Wahaya Bwana- Kagera Day Balaa Tupu!

Kweli kabisa,nilikuwepo ktk kagera day 2007,Pesa iliyohaidiwa ilikifikia millioni 800,mpaka sasa hata 400millioni haijafika,
WAhaya misifa kibao,wakipigiwa simu simu kutimiza ahadi utasikia
Infwakti nilikuwa ktk mkutano wa UN last week so ntatuma cheki next week,huu ni wizi mtupu!! na sifa kibao
ila kwa kisomo kweli wamesoma ukilinganisha na makabila mengine Tz
 
"wamemsahau professor mukandala wa udsm" kwani walimkumbuka, Prof.Anna Tibaijuka?Prof:Kahamba,Prof.Kilama,Prof...........
 
Kweli kabisa,nilikuwepo ktk kagera day 2007,Pesa iliyohaidiwa ilikifikia millioni 800,mpaka sasa hata 400millioni haijafika,
WAhaya misifa kibao,wakipigiwa simu simu kutimiza ahadi utasikia
Infwakti nilikuwa ktk mkutano wa UN last week so ntatuma cheki next week,huu ni wizi mtupu!! na sifa kibao
ila kwa kisomo kweli wamesoma ukilinganisha na makabila mengine Tz
Si kweli. Wachaga na wanyakyusa wawaweka kundi lipi?
 
Kweli kabisa,nilikuwepo ktk kagera day 2007,Pesa iliyohaidiwa ilikifikia millioni 800,mpaka sasa hata 400millioni haijafika,
WAhaya misifa kibao,wakipigiwa simu simu kutimiza ahadi utasikia
Infwakti nilikuwa ktk mkutano wa UN last week so ntatuma cheki next week,huu ni wizi mtupu!! na sifa kibao
ila kwa kisomo kweli wamesoma ukilinganisha na makabila mengine Tz

Ahsanteni kwa kuwafanya wahaya famous. Kwa namna hii ndio wanazidi kwenda mbele wengine mbaki tu mnatambaa.
 
Sasa balaa liko wapi? Kwani kuchangia ni dhambi! Si inategemea na uwezo wao. Wao wako juu ndugu yangu!!!
fkj
Dar
 
Kagera Day ni balaa

Uchangiaji fedha katika siku ya Kagera day ni vituko tupu. Kiasi cha
shilingi Bilioni 1.4 zilichangwa mbele ya Lowasa ikiwa nipamoja na zawadi.

1. Prof. Rweikiza wa Marekani- Sh. milioni 50

2. Prof.Rutashobya wa Chuo kikuu cha Havard-Milioni 40

3. Prof. Rweyimamu wa Afrika Kusini hakuweza kuja leo lakini ametuma
hundi ya USD 20000

4. Prof Rwabuyongo wa Ufaransa ametoa Sh. millioni 20

5. Prof. Rwebangira yeye amemtuma mkewe Kokushubira na yupo hapa na
Cash. Milioni 15000 amechelewa ndege ifwakti akitokea kutoa matibabu
Canada kwa mgonjwa anaye mhudumia huko.

6. Prof. Kokubenza ambaye nimewasiliana naye kwa simu na amedai kuwa
ameshikwa na mafua amesema hakuna tatizo tumtume mtu aende London
akachuklue Milioni 45.

7. Dk. Kagirwa huyu alikuwa Mzumbe miaka ya 90 lakini sasa yupo chuo
Kikuu cha Oxford amesema atatoa milioni 30.

8. Dk. Muganyizi ametoa milioni 20.

9. Dk. Mchunguzi ambaye sasa anamalizia Reseach yake ili aupate
Uprofesa amesema yeye na mkewe ambaye ametunukiwa PhD juzi hapo
mlimani pamoja na mtoto wao Rwechungura atatoa milioni 20.

10. Wengine wengi kama akina Katabazi, Kavodago, Kaceritale,
Kazenitalema, Katalyeba na akina Kokushuma wao wametoa kiasi kidogo na
wao wamekaa kule nyuma hata hatukuona haja ya kukupa mkono kwa kuwa
wametoa cash milioni kati ya 5 na 9. Pia mheshimiwa hawa nikuwa wana
Masters tu ndo hata tumeona elimu bado ndogo sio sawa na akina Rwegasira.

hiyo day ni ya wasomi tu? au wahaya wote wana phd na uprofesa?
 
Dah,niutani lakini ukuzidi! Unauma kidogo ok,si mnajua tena wakati utani unapo zidi waweza kujisahau kuwa upo kwenye jumba la utani!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom