Waishio milimani Jijini Mwanza watakiwa kuondoka kupisha mwekezaji

Utu gani? Hizo ni nyumba auntakataka? Kuwaacha kwenye Hali hiyo ya umaskini ndio utu? Acha upumbavu..

Kule magomeni wanapisha viwanja Serikali inajenga wanapewa floor za Juu harafu floor za Chini na vyumba vya Kati inakuwa mali ya Serikali inaingiza pesa..

Hata hao watoke kwenye huo umaskini wakapewa viwanja vizuri nje ya Mji na Fidia harafu hayo maeneo yako potential yaendelezwe serikali ipige pesa.
Pelekeni Kwanza ARV na carolite huko kwenu alaf baada ya hapo huyo mwekezaji tunamsubiri tumfurahishe
 
Sasa hizo ni nyumba au takataka? Walitakiwa waondolewe kitambo tuu maana wanachafua Mji..

Hao watu wa milimani Nina uhakika watakuwa wa kwanza kuitikia mwito maana watapewa maeneo mazuri yaliyopimwa na Fidia juu..

Nyanzaga Kule Sengerema wamehama kupisha Mwekezaji wa mgodi mkubwa dhahabu sembuse hao maskini wa huko milimani?
Acha dharau japo ni kweli. Umasikini wao haukuhusu.
 
Nimekwambia hao fukara kwanza watashukuru maana watapewa pesa na maeneo mazuri waondokane na ufukara..

Wewe unaejichatisha humu huishi huko ndio maana unaropoka,nyie ndio mliodanganya Masai wamevunjwa miguu.
Acha dharau mkuu- Nchi yetu kiuhalisia tupo kwenye daraja la umaskini uliopitiliza- Asilimia zaid ya 70 ya watanzania ni maskini- sasa unashangaa kukuta maskin tanzania? Jenga hoja kama mtu mwenye akili timamu na utu pia.
 
Zanzibar nasikia nako kuna mambo kama haya haya, kuna mwana-ccm mwenzao kazungumza akadai alitekwa na jana nadhan wametangaza kumvua uanachama
Kuna statement ya kulaani tukio toka Ikulu ya Zanzibar angalau siyo mbaya wanasema wapo na pamoja na mzee
 
Acha dharau mkuu- Nchi yetu kiuhalisia tupo kwenye daraja la umaskini uliopitiliza- Asilimia zaid ya 70 ya watanzania ni maskini- sasa unashangaa kukuta maskin tanzania? Jenga hoja kama mtu mwenye akili timamu na utu pia.
Kanda ya Ziwa imezidi,ndio kuna Mikoa inaongoza kwa umaskini huko .

Sasa wanataka wawasaidie mnabisha.
 
Kanda ya Ziwa imezidi,ndio kuna Mikoa inaongoza kwa umaskini huko .

Sasa wanataka wawasaidie mnabisha.
Huko pemba kwenu na unguja kuna nn cha maana? yani Tanzania hii unaongea kanda ya ziwa ni maskini kuliko kanda zote? umeenda shule kweli au una akili timamu? 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom