newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Kweli kabisa,nilikuwepo ktk kagera day 2007,Pesa iliyohaidiwa ilikifikia millioni 800,mpaka sasa hata 400millioni haijafika,
WAhaya misifa kibao,wakipigiwa simu simu kutimiza ahadi utasikia
Infwakti nilikuwa ktk mkutano wa UN last week so ntatuma cheki next week,huu ni wizi mtupu!! na sifa kibao
ila kwa kisomo kweli wamesoma ukilinganisha na makabila mengine Tz
WAhaya misifa kibao,wakipigiwa simu simu kutimiza ahadi utasikia
Infwakti nilikuwa ktk mkutano wa UN last week so ntatuma cheki next week,huu ni wizi mtupu!! na sifa kibao
ila kwa kisomo kweli wamesoma ukilinganisha na makabila mengine Tz