wahaya naomba mnitafsirie hii....

wahaya naomba mnitafsirie hii....

Last edited by a moderator:
Baba V acha hizo,
tena unajua kabisa sina ndoa
sasa ndo nini mnanibania kwa chama
au umeshamtafutia mke?

Hivi hujui kama chama ni taasisi au unataka kuolewa na ukoo mzima, wako wengi hawa majamaa kuwa makini?
 
Last edited by a moderator:
Baba V acha hizo,
tena unajua kabisa sina ndoa
sasa ndo nini mnanibania kwa chama
au umeshamtafutia mke?

Nilikuwa nasema ukweli tu.. si unajua tena sisi wa TANU YOUTH LEAGUE
"Nitasema kweli daima, fitna kwangu mwiko"
nilikuwa nampa angalizo ndugu yangu chama...
 
Last edited by a moderator:
Mmh.. Mi nashani ingelilikuwa hivi... Alakushaba alikubi omubona emijulile..... Inamaana kama mtu akikuomba kitu na akiwa na hamu nacho utamtambua tu atakavyoanza ukishampa... Ila hapo walibase kwenye kingono zaidi kuwa akiwa na hamu may be atavua speed sana ukishamkubalia.....
 
Last edited by a moderator:
sosoliso wewe humjui Mamndenyi , kwa chama anatafuta maslahi ya kisiasa ila kuhusu mambo ya kikubwa kwa Bishanga ndo amefika...

haaaaa Baba V leo umetoa ya mwaka yaani kwa sababu katibu kachukua mjukuu basi unafikiri kila mtu ameingia kwenye nyumba kwasababu ya maslahi? Mamndenyi hapa ndio kafika halafu hamna tatizo rika letu moja sio kama ile hesabu ya 75 na 34 yaani namba hazieleweki; Baba V vipimo vya Bishanga nimeshakupa yaani hamfikishi popote pale Mamndenyi!
 
Last edited by a moderator:
Masikini Mamndenyi.. Mapenzi yanamvunja mgongo.. halali aumwa mgongo lol..
sosoliso sasa umegeuka mpiga bao! Angalia sana unaweza kugeuka yaani hueleweki mara mpira unautoa pasi kwa biashanga mara unajipasia mwenyewe inaonekana utakunywa sumu mwaka huu lakini Mamndenyi utamuona kwa macho!
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa nasema ukweli tu.. si unajua tena sisi wa TANU YOUTH LEAGUE
"Nitasema kweli daima, fitna kwangu mwiko"
nilikuwa nampa angalizo ndugu yangu chama...
Baba V
Nakushangaa sana ulivyopoteza miiko na kujikita katika majungu yaani unataka kunivunjia nyumba yangu bila sababu hivi unajua mpaka sasa hivi niwekeza kiasi gani; yaani moyo wangu ukiupasua kabla ya kutoka damu litatoka jina Mamndenyi; najua unafanya juu chini kumpigia chapuo Bishanga hivi humuonei huruma? Kula yake mgogoro kweli ataweza kutunza kifaa kama Mamndenyi?
 
Last edited by a moderator:
Mmh.. Mi nashani ingelilikuwa hivi... Alakushaba alikubi omubona emijulile..... Inamaana kama mtu akikuomba kitu na akiwa na hamu nacho utamtambua tu atakavyoanza ukishampa... Ila hapo walibase kwenye kingono zaidi kuwa akiwa na hamu may be atavua speed sana ukishamkubalia.....

kumbe Bishanga katuandikia matusi humu
 
Last edited by a moderator:
Ya ya ya yaaaaa
waoooooo
nani tena kama chama

Wafundishe hivyo hivyo hawa ndugu zako kupenda.

Baba V
Nakushangaa sana ulivyopoteza miiko na kujikita katika majungu yaani unataka kunivunjia nyumba yangu bila sababu hivi unajua mpaka sasa hivi niwekeza kiasi gani; yaani moyo wangu ukiupasua kabla ya kutoka damu litatoka jina Mamndenyi; najua unafanya juu chini kumpigia chapuo Bishanga hivi humuonei huruma? Kula yake mgogoro kweli ataweza kutunza kifaa kama Mamndenyi?
 
Last edited by a moderator:
sosoliso usome haya maneno yakukae akilini,
chezea wana siasa weye,
Mamndenyi
Naona kijana wangu sosoliso kakimbia kijijini akidhania maisha mjini rahisi amepata hifadhi ya muda kwa Bishanga anajitahidi sana kujipendekeza kwa kumpa promo; vipi unaonaje tukimpa kibarua cha kuangalia bustani? uzoefu wa jembe anao!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom