johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,543
- 141,351
JK alisema za kuambiwa changanya na za kwako.
Baadhi ya wabunge ambao walibahatika kuingia bungeni kwa kubebwa na kura za " mahaba" kwa mzee Lowassa wameanza kujitafakari kama wagombee tena au wavute mafao yao na kusepa.
Mwita Waitara ameshaliachia jimbo la ubungo kwa kisingizio cha kwenda Tarime kumkomesha Heche wa Chadema lakini wadadisi wanasema amemkimbia boss wa jiji la Dsm mh Makonda.
Wengine wanaofungasha virago majimboni ni pamoja na Halima Mdee wa Kawe Kubenea wa Ubungo na Komu wa Moshi vijijini.
Mchungaji Msigwa bado anapigania jimbo lake pale Iringa japokuwa inaelezwa anapoteza muda wake bure kwani Salim Asas anakubalika na wanyalu wa itikadi zote.
Jumamosi njema!
Maendeleo hayana vyama!
Baadhi ya wabunge ambao walibahatika kuingia bungeni kwa kubebwa na kura za " mahaba" kwa mzee Lowassa wameanza kujitafakari kama wagombee tena au wavute mafao yao na kusepa.
Mwita Waitara ameshaliachia jimbo la ubungo kwa kisingizio cha kwenda Tarime kumkomesha Heche wa Chadema lakini wadadisi wanasema amemkimbia boss wa jiji la Dsm mh Makonda.
Wengine wanaofungasha virago majimboni ni pamoja na Halima Mdee wa Kawe Kubenea wa Ubungo na Komu wa Moshi vijijini.
Mchungaji Msigwa bado anapigania jimbo lake pale Iringa japokuwa inaelezwa anapoteza muda wake bure kwani Salim Asas anakubalika na wanyalu wa itikadi zote.
Jumamosi njema!
Maendeleo hayana vyama!