Kuwa na adabu hasa kwa watu usiowafahamu
Wote nyie ID zenu majanga hakuna wa kumcheka mwenzakeMtaka yote uangukia pua.
una uhakika wote wale walikuwa ni wahariri? wakati kuna watu wengi walikuwa wamevaa kofia za ccm?!!Wadau,nimeshangazwa na wahariri waliohudhuria mkutano wa Lowasa kupiga makofi kushangilia alichokua anakisema ENL...hapa sio bure.
Wadau,nimeshangazwa na wahariri waliohudhuria mkutano wa Lowasa kupiga makofi kushangilia alichokua anakisema ENL...hapa sio bure.
Wapuuzi tulitegemea wamuulize kama ataingia madarakani sheria kandamizi walizotunga ccm atazifuta au kuanzisha mchakato was kuzifuta baada ya siku ngapi kuingia madarakani
Wadau,nimeshangazwa na wahariri waliohudhuria mkutano wa Lowasa kupiga makofi kushangilia alichokua anakisema ENL...hapa sio bure.
Mods anzisheni jukwaa la kushangaa
Wote nyie ID zenu majanga hakuna wa kumcheka mwenzake
Wapuuzi tulitegemea wamuulize kama ataingia madarakani sheria kandamizi walizotunga ccm atazifuta au kuanzisha mchakato was kuzifuta baada ya siku ngapi kuingia madarakani
Kama unauliza maswali ya kijinga utalinganishwa na dogoo tu..