ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,048
- 6,199
Ukisindikizwa na fyombo fya dola nenda ofisini kaombe.Yako wapi matumizi ya TZS.237 milioni za Ruzuku ya Chama!?
Ukisindikizwa na fyombo fya dola nenda ofisini kaombe.Yako wapi matumizi ya TZS.237 milioni za Ruzuku ya Chama!?
Sijaona si CCM wala chadema
Wote wazee wa fursa, mwenye hela au mwenye upanga ndio mshindi,
PointHuyu jamaa nilijuwa anaakili timamu
Lakini kweli kabisa kichaa sio lazima kuokota makopo
God forbid.
he cant put his a** wide shut? ushasepa chadema ya nini go f*** yourself!Leo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha StarTV aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amewataja wabunge ambao wapo njiani kujiondoa Chadema na kujiunga na CCM au kuacha Siasa. Amewataja wabunge hao kuwa ni Anthony Komu (Moshi Vijijini), Japhary Michael (Moshi Mjini), Saeed Kubenea (Ubungo), na James Ole Millya (Simanjiro).
_
"Napenda nikuhakikishie kuwa Komu, Japhary, Kubenea na Millya watahama Chadema muda wowote kuanzia sasa kwa sababu ya migogoro iliyosababishwa na Mbowe. Na kama hawatahama basi watastaafu siasa." Amenukuliwa Waitara.
Nini maoni yako?
Na wewe ni kiazi kwelikweli hata hujitambui, chokomaku kabisaaaaaMbowe ni kichwa maji kwelikweli
Ndio maana huko huko ccm walimuona hanazo wakamfanya mpishi wa chai ya katibu na wageni wake.Mwita ni cheap politician, hata Mahabad akiachwa ana move on
Naona akili zimeanza kukurudia
Kwani amekutelekza weye na watoto wako shangazi?Mbowe ni kichwa maji kwelikweli
Asikudanganye. Weye bado ni kagonjwa.Kwani zilikuwaje?
These are happening only in Tanzania, na hii ni ishara kuwa Watanzania bado hatujitambui kisiasa. Mbona wanatuongezea gharama kwa chaguzi za marudio rudio?Leo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha StarTV aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amewataja wabunge ambao wapo njiani kujiondoa Chadema na kujiunga na CCM au kuacha Siasa. Amewataja wabunge hao kuwa ni Anthony Komu (Moshi Vijijini), Japhary Michael (Moshi Mjini), Saeed Kubenea (Ubungo), na James Ole Millya (Simanjiro).
_
"Napenda nikuhakikishie kuwa Komu, Japhary, Kubenea na Millya watahama Chadema muda wowote kuanzia sasa kwa sababu ya migogoro iliyosababishwa na Mbowe. Na kama hawatahama basi watastaafu siasa." Amenukuliwa Waitara.
Nini maoni yako?
Asikudanganye. Weye bado ni kagonjwa.