We tuendelee kupost memes bn.Sisi ndio watoto wetu wana miaka 14 tutaacha kuwa wahenga?
Au assistant mhenga 🤣
Hata mimi nikitaja mbele ya Mwalimu mkuu 🤣🤣🤣Nimekumbuka nilitembezewaga kichapo na mama aliunga fimbo kama 3 za matunda passion, mbona nilitaja ela zilipo🙆🏽♀️
Suruali za bellbottom🤣Wewe, niambie kitu gani cha 80s unakikumbuka kama kweli mhenga
Hahaha noma!We tuendelee kupost memes bn.
Hii umehadithiwa, navokusoma wewe GenZ na haka ka ID kako ka mchongo😅😅Suruali za bellbottom🤣
"Wakati wa ujana wangu mimi baba yenu ,shati dukani Shilingi 6 unapata ,kwa hivi sasa shilingi 6 hata soda hupati" - Maalimu Gurumo - Usia wa babaMwaka 1993 tukiwa na rafiki yangu siku ya Christmas tukamuibia binti wa watu shilingi 100 ili tukanywe soda na biscuits, ile kesi ilifika home nikapewa dawa yangu ya uhakika.
Mkuu, kwa sisi gen z, hiyo 2000 mwaka 1996 ilikuwa ya pamoja? Au ndo mkusanyiko wa noti nyingi?Nilimwibia marehemu bibi sh 2000 nilikula wiki nzima na haikuisha nikanunua na saa 😂😂😂
Mwaka 1996 hiyo std 2 mpaka nilikamatwa hela nilikuwa naficha kwenye majani ya viazi vitamu shambani nyuma ya nyumba
Fahari...soda maridhawa sana! Niliiona kwa ufupi sana....mwenzie alikuwa Vimto aisee!Nakumbuka soda yangu ya kwanza kunywa naenda kununua dukani mwenyewe ilikuwa fahari kama sijakosea
Sijahadithiwa hata. Nikajua id zote humu ni za mchongo au?Hii umehadithiwa, navokusoma wewe GenZ na haka ka ID kako ka mchongo😅😅
Yangu ya ukweli....Sijahadithiwa hata. Nikajua id zote humu ni za mchongo au?
Noti nyingi Mkuu na noti yenye thamani ilikuwa ni ya sh 1,000Mkuu, kwa sisi gen z, hiyo 2000 mwaka 1996 ilikuwa ya pamoja? Au ndo mkusanyiko wa noti nyingi?
nusu kilo ya sukari na deni sh 400Sasa hivi shilingi 1,500 unapata nini?
Mmmh hilo jina mbona sijawahi kulisikia? Linamaanisha nini?Yangu ya ukweli....
Nataka nikuoe🤪
Ukisikia hasira za...... tijara kwa mvuviNa wewe siyo mhenga. Wahenga ni Sisi tuliotumia thumuni! Unaijua thumuni wewe? Au ile senti 5 ya samaki sijui alikuwa samaki gani yule mwenye mdomo umechongoka kama sindano!
hapo sasa, drum, guitor na saxaphone tu. hakuna kudownload biti hapo.."Wakati wa ujana wangu mimi baba yenu ,shati dukani Shilingi 6 unapata ,kwa hivi sasa shilingi 6 hata soda hupati" - Maalimu Gurumo - Usia wa baba
Duh, huyo kumvua si ni vita? Mdomo kama sindano!Ukisikia hasira za...... tijara kwa mvuvi
jibu lake ndiye huyo sasa. MKIZI
Live bila chenga watu wanacheza na vyombo.hapo sasa, drum, guitor na saxaphone tu. hakuna kudownload biti hapo..
Nduaro.Na wewe siyo mhenga. Wahenga ni Sisi tuliotumia thumuni! Unaijua thumuni wewe? Au ile senti 5 ya samaki sijui alikuwa samaki gani yule mwenye mdomo umechongoka kama sindano!