Nimegundua baadhi ya maneno yanakosa tafisiri sahihi katika kiswahili,"alakushaba" ni tofauti na "alakushwera"
Okushwera ni kufanya mapenzi rasmi na okushaba ni yale yakuibiana tu,hii kwa mujibu wa ufahamu wangu katika lugha hii!
Mkuu Bishanga asante kwa chemsha bongo hii.
Hayakuhuu!
just curious,harusi yako na arabela lini?
sosoliso