johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amelalamikia kuwa si Haki kumteua Mwenyekiti wa CCM kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye kimsingi Ndiye Msimamizi wa Uchaguzi
Mnyika ameongea maneno makali sana ambayo naogopa hata kuyaweka hapa
Ndugu Reuben ameteuliwa kuwa DED wa Masasi na kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM huko Mwanza
Nawatakia Dominica Njema 😀
Mnyika ameongea maneno makali sana ambayo naogopa hata kuyaweka hapa
Ndugu Reuben ameteuliwa kuwa DED wa Masasi na kwa sasa ni Mwenyekiti wa CCM huko Mwanza
Nawatakia Dominica Njema 😀