- Thread starter
- #101
Huyu ni Khalifa K. Mponda, DED wa Kondoa Mji n Msimamizi wa Uchaguzi wa Kondoa Mjini.2015 alishiriki Kura za Maoni Ubunge @ccm_tanzania Jimbo la Moro Kusini Mashariki. Serikali inakatia rufaa hukumu ya kuwaondoa MaDED kusimamia Uchaguzi kwa sababu hawa ni #PumziYaCCM
#ChaguziHuru https://t.co/6NqosnDZed