Waitara: Wafuatao wanahama CHADEMA

Waitara: Wafuatao wanahama CHADEMA

Lengo ni mbowe aachie uenyekiti. Mbowe ndio kikwazo cha kuisambaratisha cdm .Na nafikiri ccm wana mtu wao ,pandikizi limeandaliwa tayari. WAKISIKIA MBOWE KAACHIA UENYEKITI BASI WATASHEREHEKEA.Mambo mawili yatatokea mosi kupandikuza mgogoro ktk mchakato wa kumpata mkitI mpya au kuhakikisha wanaweka mtu wao. TUSUBIRI!
Na hii ndio target kubwa kwa sasa, watanunuliwa sana, sababu itakuwa ni mbowe

Chadema wakikubal kumuondoa mbowe bas wanapandikiziwa mtu kutoka CCM kama vile walivyopandikiziwa MWENYEKIT WA BAVICHA
 
Huyo Waitara ni bwege tu! Wenzie wameondoka ktk vyama vyao kwenda Chama cha Kigaidi- CCM, hawakutumika km kipaza sauti cha kusaga na kuponda upande wa pili walikotokea, lkn hili kichwa maji haliko makini, halijui km siasa za Nchi hubadilika ghafla kulingana na Kiongozi aliyopo madarakani kwa muda huo, ipo siku litakuja kujuta.

Limefika bei na kuondoka, likiwaacha watu makini wakiendeleza ukombozi wa Nchi yetu, ipo siku litajuta km Mzee wetu Mpendazoe ambaye hadi leo hii haeleweki alipo!
 
Ni chama kipi ambacho kina democrasia ya kweli Tanzania? Chama kinachofanya uchaguzi huru na wa kishindani unafanyika chama gani?
Sijaona si CCM wala chadema

Wote wazee wa fursa, mwenye hela au mwenye upanga ndio mshindi,
 
Mbona ishakua inshu ya kawaida tu na tushazoea..watu wanahama nchi sembuse vyama tena kwa kununulia na vitisho juu kama usipo ungamikono juhudi za mkulu..waacha wahame ni upepo tu nao utapita.
 
Ccm wenyewe wanajua wao ni chama mfu kabisa ndio maana wanafanya yote haya. Ccm ilikufa cku nyingi sana,ni dola inawashikilia wawepo.
 
Alipokuwa Chadema naona nchi ilipiga hatua.... Sizitaki mbichi hizi. Nimekumbuka darasa la tatu kwenye hadithi ya Sungura na Ndizi
Awepo cdm Awepo act cuf etc,nachomanisha Wanasiasa wote asilimia kubwa ni wanafki wachumia tumbo tu....

Ova
 
Umekwisha hama si uendelee na mambo yako huko uhamishoni? Ya Chadema yanakuhusu nini? Subiri uchaguzi au uteuzi!!!
 
Huyu jamaa nilijuwa anaakili timamu

Lakini kweli kabisa kichaa sio lazima kuokota makopo

God dir
Weka maneno yako akiba

Akiba kwa MTU mpuuzi?

Huyu huyu jamaa alipita sehemu mbalimbali nchini akiiponda Ccm kwa akili na nguvu zake zote, kwamba imeoza haifai kwa lolote kwa chochote

Leo nayeye kaoza! What about that?
 
Had my heart broken by this women named Tammy but hoe is gon be a hoe so I cant blame Tammy
 
Kumbe JPM yuko sahihi kusema yeye siyo mwanasiasa, hawa wanasiasa wako tayari kujifanya hata wanawake ili washinde uchaguzi.
 
Back
Top Bottom