Raia Mwema
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 535
- 79
kumbe ushoga ulikataliwa mapema kutoka Uingereza kama kikwete angeruhusu kura ya maoni wengi wetu tungekubali kuwa mashoga
LindaCroucher 26 January 2012 4:01PM
African problem is more than foreign aid. They are not ready for economic transformation. In Tanznaia today, they have started the leadership inheritance in which the old guards passess on the torch to their children.
we should not expect anything serious from African nations. If it means our money, lets cut it off. We have so many social problems to deal with people's own created misery
because they will never have free elections without someone stffing ballot boxes and ready to let the whole country in flames as long as they remain in power and their children in top american and british schools
This has nothing to do with our uhusiano na Uingereza, Mama umbeya. Wanaosema haya si viongozi wa serikali lakini individual observers ambao wanaijua Tanzania, na wanamjua Kikwete, mfano huyu mfanyi kazi wa zamani wa UNDP.
Usinichekeshe, unaota kwa maandishi!!!
JK kasingiziwa nini hapa aliekuwa waziri na alishiriki kuwapua pesa ya rada kafanywa nini?? maana hayo nomoja ya yaliyoongelewa hapo......
mbona mnakuwa wazito hivi mnapewa nini tusichopewa wengine?
Tangu Jk aingie madarakani yuko karibu na China na Marekani kwa nchi za dunia ya kwanza pengine UK haijapenda mwendo huu wamekuja na mbinu ya kummaliza kimataifa. angalau Jk nilimuona kuwa karibu na chama cha Labour alipokuwepo Godon Brown na Tony Blear huyu Cameroun wa consevertive mmmh kaja na sera za kutushurutisha ikiwemo ushoga
Huyo maskini wa akili anabweka kwa mambo asiojua,kwani yeye anaweza kuonyesha account yake inafloo kiasi gani kwa siku?watanzania hivi sasa wanaishi kwa mlo 1kwa siku,akipata chakula anahisi kama kapata ajali.Acha ujinga kutetea mashetani, usije kupata hukumu ya Mungu bure,
Kama kuna wagtu wanaoongoza kwa unafiki duniani basi ni Waingereza! Wanajifanya ni waungwana lakini ukweli ni kwamba ni washenzi wa kutupwa!!! Kesi dhidi ya Radar ilianzia Uingereza....je, wao wamefunga wangapi?! wangapi wamewapeleka mahakamani?! tangu lini kesi ya ufisadi ikaisha kwa kurudisha chenji?! maofisa wao waliokuwa wamehusika na ufisadi ule wamewapeleka mahakamani?! Na mbaya zaidi, walifanya ufisadi wa aina ile kwenye nchi mbalimbali; mbona hawajafanya lolote?!
You must be profoundly dumb. Hizo comments zimetoka serikali ya Uingereza au kwenye bunge lao? Zina uhusiano gani na ushoga? Hayo yaliyoandikwa unaweza kuthibitisha kwamba si kweli?