Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

Hayuko sawa.... Anataka ajitoe mwenyewe .....

Ghafla sms !!!

Utetezi ni kumsingizia Mama Catherine !!.


Kwa kuisoma hiyo meseji alokosea vipandevipande....

Kwanza anataka Usalama , Wake za watu sheria namba Moja wanayoizingatia anapotaka kuchepuka ni usalama wake

Uko Sipajui. Hapo anayempa maelekezo kamtajia sehem ambayo ni ngeni Kwa Demu .( hii Kwa wanaume wengi tunapotia maelekezo ya kuletewa kipochi manyoya, ishatukuta sana .

mwisho kaweka Kaimoji !!!!!!!!!!!.

Baada ya kuvuruga mchongo wake, ameingia na GIA ya kwenda Kwa Mama yake!!.


Ni wazi anatafuta Mbinu ya kwenda kutombwaa !! Hilo liko wazi kabisaaa !!.


Kuna mambo Wanaume Huwa napenda wote myafaham, niliwah andika kwenye uzi Fulani ..

Mwanamke wako awe ni mpenzi/Mchumba/Mke ni lazima ajue kua hiyo ndio mipaka ambayo akiivuka UTAMWACHA Mara Moja ,haijalishi nn !!.

kama mwanamke anakusaliti ...Mpige chini.

Kama mwanamke hakuheshimj..Mpige chini.

Kama mwanamke anakusemea vibaya Kwa Marafiki au Jana zake.....Mpige chini.

Kama mwanamke anataka umfanye kipaumbele sana kuliko ndoto zako...Mpige chini.

Kama mwanamke kuanzia kuvaa kwake na kujiremba ninkwaajili ya kuwafurahisha watu wa nje nasio wewe...Mpige chini


Kwa wanaume Wanaopata Wanawake Kwa bahati, wanaweza wasinielewe, wao ,watakuja kunikot Kisha waseme " Kwa staili hiyo utaacha Wanawake wangapi?"

Jibu ni Dogo...... "Endelea kuacha mpaka pale utakapopata anayekufaa".


Nahapa mnielewe, Mwanamke wakumfaa mwanaume ,Kila mwanaume anamwanamke wake kaumbiwa, na kanuni ya Asili inasema, unaweza kutana na watu wasuosahihi zaidi ya 1000 kabla hujakutana na Soulmate wako !!! NDIOOOO !!!.
USISHANGAE umeoa, ila hujaoa Soulmate wako, kwahiyo naye yupo kwenye wale 1000 wa safari !! ndiooo.



Kwa hiyo ,Muwafanye Wanawake wenu wajue hayo mambo nloyataja hapo juu, na wajue kabisa kua, hutokaa iyavumilie hata Kwa sekunde Moja.


Kuhusu Mkeo ....


KUA MKOLONI TU, NENDA NAYE WEWE MWENYEWE MPAKA KWAO !! SHINDA NAYE MPAKA JIONI YA SAA MBILI USIKU.... ( WAKATI CHUNGUZA ANAVYOKUA BIZE NA SIMU)

Hapa anaweza jifanya mrudi naye au atajifanya kutaka kulala, kubali alale.. alafu wee ondoka hapo kwao saa mbili hiyohiyo.



Unaweza amua kwenda kwako ila ukienda kwako, hakikisha mida ya saa Nne unarudi kwao Tena, zuga tu umepoteza kitu so ulikuja kutafuta.



Au Kaa tu Jirani na Miata yao hiyo, utaona anatoka Tena ( Kuna mchepuko Mmoja niliwah kumla hivo, Mumewe alimpeleka Hadi kwao, baadae akarudi, Demu naye akampanga mama yake akaniletea mbusus)..... So ili naongea najua mbinu zao zote Hawa viumbe.
...... Mpaka hapo utakua umejua kua alikua anataka kufanya ujinga wake.



Hiyo saa nne UKIMKUTA yupo, zuga ulisahau kitu na umepitia Matunda kwaajili ya mama , Kaa Kaa mpaka saa tano Kisha sepa.


Kesho yake mapema nenda kamchukue Mkeo unaweza mkuta hayupo pia au yupo ,kama yupo mchukie ,mkifika nyumban, Anzisha ugonvi, kua Mkali, mwambie umejua Kila kitu , mwambie umejua Kila kitu na mpango wa kutaka kukuzunguka, yaan hakikisha umemtetemesha na katetemeka, alafu Nenda zako kazin ukimuachia Ujumbe, nikirudiii utanitambua ngoja niwahi kazin.



Kuna mawili , aombe Msamaha mwenyewe au ale Yamini, akila Yamini yaan usugu , mpaka ukirudi, piga kimyaa, piga kimyaaa tu Wala usimsemeshe, piga kimya siku ya Kwanzaa, yapili, usile hata Chakula chake, siku ya tatu nne, ujifulie mwenyewee, Kila kitu jifanyieee, au urudi umekula kabisa, Nunua PANGA na ajue umenunua PANGA , weka chini ya uvungu , kua bize bize na simu .


Kuna mawili, akuombe Msamaha mwenyewe, au akimbilie kwao , huko akimbilia kwao, endelea kumkazia ,kaza mkazie yey na mama yake na baba yake akiri Kosa lake .


Hapo atakiri, akikiri utachagua, mwenyewe Sasa !!.


Kwa ufupi nmeeleza mengi, ambayo Ndani yake ni kama ukatili au ukoloni, ila hivo ndivo njia sahihi ya kuishi na mwanamke yoyote yule.

endeleeni kuendekeza ubebibebi mamaeee !!. Mtakufa Kwa mawazo au wake zenu watawaua .


KUWENI WAKOLONI ,MSIYUMBISHWE !!.
 
Kwanin usimfatilie kimya kimya ukamzabe amkofi mbele ya huyo jamaa ake anaekutombee Kisha wahi nyumbanin kwako rusha nguo zake zote nnje aje aondoke Moja kwa moja bila vikao na kikao ikiwekwa wape hyo msg ya alitumiwa na jama ake period

Alfu ukisha mzaba makofi yule jamaa mpige biti Kali mno aingie mitini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye attachment hii ni convo ya mimi na mkewangu ambayo ilifanyika jana kupitia simu zetu. Story ni hivi, juzikati 'Jmosi' tuliandaa sherehe ya birthday ya mwaka mmoja ya mtoto wetu D, tulifanyia nyumbani huku tukialika majirani kadhaa. Maandalizi ya tukio zima roughly ilinicost kama laki2 na nusu hivi, nashukuru Mungu ilipendeza sana kama matarajio yetu yalivyokuwa (tulienjoy).

Kesho yake Jpili siku ya pasaka baada ya kutoka church nikaunganisha kwenye shughuli zangu za ujasiriamali, maana kama ni kusherehekea jana yake nilisherehekea vya kutosha kwa maana hadi saa7 usiku tulikuwa tunacheza mziki na kupigwa vyombo, hivyo sikuona sababu ya kuwa na mtoko tena siku inayofata badala yake niitumie hiyo siku kupiga kazi na kuupa unafuu mfuko baada ya kuvunja kibubu, Mama D aliniomba tutoke nikamwambia nimechoka na shughuli ya jana, acha leo nipige kazi, siku ikawa imepita.

Siku ya jana j3 nilikuwa kazini kwangu, nikawa na convo fupi ya sms na Mama D, baada ya kama nusu saa akatuma ujumbe kimakosa ambao ulikuwa unapaswa kwenda kwa mtu mwingine

'Mtandao mbaya sehem gani kutakua na usalama? Uko sipajui [emoji3059]Nijibu kwa sms plz'.

Sikumjibu chochote baada ya kusema amekosea huo ujumbe ulikuwa unaenda kwa 'Mama Catherine ', baada ya kama lisaa limoja nikarudi home kupata lunch, sikuhoji chochote kuhusu hiyo msg yake, akasema by saa 10 jioni ataondoka kuelekea Beach. Mimi nikamwambia usiende, akahoji kwanini wakati uliniruhusu? Nikamwambia nikweli nilikuruhusu ila nimeahirisha, maongezi yakaishia hapo japo alionekana kukasirika, leo asubuhi kipindi tunapata breakfast kaniomba ruhusa kesho 'Jtano' aende kumuona Mama yake, mimi nikamjibu sawa (Mama yake anaishi pembeni mwa mji, ni kama kilometa 15 kutoka tunapoishi).

Kifupi hiyo sms ya jana aliyoituma kwangu kimakosa imenifikirisha sana, na hii safari ya katikati ya wiki kwenda kumuona Mama imenifikirisha zaidi, nahisi kuna mnyamwezi anataka kunisaidia majukumu, naombeni ushauri wasomi wenzangu, huu mtego nautegua vipi ama ni hisia zangu tu ndio zimekuwa negative? Nimruhusu hiyo kesho aende, ama nimkatalie ili niharibu formation?

NB; kwa miaka miwili tuliyoishi pamoja sijawahi mfumania Mama D, wala sijawahi hisi kama ananisaliti, ila kwa hiyo meseji nimeanza kuhisi kituView attachment 2584561
Wewe kama Screpa huna jipya[emoji1787] Mama Dee hana budi kuchukua Altenative.
 
Hapa ni ngumu kutegua formation, hawa Madrid wanapga counterattacks za kutisha
 
Mimi demu wangu nimemfumania aisee, kumbe anatumia simu mbili moja yenye line yangu na nyingine simu ndogo ambayo anatumia kuwasiliana na mabwana zake,...

Na hii niliamua kulichunguza na kumchunguza mwenyewe kama kweli nilifanya chaguo sahihi au laa..


Nilivyotambua hivyo roho ili niuma sana na nikachukua jukumu la kumpiga chini fasta kabla ya tatizo kuwa kubwa.
 
Kwenye attachment hii ni convo ya mimi na mkewangu ambayo ilifanyika jana kupitia simu zetu. Story ni hivi, juzikati 'Jmosi' tuliandaa sherehe ya birthday ya mwaka mmoja ya mtoto wetu D, tulifanyia nyumbani huku tukialika majirani kadhaa. Maandalizi ya tukio zima roughly ilinicost kama laki2 na nusu hivi, nashukuru Mungu ilipendeza sana kama matarajio yetu yalivyokuwa (tulienjoy).

Kesho yake Jpili siku ya pasaka baada ya kutoka church nikaunganisha kwenye shughuli zangu za ujasiriamali, maana kama ni kusherehekea jana yake nilisherehekea vya kutosha kwa maana hadi saa7 usiku tulikuwa tunacheza mziki na kupigwa vyombo, hivyo sikuona sababu ya kuwa na mtoko tena siku inayofata badala yake niitumie hiyo siku kupiga kazi na kuupa unafuu mfuko baada ya kuvunja kibubu, Mama D aliniomba tutoke nikamwambia nimechoka na shughuli ya jana, acha leo nipige kazi, siku ikawa imepita.

Siku ya jana j3 nilikuwa kazini kwangu, nikawa na convo fupi ya sms na Mama D, baada ya kama nusu saa akatuma ujumbe kimakosa ambao ulikuwa unapaswa kwenda kwa mtu mwingine

'Mtandao mbaya sehem gani kutakua na usalama? Uko sipajui [emoji3059]Nijibu kwa sms plz'.

Sikumjibu chochote baada ya kusema amekosea huo ujumbe ulikuwa unaenda kwa 'Mama Catherine ', baada ya kama lisaa limoja nikarudi home kupata lunch, sikuhoji chochote kuhusu hiyo msg yake, akasema by saa 10 jioni ataondoka kuelekea Beach. Mimi nikamwambia usiende, akahoji kwanini wakati uliniruhusu? Nikamwambia nikweli nilikuruhusu ila nimeahirisha, maongezi yakaishia hapo japo alionekana kukasirika, leo asubuhi kipindi tunapata breakfast kaniomba ruhusa kesho 'Jtano' aende kumuona Mama yake, mimi nikamjibu sawa (Mama yake anaishi pembeni mwa mji, ni kama kilometa 15 kutoka tunapoishi).

Kifupi hiyo sms ya jana aliyoituma kwangu kimakosa imenifikirisha sana, na hii safari ya katikati ya wiki kwenda kumuona Mama imenifikirisha zaidi, nahisi kuna mnyamwezi anataka kunisaidia majukumu, naombeni ushauri wasomi wenzangu, huu mtego nautegua vipi ama ni hisia zangu tu ndio zimekuwa negative? Nimruhusu hiyo kesho aende, ama nimkatalie ili niharibu formation?

NB; kwa miaka miwili tuliyoishi pamoja sijawahi mfumania Mama D, wala sijawahi hisi kama ananisaliti, ila kwa hiyo meseji nimeanza kuhisi kituView attachment 2584561
Usipoziba ufa utajenga ukuta,..fanya uchunguzi wa kina yaani kun'ywa maji ya bendera kweli kweli unapoamua kuutambua ukweli.


Mwanaume mwenzangu miaka miwili 2 ni michache sana kwa mwanamke kuanza kuchepuka ndani ya ndoa huyo ipo siku atakutoa roho..
 
Too late.
Mruhusu aende, lkn usiwe bwege, hakikisha unaondoa wasiwasi wako kwa kujiridhisha ujue moja kichwani kuwa....
 
Kwenye attachment hii ni convo ya mimi na mkewangu ambayo ilifanyika jana kupitia simu zetu. Story ni hivi, juzikati 'Jmosi' tuliandaa sherehe ya birthday ya mwaka mmoja ya mtoto wetu D, tulifanyia nyumbani huku tukialika majirani kadhaa. Maandalizi ya tukio zima roughly ilinicost kama laki2 na nusu hivi, nashukuru Mungu ilipendeza sana kama matarajio yetu yalivyokuwa (tulienjoy).

Kesho yake Jpili siku ya pasaka baada ya kutoka church nikaunganisha kwenye shughuli zangu za ujasiriamali, maana kama ni kusherehekea jana yake nilisherehekea vya kutosha kwa maana hadi saa7 usiku tulikuwa tunacheza mziki na kupigwa vyombo, hivyo sikuona sababu ya kuwa na mtoko tena siku inayofata badala yake niitumie hiyo siku kupiga kazi na kuupa unafuu mfuko baada ya kuvunja kibubu, Mama D aliniomba tutoke nikamwambia nimechoka na shughuli ya jana, acha leo nipige kazi, siku ikawa imepita.

Siku ya jana j3 nilikuwa kazini kwangu, nikawa na convo fupi ya sms na Mama D, baada ya kama nusu saa akatuma ujumbe kimakosa ambao ulikuwa unapaswa kwenda kwa mtu mwingine

'Mtandao mbaya sehem gani kutakua na usalama? Uko sipajui [emoji3059]Nijibu kwa sms plz'.

Sikumjibu chochote baada ya kusema amekosea huo ujumbe ulikuwa unaenda kwa 'Mama Catherine ', baada ya kama lisaa limoja nikarudi home kupata lunch, sikuhoji chochote kuhusu hiyo msg yake, akasema by saa 10 jioni ataondoka kuelekea Beach. Mimi nikamwambia usiende, akahoji kwanini wakati uliniruhusu? Nikamwambia nikweli nilikuruhusu ila nimeahirisha, maongezi yakaishia hapo japo alionekana kukasirika, leo asubuhi kipindi tunapata breakfast kaniomba ruhusa kesho 'Jtano' aende kumuona Mama yake, mimi nikamjibu sawa (Mama yake anaishi pembeni mwa mji, ni kama kilometa 15 kutoka tunapoishi).

Kifupi hiyo sms ya jana aliyoituma kwangu kimakosa imenifikirisha sana, na hii safari ya katikati ya wiki kwenda kumuona Mama imenifikirisha zaidi, nahisi kuna mnyamwezi anataka kunisaidia majukumu, naombeni ushauri wasomi wenzangu, huu mtego nautegua vipi ama ni hisia zangu tu ndio zimekuwa negative? Nimruhusu hiyo kesho aende, ama nimkatalie ili niharibu formation?

NB; kwa miaka miwili tuliyoishi pamoja sijawahi mfumania Mama D, wala sijawahi hisi kama ananisaliti, ila kwa hiyo meseji nimeanza kuhisi kituView attachment 2584561
Unaambiwa jamaa huwa wanapita mlango wa mbele ila kuondoka wanaondokea wa nyuma
 
Nimesoma kwa uchungu sana huu uzi,
Ningekushauri kitu ila naogopa kuja kutoa ushahidi mahakamani kwa kesi ya mauaji!
 
Wee mruhusu aende. Kama unataka ajue uko unalia timing mwambie japo anytime utapita hapo kwa mama yake pia kumjulia hali ikiwezekana mtarudi wote. Usitaje muda utakaoenda
 
Bro kwa elimu yangu ya darasa la 4C shule ya msingi Mwanamboka... Mkeo anaenda kukojolewa... Halafu umesema for 2 years hujawah kumfumania au kumhisi..? [emoji28] She's very smart atakua alisomea Cuba namna ya kuishi kwa umakini...
Ila kuna kitu hakipo sawa, inaonekana mkeo hakueshimu hakuogopi anakudharau, inaonekana umempa nafasi ya kukuona wewe fala sana... Yaani hiyo msg ilitosha kabisa aogope awe na wasiwasi asitoke nje ya nyumba mwaka mzima... Ila cha ajabu bado anakuomba ruhusa anaenda sehem unamkatalia anakupa sababu nyingine eti anaenda kwao kusalimia [emoji28][emoji23]... Mimi nitombewe tu dharau za wazi hivi ninamtoa mtu roho kimya kimya...
Anyways ndoa njema bro
We jamaa mbona umeniandikia nilivyotaka kukoment?[emoji848][emoji848][emoji23]yaani iko wazi kajamaa kanatombewer mke
 
Ee Mungu ifunike hii ndoa na kila jambo adui alilokusudia kuwa njia ya kuivuruga ndoa hii lisifanikiwe. AMEN.
Wanawake wasioridhika kwenye ndoa zao ndio chanzo cha kufanya wanaume wasio kwenye ndoa kuona ndoa ni ni kama gereza lenye mateso ya kila aina na yasiyo na ukomo .... Mungu tusaidie kizazi hiki.
Amina....
 
Back
Top Bottom