Nawe ulilisoma hilo shairi lo??
sasa ntalingana nawew wa afu 2Kumbe dogo kabisa
mmh thumun ni hela ama?Yaani 2004 unamwita mhenga huyo? Hebu tuache dharau! Watu wanazungumzia enzi ya mwisho ya Julius KN wewe unasema enzi za Kiwete? Tuliotumia thumuni hebu tujuane!
Endelea kuota! 2000 anatafuta nini humusasa ntalingana nawew wa afu 2
Unaona sasa! Hujui hata thumuni ni nini!🤦🏽♀️mmh thumun ni hela ama?
Gen Z mna shida! Hela hiyo. Enzi hizo ukiwa nayo unalisha mihogo timu nzima!mmh thumun ni hela ama?
hebu tuweke wazi sasa umri wako, huenda ukapata na mchumba humu.Endelea kuota! 2000 anatafuta nini humu
hatujuagi vyote duniani mamaUnaona sasa! Hujui hata thumuni ni nini!
duuh kwahyo iliitwa thumun hvohvo tu au ilikua na kiwango tofaut nayenyewe kama tunavoita saiv Tsh 500 au 100?Gen Z mna shida! Hela hiyo. Enzi hizo ukiwa nayo unalisha mihogo timu nzima!
Acha waendelee ku imagine tu naenjoy mwenzio😅hebu tuweke wazi sasa umri wako, huenda ukapata na mchumba humu.
Maana watu huwa wanaku imagination tu.
Hakuna muhenga hajui thumuni banahatujuagi vyote duniani mama
hahaha heloo maza, ngoja nicheke kisukuma kabsaAcha waendelee ku imagine tu naenjoy mwenzio
kwani uhenga unaanzia miaka mingapi?Hakuna muhenga hajui thumuni bana
Hiyo ilikuwa senti 50 ina picha ya sungura!duuh kwahyo iliitwa thumun hvohvo tu au ilikua na kiwango tofaut nayenyewe kama tunavoita saiv Tsh 500 au 100?
Sekaga ghete hango?hahaha heloo maza, ngoja nicheke kisukuma kabsa
95 kurudi 😎kwani uhenga unaanzia miaka mingapi?
wakati mim najua kila rika lina era yake.