Waitara: Wafuatao wanahama CHADEMA

Waitara: Wafuatao wanahama CHADEMA

Kisiasa hilo ni baya sana maana sasa hawataaminika tena ndani ya vikao vya Chadema
 
Watamnyoosha vip mkuu wakati anasubiri kutangazwa tu? Au bado unaamini katika ushindi wa sanduku la kura?

Kwa mazingira haya ya ushindani chini ya utawala wa Magu kwa mpinzani kusubiri ushindi kwa njia ya box la kura, ni sawa na kusubiri meli uwanja wa ndege.
 
Huyo nadhani alikoenda ameharibiwa akili.
 
Kuna mgogoro gani huko Chadema
Kila mtu anaujua huo mgogoro. Unahusu pesa. Na huu ndiyo unaosababisha Mbowe alazwe ICU mara kwa mara akiwa amepoteza fahamu, siyo kwa organic pathology ila kwa psychogenic pathology! Ugonjwa unaitwa moneyitis. Tiba yake ni kujiuzulu uwenyekiti na u KUB 😂😂😂!
 
Waitara tunaomfahamu tangu tukiwa pale kijijini kangariani/kobori ni shida,mpe viroba atatapika yote.
 
Lengo ni mbowe aachie uenyekiti. Mbowe ndio kikwazo cha kuisambaratisha cdm .Na nafikiri ccm wana mtu wao ,pandikizi limeandaliwa tayari. WAKISIKIA MBOWE KAACHIA UENYEKITI BASI WATASHEREHEKEA.Mambo mawili yatatokea mosi kupandikuza mgogoro ktk mchakato wa kumpata mkitI mpya au kuhakikisha wanaweka mtu wao. TUSUBIRI!
Hivi Mbowe aweza kuwa muhimu kuliko ajenda inayoijenga cdm?
 
Hahahaha
Chadrama kwishney walahi
That’s all
hakuna siasa za hatari kama sasa hivi,you get shot dead or locked up
hivi unaweza kuwa proud of this wave kwa ukatili na udikteta wa sasa hivi
i bet hata nyinyi maccm mnaona aibu jinsi jiwe linavyotia aibu kwa woga wake
 
Back
Top Bottom