Mtwara: Msimamizi wa Uchaguzi mdogo kata ya Chipuputa akamatwa na kura feki, Polisi wamlinda

Matulanya Mputa

Senior Member
Aug 14, 2023
105
203
Msimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.

Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
 
Msimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.

Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
Ujuha wa demo kura siyo ya bongo😂
 
432787817_320961994331761_316169363411521453_n.jpg
 
Msimamizi wa uchaguzi mdogo kata ya chipuputa jimbo la Nanyumbu amekamatwa akiwa na kura feki Lakini jeshi la polisi limemlinda, na pia baada ya katibu wa ACT-WAZALENDO mkoa wa Mtwara kuhoji tukio hilo amekamatwa na jeshi la polisi kwa maagizo ya OCD wilaya.

Demokrasia iko wapi au tume huru iko wapi.
Kazi imeanza ?!
🤣 hahahaha
 

Mzee Kikwete: Sina hofu ya CCM kushindwa na Upinzani Uchaguzi Mkuu labda kutokee mambo ya ajabu.​


Kama hakuna hofu ya kushindwa . Kura feki zinapatikana vipi?
Na hup ni uchaguzi mdogo tu.
 
Huwa nasema hiyo njia ya kura ni kupotezeana muda, nashangaa Bado Kuna watu wana imani na huo upuuzi. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi itakuwa ni kupotezeana muda.
Nakubaliana na wewe. Ila uchaguzi ni njia moja nzuri inayoweza kuleta hayo uliyosema. Wananchi kukiwasha mara nyingi ni lazima kuwe na sababu (chanzo). Ni kama ule ugomvi wa enzi za utoto, mmoja anapewa kijiti na mwingine anaambiwa amnyang'anye ili kumpandisha hasira. Machafuko hayaji kama gwaride, yaani huwapangi wananchi na kuwaambia kuwa kesho ni lazima mkinukishe kwa sababu serikali haitaki uchaguzi huru. Njia sahihi ni kushiriki kila uchaguzi na kuwaanda wananchi kwa kuwaambia kuwa mtu wenu akiibiwa kura msikubali. Na hili linawezekana zaidi wakati wa uchaguzi wa nchi nzima. Resourses za vyombo vya usalama vinavyoilinda CCM itazidiwa na wingi wa wananchi. Trick kubwa hapa ni ''kuwasomesha'' wananchi mpaka waelewe somo na wawe tayari kwa lolote. Changamoto nyingine ni kuwa wananchi wanaweza wasichukuwe hatua kama ilivyokuwa 2020. Lakuaingatia ni to keep trying kwenye kila uchaguzi.
 
Back
Top Bottom