GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,064
- 126,669
Wadau,nimeshangazwa na wahariri waliohudhuria mkutano wa Lowasa kupiga makofi kushangilia alichokua anakisema ENL...hapa sio bure.
wewe unadhani rais mstaafu mkapa alipowatukana pale uwanja wa ndege miaka kadhaa iliyopita kuwa waandishi wa habari ( wahariri wakiwemo ) wa tanzania ni " stupid " alikosea? kwa mfano kati ya waandishi let say 10,000 nchi nzima wenye uwezo na ueledi wa kweli wa kazi yao hawazidi 7 na waliobaki ni mapoyoyo watupu. kwa mfano kanuni moja tu kuu ya mwandishi wa habari yoyote ni kuwa objective / neutral sasa kwa kitendo cha hao wahariri kupiga makofi hotuba ya lowassa unadhani kuna nini tena hapo? kama tiketi ya ndege mmelipiwa, hotel mnayoishi mmepangishiwa, gari inayowapelekeni ktk press conference hiyo ni ya huyo msaka urais, posho zenu mkiwa huko anagharamia yeye na pengine hata msaada wa kutoa mahari au posa za waandishi bado pia anatoa yeye unategemea asilambwe miguu? rais mstaafu wa awamu ya tatu alipowatukana hivyo sikumwelewa ila kwa jinsi waandishi wa habari na wahariri wanavyofanya sasa hata mimi naungana na mkapa kwa 100% zote