Watamnyoosha vip mkuu wakati anasubiri kutangazwa tu? Au bado unaamini katika ushindi wa sanduku la kura?
Duh!Kama ndivyo Waende tu, wengine waingie, maana huu ndio wakati wa kutambua wapinzani halisi.
Usimuamin mwanasiasa kasoro lissu tuKomu na japharai sidhani
Kila mtu anaujua huo mgogoro. Unahusu pesa. Na huu ndiyo unaosababisha Mbowe alazwe ICU mara kwa mara akiwa amepoteza fahamu, siyo kwa organic pathology ila kwa psychogenic pathology! Ugonjwa unaitwa moneyitis. Tiba yake ni kujiuzulu uwenyekiti na u KUB 😂😂😂!Kuna mgogoro gani huko Chadema
Who Care any ways,wacha waishi kama popo huenda akili zitawajiaHahahaha
Chadrama kwishney walahi
That’s all
Hivi Mbowe aweza kuwa muhimu kuliko ajenda inayoijenga cdm?Lengo ni mbowe aachie uenyekiti. Mbowe ndio kikwazo cha kuisambaratisha cdm .Na nafikiri ccm wana mtu wao ,pandikizi limeandaliwa tayari. WAKISIKIA MBOWE KAACHIA UENYEKITI BASI WATASHEREHEKEA.Mambo mawili yatatokea mosi kupandikuza mgogoro ktk mchakato wa kumpata mkitI mpya au kuhakikisha wanaweka mtu wao. TUSUBIRI!
hakuna siasa za hatari kama sasa hivi,you get shot dead or locked upHahahaha
Chadrama kwishney walahi
That’s all
Wakurya wa pwani hamna kitu kabisaHuyu jamaa nilijuwa anaakili timamu
Lakini kweli kabisa kichaa sio lazima kuokota makopo
God forbid.