A
Anonymous
Guest
Tarehe 6 na 7 mwezi huu wa tano kulikuwa na mitihani ya mock Wilaya.
Wilaya ya Mvomero watoto walichangishwa 'rim papers 10' kwa kila mtihani kwenye uhalisia wa matumizi, ni mtihani moja tu wa hesabu ulitumia karatasi nne. Mitihani mingine ilitumia karatasi mbili.
Karatasi zilizo zidi zilitumika kwa matumizi gani? Lakini pia kulikuwa na changisho la shilingi elfu moja kwa kila mtoto.
Kama hiyo haitoshi walimu wasimamizi wa mitihani kutopewa posho ya chakula na nauli ni utaratibu kutoka wizara husika?
Nawailisha.
Wilaya ya Mvomero watoto walichangishwa 'rim papers 10' kwa kila mtihani kwenye uhalisia wa matumizi, ni mtihani moja tu wa hesabu ulitumia karatasi nne. Mitihani mingine ilitumia karatasi mbili.
Karatasi zilizo zidi zilitumika kwa matumizi gani? Lakini pia kulikuwa na changisho la shilingi elfu moja kwa kila mtoto.
Kama hiyo haitoshi walimu wasimamizi wa mitihani kutopewa posho ya chakula na nauli ni utaratibu kutoka wizara husika?
Nawailisha.