Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
S Wassira huyu hapa: (Ndiye alikuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni):!
Duh hii kali! Usingizi hauna Baunsa!
KIBUGUMO nakuunga mkono!!! Mapumziko ni haba sana!! Watu wako kwenye ULABU hadi saa za usikiu mkubwa; wakiondoka waondoke na mzigo wa chumbani (bed room baggage)..Kweli asubuhi utayasikia yanayojadiliwa??? Ndiyo maana wengi wao hata MAKABRASHA wanayowekewa kwenye pigeon holes (visanduku kwa kila Mh kwa ajili ya documents) huwa hazisomwi!! Toka lini mtu kama siyo JINIASI akaweza kusoma mambo muhimu na kuyaelewa wakati yu KILAJI CHAKARI??!! MUNGU SAIDIA Tz
Huyu Mheshimiwa hayo mabangu bangu usoni ni athari za mkorogo au saratani ya ngozi?
[/QUOTE
Ni sura yake tu ya kawaida. Hana tatizo
Jamani Mzee Wasirra anasumbuliwa na UZEE msamaheniSasa hivi kuna lugha mpya imekuja tunapoona waheshimiwa wakiwa wamesinzia huku vikao vya bunge vikiendelea pale bungeni, kwa mfano gazeti moja la kilasiku kutoa picha ya muheshimiwa naibu waziri wa ushirikiano wa Africa Mashariki, Dk. Abdulla Juma Saadalla akiwa ameuchapa usingizi kabisa pale bungeni siku ya jumanne katika kikao cha kuchangia bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2011 -2012 lakini lugha ilyotumika pale ni kua alikua ANATAFAKARI jambo! Haya tena siku ya jumatano gazeti hilohilo limetoa picha ya muheshimiwa waziri wa Nnchi,ofisi ya Raisi (Mahusiano na uratibu) Stephen Wassira naye kwenye picha gazeti la jumatano akiwa anaonekana ameuchapa usingizi kabisa,lakini lugha iliyotumika pale ni kua ANATAFAKARI! jamani wanaJF wenzangu nisaidieni kuhusiana na hii lugha!
Ajabu ni kwamba wanasinzia lakini bado wanendelea kugonga meza bila hata kujua ni kitu gani kimeongelewa!