depression

The Great Depression was a severe worldwide economic depression that took place mostly during the 1930s, beginning in the United States. The timing of the Great Depression varied across the world; in most countries, it started in 1929 and lasted until the late 1930s. It was the longest, deepest, and most widespread depression of the 20th century. The Great Depression is commonly used as an example of how intensely the global economy can decline.The Great Depression started in the United States after a major fall in stock prices that began around September 4, 1929, and became worldwide news with the stock market crash of October 29, 1929, (known as Black Tuesday). Between 1929 and 1932, worldwide gross domestic product (GDP) fell by an estimated 15%. By comparison, worldwide GDP fell by less than 1% from 2008 to 2009 during the Great Recession. Some economies started to recover by the mid-1930s. However, in many countries, the negative effects of the Great Depression lasted until the beginning of World War II.The Great Depression had devastating effects in both rich and poor countries. Personal income, tax revenue, profits and prices dropped, while international trade fell by more than 50%. Unemployment in the U.S. rose to 23% and in some countries rose as high as 33%.Cities around the world were hit hard, especially those dependent on heavy industry. Construction was virtually halted in many countries. Farming communities and rural areas suffered as crop prices fell by about 60%. Facing plummeting demand with few alternative sources of jobs, areas dependent on primary sector industries such as mining and logging suffered the most.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Wahitimu wa vyuo vikuu wengi wana depression. Vijana ambao hawajavuka hata form 4 wanazidi kujipata tu, sababu hawana aibu na hawajipi class ya juu

    Elimu ya chuo kikuu ni muhimu lakini karama ya kuzalisha pesa ni muhimu zaidi. Average age ya kuhitimu ama kumaliza digrii ya kwanza Tanzania ni miaka 24. Vijana wengi waliohitimu chuo wana msongo mkubwa wa mawazo sababu ajira hakuna. Na pia elimu imewaweka daraja la juu hawawezi kufanya kazi...
  2. Sitaki kuamini

    To my JF family, nina DEPRESSION

    Depression hii imesababishwa na anguko kubwa la kiuchumi ninalopitia. Biashara imechakaa, sina mzigo wala pesa bali madeni tu, I am stalked. Things are not moving, napitia kipindi kigumu sana kuliko vipindi vyangu vyote vigumu hapa duniani. I'm in btn devil and deep blue sea.
  3. N

    Regression: Rushwa ilivyonitajirisha, stress na depression zinanitesa mniombee

    Mods tafadhali msifute huu uzi wangu hili kuwapa funzo watumishi wa umma wapya wanaongia kwenye utumishi wa umma kwa lengo la kujitajirisha kuliko kuwahudumia wananchi Mie ni mtumishi wa umma makao ya nchi kiukweli siku za hapa karibuni nimekuwa na majuto ambaye yanapelekea ufanisi wangu wa...
  4. F

    RUBY ana Trauma na Depression, wanaomponda Ruby ni wajinga na ndio wamejaa kwenye familia zetu na maofisini

    Habari wadau. Nazani wengi tumeona trending za msanii wa kike Ruby. Binafsi najua ruby amekosea ila kuna kitu nimekigundua na kumuelewa ruby. Historia ya maisha ya ruby tu imempa hasira hasira. Mtoto alielelewa kwa upendo wa baba na mama ana tofauti na mtoto alielelewa kwenye familia isiyo...
  5. Lil Sanguine

    Depression, stress, sorrow, sad

    Kuna tofauti gani iliyopo kati hizo terms hapo huwa zinanitatiza.Kwenu JF
  6. Aunt Rasta

    SoC03 Mnaifahamu postportum depression?

    Wahenga wanasema utamu wa ngoma uingie ucheze, ukweli wa jambo kama halijakukuta wewe wakati mwingine ni ngumu kumuelewa Yule anaelipitia, katika maisha yangu sikuwahi kuwaza kama kuna siku uzazi utanifanya nijione mwendawazimu, hasa vile vipindi nikilia kama mtoto mdogo asiyejua mama yake yuko...
  7. N

    Mrejesho: Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

    Habari za asubuh wapendwa JF, Nitumie fursa hii kuwashukuru sana kwa moyo wenu mliouonyesha kwangu. Sio kwamba tatizo limeisha moja kwa moja ila mmeweza kusimama na angalau sasa naweza kutoka nje na nikacheka na watu as if nothing is there which kwangu ni hatua. Mmenionyesha upendo mkubwa sana...
  8. N

    Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

    Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia. Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usiku...
  9. aziz habib

    Je, ni depression? Nimekuwa na wakati mgumu sana ambao umedumu na hali yangu imezidi kwenda mrama

    Habari wana JF, Nimekuwa na wakati mgumu sana ambao umedumu na hali yangu imezidi kwenda mrama. Nimejaribu kutatua changamoto kwa namna mbalimbali imeshindikana na sasa nimejikuta napitisha miezi miwili sijalipa kodi ya pango. Nimekuwa nikimuomba mwenye nyumba mara kadhaa anipe muda na sasa...
  10. M

    Depression is real

    Afya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijana💔😩
  11. Wansakieki

    Suluhisho la kucheleweshwa kwa 'placements' ni hili

    Habari za uzima wadau? Bila kupoteza muda naomba niende kwenye maada directly. Hili suala la ucheleweshwaji wa placements, hakika limekua tatizo kubwa sana ambalo moja kwa moja wanaoathirika ni vijana(job seekers). Hivyo basi napendekeza hili lifanyike from now. Napendekeza Kutolewa majibu ya...
  12. BARD AI

    Depression na Wasiwasi Uliopitiliza unagharimu Uchumi wa Dunia zaidi ya $ Trilioni 1 kila mwaka

    Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Takriban 20% ya Watoto na Vijana duniani wana Tatizo la #AfyaYaAkili, ikiwa ni sababu ya Pili kwa kuchangia Vijana wenye miaka 15 hadi 29 kujiua duniani. Pia, katika kila kundi la Watu 5 waliopo kwenye mazingira yenye Vurugu, mmojawapo anakabiliwa na...
  13. Chikenpox

    Fact: Magufuli destroyed our economy and we were herding to total economic depression

    Thanks God that all is well. In fact our GDP is still very low and it is as 5 times lower that that of Washington DC not speaking about the whole country. Even the low budget of roughly 3.3 trillion reflects the low GDP of this country. Now, contrary to what was expected jpm decided to launch...
  14. C

    Wakuu depression inanimaliza

    Kwema ndugu zangu, Niende moja kwa moja kwenye mada, nimekuwa napitia hali ngumu ya maisha Niko stressed sana, jobless mpaka naona mtaani nadhalilika mbele ya ndugu jamaa na marafiki. Najitahidi ku fight back ila sio rahisi. Muwe na mchana mwema.
  15. Ryan Holiday

    Viongozi mtatuua kwa sonona

    Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day. ✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔 🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia? 🤔Bado viungo? 🤔Bado sijanunua mafuta ya kula? Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe...
  16. NetMaster

    Wengi tuna 'depression' lakini tunaogopa kuongelea kwa kuhofia kuonekana dhaifu, kutangazwa, kuchekwa na tunaowashirikisha kufurahia tunayopitia

    Hasa wanaume tunashindwa kusema ukweli kwamba tuna depression kwasababu tunaogopa kuonekana dhaifu kama wanawake, pia namna ambavyo jamii inamchukulia mwanaume inamuona kama kiumbe ambaye anatakiwa awe ngangali muda wote ila kiuhalisia depression haichagui mwanaume wala mwanamke. Wengi sana...
  17. G

    Depression Itaniua

    Habari za leo wana GT. Niende kwenye hoja ya msingi. Kwa utambulisho huu mimi si mgeni humu ila ID nliyotumia ni mpya niliona nifungue hii ili nisiwezekujulikana na wanaoifahamu ID yangu iliyozoeleka hasa mke wangu. Kwa hakika hapa nilipo nina msongo wa mawazo unanisumbua na ninahisi...
  18. FRANCIS DA DON

    Je, kuna tatizo la ‘Inbreeding depression’ nchini Rwanda?

    Katika vitu ambavyo vinanishangaza, ni wananchi wa Rwanda almost 90% wamefanan sura na Rais Kagame, je, hii inaweza kuwa moja ya matokea ya ndugu wa damu wa karibu kuzaliana wenyewe kwa wenyewe? Kwa kiingereza wanaita ‘Inbreeding depression’, je, inaweza kuwa ndio sababu ya kufanana wanachi...
  19. kahara

    Nina depression ya kukimbiwa

    kama kichwa cha habari tajwa nilikua na mahusiano na mke wa mtu aliye mkimbia mume miez kadhaa sasa bhana na mimi kanikimbia karudi kwa mume wake sasa kila nawaza kumtoa kichwani hatoki nawaza nifanye nini ili nimsahau mwenye usaidi ani mp japo ni recove
  20. hopetumaini

    Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

    Habari za jioni wapendwa. Mimi ni mtumishi wa afya katika moja ya hospitali zilizoko jiji la Makalla. Mwanzoni mwa wiki iliyoisha alikuja mrimbwende mmoja kumuuguza rafiki yake aliyekua kalazwa hospitalini kwetu. Nilimwelewa sana huyu mlimbwende nikajisemeha huyu mtoto siwezi muacha hivihivi...
Back
Top Bottom