sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,478
chama ndugu yangu unaweza kushangaa Mamndenyi atakavyokubali fasta mie kupewa kibarua cha kuangalia bustani yenu.. Maana atakuwa na uhakika wa ya kuendelea kwa mawasiliano yake na Bishanga.. Aliimba Marijani Mwana wa Rajabu a.k.a Doza kwamba asiejua kupenda aombe Mungu ampitishie mbali.. Mamndenyi mahaba yanamtenda..
Last edited by a moderator: