Wajawazito na vimini!

Dalili zote za kuishiwa hoja. Unakuja na vimaneno vya khanga na taarab sababu huna evidence.
going forward take a lesson here: Never make affirmations you cannot prove! Simple and clear
Eti vaginal temperature of pregnant women rises na ndio maana hawatakiwi kuvaa chupi.
Do you even realise what a aberation this is? do you know how frail the vaginal flora is during pregnancy?
Did you think, even for a minute that what you are saying here is dangerous? oh sorry...
One needs a BRAIN to think...

Naomba niwaamue huu ugomvi wenu kabla haujapata washabiki.

Wewe Mwali baki na vagina yako ya 12[SUP]0[/SUP]c na wewe kwamtoro baki na vagina yako ya 86.9[SUP]0[/SUP]c

Mimba zenu kwa kifupi zimetofautiana. We Mwali umepata mimba ya Winter na kwamtoro yeye yamemkuta wakati wa Summer Jam.

Nafikiri ugomvi umekwisha?!
 
Last edited by a moderator:
Dalili zote za kuishiwa hoja. Unakuja na vimaneno vya khanga na taarab sababu huna evidence.
going forward take a lesson here: Never make affirmations you cannot prove! Simple and clear
Eti vaginal temperature of pregnant women rises na ndio maana hawatakiwi kuvaa chupi.
Do you even realise what a aberation this is? do you know how frail the vaginal flora is during pregnancy?
Did you think, even for a minute that what you are saying here is dangerous? oh sorry...
One needs a BRAIN to think...

Mwali,
Kwa faida yako na wengine kuna hii web nzuri sana. Pitiapitia kidogo naona unatokwa na povu kwelikweli
http://www.tarlings.com/images/pregnancy_booklet.pdf
 
my dear FP, una bahati! mie bwana huwa nakuwa kituko...manake tumbo hata miezi 2 tu linakuwa limeshaonekana. pata picha nikiwa miezi 5.............nikiwa 7 months mashosti wananiambia i look like i am about to pop up! Imagine i have two more months to go......! kijitako nacho kinachomozea huko ooooooo!!!

lakini la muhimu katika mavazi ya kipindi cha ujauzito ni afya ya mama na mtoto tumboni, na heshima ya kujisetiri!!!
ha haaa, umenichekesha, miezi miwili iliyopita mdogo wangu kaniambia aisee nahisi nina mapacha huku tumboni, maana hili tumbo siamini ni miezi 3 tu..... nikamwambia si ukafanye ultra sound? jana ananiambia hakuna mapacha wala nini, ngoma ni mtoto mmoja, sasa sijui atazaliwa kama mtoto wa tembo! nimecheka sina mbavu, lol!
 
Njoo Dar mkuu, ni vile tu sina camera yenye lens inayoweza kuvuta mbali mbona ningekuwekea moja uone show zetu. Pale Steers wanakotongozania vijana wa MMU - Love Connect, utavikuta vimama vimtu vizima havina aibu vimetinga Osh-Kosh za Jeans za urefu huo na vitumbo vimewaumuka kama mbuzi aliyekula kisamvu cha mpira.

Hawana manyunyu wala kiangazi hao, business as usual

MMP, umeniacha hoi kwa mambo mawili
1: Branding Steers as meeting place ya Love Connect, yaonesha jinsi gani ulivyo mzoefu wa dates za MMU
2: Oshkosh jeans za vimama vya Dar
Anyway, kiingiacho mjini si kharamu si ndivyo wanasema? Ndani ya muda mfupi itakuwa kitu cha kawaida na itakuwa utamaduni tu. After all wanasave pesa, energy, water n.k kwa kuvaa nguo ndogo; na ili tusurvive lazima tujifunze kuhifadhi vitu kama hivyo au unaonaje?
 
Naomba niwaamue huu ugomvi wenu kabla haujapata washabiki.

Wewe Mwali baki na vagina yako ya 12[SUP]0[/SUP]c na wewe kwamtoro baki na vagina yako ya 86.9[SUP]0[/SUP]c

Mimba zenu kwa kifupi zimetofautiana. We Mwali umepata mimba ya Winter na kwamtoro yeye yamemkuta wakati wa Summer Jam.

Nafikiri ugomvi umekwisha?!
judge wewe ni kiboko, yaani nimecheka balaa, lol!
 
ha haaa, tena umenikumbusha vitenge huko kwenu.....
tutaongea chemba maana mimi ni muumini sana wa vigauni vya vitenge toka huko

usijali, naweza mpa dogo wakati anarudi shule kama mimi mwenyewe sijaja July hii!
 
ha haaa, umenichekesha, miezi miwili iliyopita mdogo wangu kaniambia aisee nahisi nina mapacha huku tumboni, maana hili tumbo siamini ni miezi 3 tu..... nikamwambia si ukafanye ultra sound? jana ananiambia hakuna mapacha wala nini, ngoma ni mtoto mmoja, sasa sijui atazaliwa kama mtoto wa tembo! nimecheka sina mbavu, lol!

haa eti mtoto wa tembo hahaa ukute atakuwa mtoto wa kawaida tu kilo 3 hivi! naenjoy sas kwenda clinic kucheki matumbo ya wamama hahahahaaaaaaa
 
kama imekugusa wewe nabarikiwa kuona kuna wacheche wenye akili waliobakia
 
hahahahahaha, so this is your source? Kumbe muda huu ulipotea ulienda kuleta hii?
this is where you were told pregnant women wasivae chupi? kaka unatia huruma.
Kimtindo basi mbona wewe binti unakuwa mwanasiasa hivi. Source ni mimi mwenyewe.
Hiyo ni complimentary tu kwa watu wote. Minyaa basi yaishe
 
hahahah, lakini my dear; imagine huyo mvaa kimini hicho katangulizana na mumewe na pengine huyo mumewe ndio kanunua; who am l to say what they should or should not do?
Kuna mdada mmoja nilimuona kia pale na mumewe, kashona kitenge kisolo fulani hivi kimini, alipendeza kweli na tumbo lake, kilikuwa a little bit above goti.
Honestly mimi napenda kuona watu wamependeza, hata kama mimi siwezi au nina aibu ya kuvaa the way some do; naamini heshima ni zaidi ya mavazi.
Ofcourse viatu virefu na mimba kubwa ni hatari kwa afya; so nisingeshauri lakini nguo, kila mtu na morals zake bwana.
nashukuru sana kwa hilo neno
 
judge wewe ni kiboko, yaani nimecheka balaa, lol!

Mediator sio judge. Mimi nawaweka sawa tu amani idumu. Unajua tangu nijiunge JF sijawahi ona Mwali amekasirika kama leo. Naamini kila mmoja wao atakuwa ameridhika. Nisingeweza kujudge bila facts sababu mimi sijawahi kuwa mama maishani mwangu
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh, kwa mjukuu wangu (mtoto wa niece wangu), nilimvalisha tu week 4 za kwanza kidress cha pink nilichokuwa nimenunua, yaani ukoo wetu una upungufu sana wa watoto wakike yaani mpaka inaudhi.
Jiandae kupata wakamwana dear. lkn chonde chonde usiwe mama mkwe mwenye gubu Kaunga jamani. Na hapo ukoo wenu utazidi kua mkubwa lol
 
Last edited by a moderator:
Naomba niwaamue huu ugomvi wenu kabla haujapata washabiki.

Wewe Mwali baki na vagina yako ya 12[SUP]0[/SUP]c na wewe kwamtoro baki na vagina yako ya 86.9[SUP]0[/SUP]c

Mimba zenu kwa kifupi zimetofautiana. We Mwali umepata mimba ya Winter na kwamtoro yeye yamemkuta wakati wa Summer Jam.

Nafikiri ugomvi umekwisha?!
Mi sina ugomvi nae, nataka tu akiri kua aliropoka.
eti kuanzia wiki ya 20 vaginal temperature inapanda
akapotea kama nusu saa, akarudi na document yake
nimeisoma sijaona hayo alio sema, ameumbuka!
Kwamtoro kaumbuka.jpg
 
MMP, umeniacha hoi kwa mambo mawili
1: Branding Steers as meeting place ya Love Connect, yaonesha jinsi gani ulivyo mzoefu wa dates za MMU
2: Oshkosh jeans za vimama vya Dar
Anyway, kiingiacho mjini si kharamu si ndivyo wanasema? Ndani ya muda mfupi itakuwa kitu cha kawaida na itakuwa utamaduni tu. After all wanasave pesa, energy, water n.k kwa kuvaa nguo ndogo; na ili tusurvive lazima tujifunze kuhifadhi vitu kama hivyo au unaonaje?

Weeee, KOMA! Mimi na mambo ya Love Connect wala hatuendani. Mi nina kamke kangu sio kazuri kihivyo, lkn huniambii kitu hapo kwa jinsi kalivyo katamu, kwa hiyo 'emu emu yuu' mimi naingiaga ushambenga tu.

Unajua waswahili wa hovyo sana. Mimi nilikuwa na Osh Kosh yangu nilipewa na mzungu aliyekuwa anamtongozaga dadaangu zamani, mwenyewe niliipenda sana. Siku moja si wakaaiiba kwenye kamba nimeianika, nilikuwa std IV nakumbuka, nililia sana. Basi tangu kipindi hicho nikiona mtu katinga Osh Kosh Bigosh namtolea macho nikikumbuka ya kwangu. Sasa ndio nawaona wamama nao wamepiga za kwao hazifiki kwenye magoti

OshKoshDenimOveralls.png

Ya kwangu ilikuwa kama hii
 
Back
Top Bottom