius Shija Luhende, DED wa Itigi na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu kwa Majimbo ya Manyoni Magh na Mash. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Kishapu.
11. Jimson Peter Mhagama DED wa H/ wilaya ya nyasa kabla ya uteuzi wake alikuwa Katibu wa CCM mkoa wa Ruvuma.
12. Falesy Moh’d Kibasa, DED wa Kondoa DC na Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu Jimbo la Kondoa Vijijini. 2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge CCM Jimbo la Iringa.
13. Listi inaendelea....
NdioHivi hiyo akaunti ni ya Slaa original?
CCM iko kila kona mtasumbuka tu! Jaribuni kushughulisha ubongo wenu mliopewa na Mungu!Kumbe ndio hawa wanawatesa WaTz
List nzima please
CCM iko kila kona! Badala ya kujenga Chadema yenu iwepo kila kona mnahangaika na Chama Dume?Nimejikita katika kuwabaini kupitia uzi huu.
Kuna post hajaifuta likeni yeye mkuu sababu ni verfied username. naona hata like alokupa ameifuta haraka sana!
Ccm haipo!CCM iko kila kona! Badala ya kujenga Chadema yenu iwepo kila kona mnahangaika na Chama Dume?
Yani injinia mzima kakimbilia siasa? what the fck@ is this?