mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,410
- 722
nasikia wana mpango wa kuanzq kuvisambaza africa india bangladesh na baadhi ya miji ya china(northeen west)
Mmh
nasikia wana mpango wa kuanzq kuvisambaza africa india bangladesh na baadhi ya miji ya china(northeen west)
hii comment yako sasa inajieleza wanapukutika wenyewe hukoWanajisumbua tu, watakufa wenyewe, hivi mmesikia kuna ngozi nyeusi imekufa kwa mafua?? Tungekuwa hatupendi jig jig hata UKIMWI ungetupitia mbali, tatizo UKIMWI "....umekaa mahali pabaya"
Miaka 9 badae ndio tunaona matokeo. Kimeanzia Uchinanasikia wana mpango wa kuanzq kuvisambaza africa india bangladesh na baadhi ya miji ya china(northeen west)
Kweli JF kuna siri nyingiMiaka 9 badae ndio tunaona matokeo. Kimeanzia Uchina
Na ndivyo walivyofanya.Ni wazi kuwa wameona idadi ya watu inazidi kwa kasi duniani. Lakini wanaozidi kwa kasi ya ajabu sio wazungu, ni hizi jamii za yellow, brown, blacks.
Ukuaji na ongezeko hili la watu wa rangi ni tishio kwa "race teule!". Walishaanza kuvijaribu kuvieneza virusi hivyo kwa majaribio kuna siku wataviachia visambae hasa katika hizo nchi za warangi.
AyeeeeeKuna article moja ya freemasons inayohusu NWO, inaeleza kuwa in future, hakutakuwa style ya kulipuana mabomu kama wafanyavyo terrorists. Lkn vita kubwa itakuwa ni terrorists kwa kutumia virus, hewa haitakuwa salama tena, watu watatembea wakiwa wamejifunga vitambaa mdomoni na puani kama doctors in surgery rooms.
Tujiandae na NWO.
CoronaKuna article moja ya freemasons inayohusu NWO, inaeleza kuwa in future, hakutakuwa style ya kulipuana mabomu kama wafanyavyo terrorists. Lkn vita kubwa itakuwa ni terrorists kwa kutumia virus, hewa haitakuwa salama tena, watu watatembea wakiwa wamejifunga vitambaa mdomoni na puani kama doctors in surgery rooms.
Tujiandae na NWO.