AG ni Bush Lawyer tu.Na AG mzima anakubali kuikanyaga taaluma yake. Ni aibu kubwa sana kuendeshwa na tumbo badala ya Ubongo
DED wa wapi Mkuu.
Huyo wa Same ni mbovu hatari amenenepeana viungo vyote havina ushirikianoWeka namba zao nahitaji ya huyo wa Same anieleze kwanini amekosa busara.
mh. Dr Willibrod Slaa usiishie kulike tu uzi twaomba utie neno tafadhari.
Ka like wap? Hakuna anayeweza kula miogo afu unaona keki
kuna mdau hapo juu ali'like comment yake then akaiondoa fastaKa like wap? Hakuna anayeweza kula miogo afu unaona keki
Kwangu mimi hii ni Thread bora ya Mwezi huu wa MAYThread bora kwangu kwa siku ya Leo,Asante sana Mkuu.