Waitara: Wafuatao wanahama CHADEMA

Waitara: Wafuatao wanahama CHADEMA

Utakuwa ulipolazwa umemuona mtu anaimba Cocochanel wa JF mzuriiiii.. ukafikiri ni mimi..
Endelea tu kukaa humo wodini aiseee.. weww unaimba 'Lissu Mbowe n.k. pesa za ruzuku sio zenu wenyewe huku unaliaaaa'
Jioni hii tukuletee nini ewe "cocomtaro "?Tukileta chai kwa matembele utafurahi? Au juisi ya bamia?
 
Koki mlifungua wenyewe sasa inatoa maji na Vyura tena mfululizo mnapiga kelele!?
Usianzishe ugomvi kama huna Nguvu
 
Hahahaha
Chadrama kwishney walahi
That’s all
Chadema si wabunge bali mioyo ya watu ina falsafa gani?leo cuff haina wawakilishi kwenye Baraza la wawakilishi cuff imekufa?lipumba karukuza wabunge wateuliliwa kumi je cut imekufa,lipumba kahamia ofisi ya buguruni je cuf imekufa?
kimsingi kujenga chama ni falsafa na muono wa muda mretu,kwa leo kbona yapo mengi tu ambayo upinzani ndo fapsafa yake.Hivyo kufa upinzani hakupo
 
Watu waliowapa kura upinzani ni zaidi ya million 6. Hawa ndio wanaopenda mabadikiko, ndio nguxo ya upinzani. Sio Waitara n wenzake wanaonunulika, wanaendekeza shida zao n matumbo yao. Hata wakinunuliwa wote wabunge wa upinzani bado Chadema itakuwepo n watapatikana wabunge wengine. Lkn yote haya yana mwisho wake. Kikwete, Mkapa hawakufanya haya. Ni imani yangu atakunya mwingine hata yafanya haya.
 
Leo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha StarTV aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amewataja wabunge ambao wapo njiani kujiondoa Chadema na kujiunga na CCM au kuacha Siasa. Amewataja wabunge hao kuwa ni Anthony Komu (Moshi Vijijini), Japhary Michael (Moshi Mjini), Saeed Kubenea (Ubungo), na James Ole Millya (Simanjiro).
_
"Napenda nikuhakikishie kuwa Komu, Japhary, Kubenea na Millya watahama Chadema muda wowote kuanzia sasa kwa sababu ya migogoro iliyosababishwa na Mbowe. Na kama hawatahama basi watastaafu siasa." Amenukuliwa Waitara.

Nini maoni yako?
sijawahi kuona mkurya mwanaume anayeongea kama mke wa mtu kama huyu Waitara ! hivi hivi hela wanazohongwa zimewekwa limbwata ?
 
Lengo ni mbowe aachie uenyekiti. Mbowe ndio kikwazo cha kuisambaratisha cdm .Na nafikiri ccm wana mtu wao ,pandikizi limeandaliwa tayari. WAKISIKIA MBOWE KAACHIA UENYEKITI BASI WATASHEREHEKEA.Mambo mawili yatatokea mosi kupandikuza mgogoro ktk mchakato wa kumpata mkitI mpya au kuhakikisha wanaweka mtu wao. TUSUBIRI!

You got it right buddy.
Ule mpango uliosemwa wa "Kumpiga mchungaji ili kondoo wasambaratike" umekuwa mgumu kuutekeleza au unachelewa, na wao wana haraka ya kuona matokeo. Mbowe kafanyiwa kila aina ya vurugu, lakini hateteleki. Sasa turufu wamewekeza kwenye kesi ya uhanini na haya mengine ya kuwanunua wabunge. Yote haya hayatafanikiwa. Matokeo yanaweza kuwa CHADEMA imara zaidi inaweza kutokea baada ya kuzishinda mbinu ovu hizi zidi yake.
CHADEMA wasisahau. Wananchi wa Tanzania ndio kila kitu kitakachoamua uwepo wao au la. Bidii ziendelee za kuwafikia wananchi hao na kuwapa taarifa ya hali halisi ya siasa nchini mwetu. Wasichoke na wala wasitishike na majaribu mengi yanayowakabili kuwazuia wasifanye hivyo.
 
Lengo ni mbowe aachie uenyekiti. Mbowe ndio kikwazo cha kuisambaratisha cdm .Na nafikiri ccm wana mtu wao ,pandikizi limeandaliwa tayari. WAKISIKIA MBOWE KAACHIA UENYEKITI BASI WATASHEREHEKEA.Mambo mawili yatatokea mosi kupandikuza mgogoro ktk mchakato wa kumpata mkitI mpya au kuhakikisha wanaweka mtu wao. TUSUBIRI!
Tarime Mkurungezi anagoma kuapisha mawakala wa Chadema. Inasikitisha uhuni huu unaoendelea kwenye nchi.
Hakuna tena uchaguzi katika nchi hii maana tunaoshindana nao hawawezi tena kushinda kwa wananchi.
 
Jafari na Komu je ni vitisho vya kuuliwa ama kujengewa hoja mbaya kuhusu biashara zao????????
Kwa vingine haiwezekani!
Mkurugenzi wa NHC alishindwa kumtetea Mbowe katika mkataba ambao ni halali. Mahakana nayo yalishindwa. Leo mkurugenzi yule yuko wapi. Na kesho yule hakimu aliyeshindwa kutetea haki naye atatungiwa lake!
Hii ndiyo Tz ya leo!
 
Huyu jamaa nilijuwa anaakili timamu

Lakini kweli kabisa kichaa sio lazima kuokota makopo

God dir


Akiba kwa MTU mpuuzi?

Huyu huyu jamaa alipita sehemu mbalimbali nchini akiiponda Ccm kwa akili na nguvu zake zote, kwamba imeoza haifai kwa lolote kwa chochote

Leo nayeye kaoza! What about that?
RETARDED !!!!!!!
 
Mkuu wa wilaya na ubunge nafasi IPI inalipa?
 
Leo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha StarTV aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amewataja wabunge ambao wapo njiani kujiondoa Chadema na kujiunga na CCM au kuacha Siasa. Amewataja wabunge hao kuwa ni Anthony Komu (Moshi Vijijini), Japhary Michael (Moshi Mjini), Saeed Kubenea (Ubungo), na James Ole Millya (Simanjiro).
_
"Napenda nikuhakikishie kuwa Komu, Japhary, Kubenea na Millya watahama Chadema muda wowote kuanzia sasa kwa sababu ya migogoro iliyosababishwa na Mbowe. Na kama hawatahama basi watastaafu siasa." Amenukuliwa Waitara.

Nini maoni yako?
Kwa maelezo ya kubenea ya juzi kati nahisi atastafu SIASA
 
Ni hivi ndugu, si sahihi kiongozi wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Hii hali anayokutana nayo Mbowe ni kama kajitakia kwa kuendelea kuwa madarakani zaidi ya 10yrs. Huyo Waitara mengi ya aliyozungumza kumhusu Mbowe zaidi ya nusu ni kweli hata kama aliongozwa na chuki binafsi dhidi ya Mbowe.

Kisaikolojia ukitaka kujua madhaifu yako, gombana na mtu wa karibu yako. Kama mtu huyo hawezi kuhimili hasira zake atayataja madhaifu yako yote tena hadharani mchana kweupe. Hii ni tabia ya binadamu wengi wanapokuwa na hasira. Ni vyema Mbowe akakaa pembeni kwa sasa bila kujali ccm wanasema nini kwani huwezi kupingana na nature kwamba wakati ni ukuta. Huyo Mbowe ambaye anasifiwa ni imara mbona hathubutu hata kufanya mikutano nchi nzima? Mbona bado madiwani na wabunge wanajiuzulu tu. Mbowe kakaa zaidi ya 10yrs ameshindwa hata kujenga ofisi ya hadhi ya cdm, sasa kwanini asifikie mwisho wa uenyekiti? Ajilaumu mwenyewe kwa kusubiri shinikizo, lakini kiongozi muungwana hukaa madarakani muda usiozidi 10yrs. Ukivuka muda huo lazima utawale kwa mizengwe.
Kula like, umeongea fact, ndio raha ya jf, hasa watu free mind kama nyinyi.
 
Huyu jamaa nilijuwa anaakili timamu

Lakini kweli kabisa kichaa sio lazima kuokota makopo

God forbid.
Shida ya waTanzania kadhaa hua mnadhani wapinzani ni miungu.wale ni wasanii tu na mtakuja kustuka baadae
 
Si angehama akatulia kama wenzie akina Mtulia na Kafulila. Katoka kwa mbwembwe na mashambulizi lukuki kwa Chadema lakini Chadema hawajamjibu lakini bado anaendelea tu kuropoka. Ngoja watu wa ukonga watamwonyesha.
Watamnyoosha vip mkuu wakati anasubiri kutangazwa tu? Au bado unaamini katika ushindi wa sanduku la kura?
 
Unapoona matendo na maneno ya watu kama Mwita Waitara ndipo unapoamini ni kweli Shetani Ibilisi aliwahi kuwa Malaika. Hivi huwezi kuondoka kimya na ukaendelea na 50 zako?
 
Back
Top Bottom