Wahadhiri UDSM Waongelea tatizo la Udini

Wahadhiri UDSM Waongelea tatizo la Udini

Mwaka 1996 wakati namaliza shule ya msingi,wilaya ya kilwa mkoani Lindi ilikuwa na shule ya sekondari ya serikali moja yenye walimu wawili wakati wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ilikuwa na shule za sekondari za serikali zenye walimu wa kutosha 17(kumi na saba).Wakati huo wanafunzi tuliokuwa tunatoka mikioa ya kusini kwenda kusoma shule za bweni katika mikao mingine ilikuwa inatuchukua mwezi na zaidi ili tufike Dar wakati wa masika.


Baba wa kanisa Nyerere aling'oa reli Mtwara na akapiga marufuku kilimo cha pamba kanda ya kusini.Mataa ya uwanjwa wa ndege Mtwara yalihamishiwa Arusha,jenereta ya umeme ya kisasa ya mtwara ilihamishiwa Bukoba


Viwanda na mashamba ya mmonge Tanga Nyerer aliyaua kupitia vibaraka wake wa mfumo kristo.


Tabora ilikuwa kitivu cha harakati za uhuru,baada ya uhuru Nyerere akaiua Tabora kupitia vibaraka wake wa mfumi kristo


Shule zilizopo mkoa wa Pwani zimejazwa Wakristo kutoka mikoa ya Bara.


Serikali ya mfumo kristo tokea uhuru imefanya juhudi gani kuondoa upogo huu wa mgawanyo wa maendeleo katkia nchi hii,ndio kwanza maendeleo yanaelekezwa mikoa ya wikristo wengi na mikoa ya waislamu wengi inaachwa na kuambiwa ni wavivu wakati hawana miundombinu yoyote katika mikoa yao.


Naomba nipe mfano mmoja tu wa mkoa wenye waislamu wengi ulioendelea?Ni juhudu za mfumo kristo ulioasisiwa na Baba wa Kanisa Nyerere.


Tupigie Jicho upande wa Pili,mtoto aliyezaliwa katika familia ambayo ilisomeshwa na mfumo kristo kabla na baada ya uhuru,katika familia yao kuna watu wenye Phd zaidi ya watatu,madaktari,walimu,wahasibu,na watu wa fani mbali mbali,na mtoto aliyezaliwa katika familia iliyopigwa teke na mfumo kristo,familia ambayo,mama aliuza vitumbua,baba anetembeza njegere,mjomba anauza dagaa,je ni mtoto gani ambaye serikali inapasa ifanye juhudi kuhakikisha anasoma.


Niliongoza kimasomo kuanzia darasa la kwanza mpaka form two mama yangu akakosa shilingi 40000 ya ada ya shule,mama akalia sana,nikaenda wilayani kwetu na ripoti zangu,na kabla ya hapo wanajua nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa naongoza mitihani yote ya wilaya,huko nikakutana na mawakala wa mfumo kristo walinitukana na kunikejeli kwa sababu ya dini yangu.Nilishindwa kurudi shule mpaka form four mwezi wa sita ndio nikarudi shule,yaani nilikaa mwaka mmoja na nusa nyumbani bila ya kusoma,nikafanya mtihani wa form four nikapata division one point 17.


Jamani tuache porojo tuondoe mfumo kristo kwa ustawi wa taifa letu,namkumbuka second master wangu aliyekuwa wakala wa mfumo kristo alivyotutukana mimi na mama yangu kipindi kile aliponipeka shuleni form four tena tukiwa na barua ya wizara inayoelezea matatizo yangu.
Mdogo wangu napingana nawe kwako wewe kudhani madhila uliyokutana nayo ni kwasababu wewe ulikua Mwislamu,wakati,tatizo hilo hilo walikutana nalo wanafunzi wengine. Jiulize mtoto aliyekua anatoka Karagwe, Kasulu, Tarime,nk,anakwenda kusoma Ndanda Mtwara sialikua anakwama ktk barabara hiyo?! Kilwa kuwa na shule moja ya serikali na Hai zaidi ya 20 hayo ni mapokeo. Na awamu ya kwanza kulitambua hilo,siyo tu kwamba ilishusha alama za ufaulu kwa wanafunzi toka mikoa hii,iliwatoa huko Kilwa, Liwale, Tunduru,nk ikawapeleka ktk mikoa ya Kaskazini na Magharibi. Hii iliwasaidia vijana toka maeneo yasiyo kuwa na mwamko wa elimu kusoma na vijana ambao jamii zao zilikwisha jitambua.
 
Nchi hii ya ajabu sana,eti hivi sasa kuna watu wanajiita wasomi ndio wanauona udini,wanasema tunavunja misingi tuliaachiwa na Nyerere?Nchi hii kweli inawasomi wa ajabu!!!!!!!!!

Nchi hii udini umaasisiwa na Nyerere mwenyewe,ngoja niwakumbushe hawa wanaojiita wasomi hivyo hawajua kwamba kanisa Katoliki lipo kwenye mchakato wa kumpatia Utakatifu Baba wa Kanisa Nyerere kwa kazi nzuri aliyolifanyia kanisa Katoliki?Kwa michakato kama hii watu wakisema nchi hii inaendeshwa kwa mfumo kristo mutasema ni wachochezi?

Acha tuivunje hii misingi ya mfumo kristo aliyoiasisi Baba wa Kanisa Nyerere.Kama tunataka amani ya kweli lazima tuvunje hii misingi ya mfumo kristo tulioachiwa na Baba wa kanisa Nyerere kisha tujenge taifa la watanzania wote.

Tukikataa kujenga taifa la watanzia wote hivi sasa basi tutalijenga baada ya vita vya kidini kama walivyojenga Rwanda na Burundi baada ya vita vya kikabila.Dhambi ya ubaguzi aliyoiasisi Baba wa kanisa Nyerere ndio inayotumaliza

Karibuni wakereketwa wa kanisa lije kuwatoka povu kwa kunikejeli na kunadharua,vyovyote mutakavyosema mutambue sasa hivi waislamu tupo katika phase ya kujikomboa kutoka katika mfumo kandamizi mfumo kristo,tumechoka na huu mfumo lazima uvunje na kama hamutaki tutapigana vita vya kidini hapo.
mafanikio ya kanisa katoriki duniani yanatokana na mwl nyerere?
Kupewa kwake utakatifu ni kutokana na maisha aloishi duniani pamoja na madalaka alokuwa nayo.
Hebu jalibu kufikil kidogo tu vipi kama wewe na ndo ungekuwa kwenye nafasi ya mwl nyerere ingekuwaje? Ukipata jubu pigia msitali.
 
Nyie Chadema si kila siku mnawatukana Waislamu humu ndani Leo CCM ndo mnaona wadini kweli nyani hajioni kundule

.....

Chadema wanatukana waislam? HOW!!? Nani humu anawakilisha chadema? Una maana kuna post za kutoka makao makuu ya chadema kutukana waislam?

Unafiki na uwongo ni dhambi kubwa kwa mwislamu safi, nithibitishie kwa msaada zaidi kwamba wanahusika ili tuwaweke peupe, otherwise, ni vizuri tukajiheshimu na kuwaheshimu wengine
.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 2/3/2013




Utangulizi


Wapendwa waandishi wa habari. Tunaomba kupitia ninyi tuweze kuongea na watanzania wenzetu kuhusu hali ya amani ilivyo nchini mwetu kufuatia kila aina ya dalili ya watanzania kukosa uvumilivu wa kidini. Tunatambua kuwa serikali yetu imefanya mambo mazuri mengi tu nchini, hilo hatuna mashaka nalo; hata hivyo kama watanzania tunadhani kuna baadhi ya mambo hayaendi sawa. Hivyo basi, tunaomba kuchukua nafasi hii kuelezea wasiwasi wetu kuhusu migogoro hii ya kidini inayozidi kukua nchini.


Migogoro hii ilianza kuvuka kama moshi lakini sasa inaanza kulipuka na kusambaa zaidi. Tumeshuhudia uchomaji moto wa kanisa kule Mbagala, kumwagiwa tindikali shekhe mmoja kule Zanzibar na Shekhe mwingine kuuawawa, kuchomwa makanisa Zanzibar, kupigwa risasi viongozi wa kikristo kule Zanzibar na pia mgogoro wa kuchinja huko Geita ambako tumeshuhudia mchungaji mmoja akiuawa.


Mbali na hayo, kuna matukio kadhaa kwenye shule zetu za sekondari yakihusisha migogoro ya kidini kati ya wakristo na waislamu. Haya tumeshahudia yakitokea sekondari za Bagamoyo, Ndanda, Kibiti, Ilboru na kwingineko. Pia yapo malalamiko yasiyo rasmi kuhusu udini kwenye sehemu za kazi na kwenye taasisi mbalimbali za serikali. Wapo wanaodai kuwa baadhi ya taasisi binafsi, za kidini na hata za serikali zinazohudumia watanzania wengi zimekuwa zikiajiri wafanyakazi kwa misingi ya kupendelea dini fulani fulani. Jambo hili hata kama ni la kuzungumzwa tu, ni vema likafanyiwa kazi maana hisia hizi zikipanuka hujenga chuki na kusababisha watanzania wasielewane.


Kwanini haya yanatokea?


Sisi wanajumuiya ya wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tunaamini, kama taifa, kuna mahali tumechepuka na kuacha misingi tuliyoachiwa na Baba wa Taifa katika ujenzi wa taifa imara na lenye umoja. Kuna sababu kadhaa zilizotufikisha hapa tulipo, nazo ni:


1) Wanasiasa na watanzania wengi tunafuata dini zetu kwa hisia zaidi pasipo kufikiri kwa kina kuhusu yale tunayoyafanya. Tumesahau kabisa kuwa dini ni kwaajili ya kutuhusianisha na ulimwengu ujao tusioujua. Tunapaswa kumheshimu na kumthamini kila binadamu aliyeko hapa duniani. Kwa bahati mbaya baadhi yetu tunadhani kuwa ulimwengu huu umeumbwa kwaajili ya dini fulani na binadamu wengine hawana haki ya kufurahia maisha yao hapa duniani. Tunataka kutumia dini zetu kumiliki utawala wa dunia hii.


Dini zetu zimekuwa mtaji kwa baadhi ya wanasiasa na vyama vyao. Inasikitisha kuwa hakuna jitihada za kutosha zilizofanyika kuzuia wanasiasa kutumia dini kama sera au ajenda ya katika kupata kura. Baadhi ya wanasiasa wameingia madarakani kwa kutumia udini na ukabila na hivyo hali inapofikia watanzania kuanza kuchukiana kwa misingi ya dini wanakosa nguvu na ujasiri wa kukemea na kuzuia haya kwakuwa nao wamepitia njia hiyo.


2) Sababu ya pili ni kwamba hivi sasa umaskini nchini umekuwa wa kiwango cha juu. Kila mtu anatafuta jawabu la umaskini wake kwa kudhani kuwa umesababishwa na mfumo ulio nje ya maisha yake na ya serikali. Katika hali hii wamejitokeza watanzania wenzetu wanaotafuta majibu mepesi kwa kusingizia kuwa wamekuwa maskini kwasababu ya dini nyingine. Hali hii imesababishwa na ukosefu wa elimu kiasi kwamba watanzania wengi wanashindwa kuwa na uwezo wa kuchambua mambo kimantiki na badala yake wanaamini bila kuchuja lolote wanaloambiwa na viongozi wa dini au mwanasiasa au mwanaharakati. Ni vema watanzania wakajua kuwa ajenda ya udini si ya dini fulani bali ni ya makundi machache ndani ya taasisi zetu za dini. Tusibebeshe lawama za udini kwa dini fulani bali tuelewe kuwa udini umekuwa ni mtazamo ya watu wachache ndani ya dini zetu.


3) Tatu, watanzania tumeanza kupoteza uelewa kuhusu madui wetu wa asili ambao ni ujinga, umaskini na maradhi, na tumeongeza adui mwingine ambaye ni imani ya mwingine. Tumeacha kuelekeza nguvu zetu katika kupambana na maadui hao watatu na tunaelekeza nguvu zetu kupambana na dini nyingine ambazo kimsingi haziwezi kuwa sababu ya matatizo yetu ya kila siku.


Kwa bahati mbaya tunashindwa kuelewa kuwa dini hizi kuu mbili za kikristo na kiislamu ni dini zilizozaliwa sehemu mmoja baadaye zikasambaa sehemu tofauti na kuchukua utamaduni tofauti. Hatimaye tunachokiona sasa, ndugu wa ukoo na hata kabila moja waliotokana na historia moja, utamaduni mmoja na lugha moja wamefanywa maadui kwasababu wanafuata dini tofauti.


4) Jambo la nne, nchi yetu imeruhusu uhuru wa kuanzisha taasisi za dini pasipo kuwa na usimamizi wa karibu. Taasisi nyingi za kidini zimeibuka nchini na zimekuwa chanzo kikubwa cha kuwagawa watanzania kwa misingi ya kidini. Umoja wetu unapotea kwasababu baadhi ya taasisi za kidini zilizopo zinawagawanya watanzania kwa misingi ya dini. Taasisi nyingi za dini zinafundisha mbinu na namna ya kuwakabili waumini wa dini nyingine badala ya kuhimiza upendo na mshikamano miongoni mwa watanzania.


Baadhi ya viongozi wa taasisi hizo wamewafanya watanzania mtaji wao kwa kuwachochea wafuasi wao kuwachukia wengine kwa lengo la kutimiza haja zao binafsi. Watanzania tunapaswa kuzinduka na kuchukua tahadhari dhidi ya watu wanaotuchonganisha. Tukumbuke kuwa kiongozi wa dini anayekuambia kuwa dini fulani ni ya kishenzi na wafuasi wake ni wa kishenzi basi mtu huyo si mtumishi wa Mungu bali anatumikia maslahi yake.


Tufanyeje?


Baada ya kueleza sababu zilizotufanya tufikie hapa tulipo sasa, sisi wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tunapendekeza mambo yafuatayo:


1) Serikali isimamie na kudhibiti vyombo vya habari vya kidini vinavyochochea chuki za kidini. Inasikitisha kuwa serikali iliyosheheni wataalamu wa kila aina inashindwa kutambua madhara ya uchochezi wa vyombo vya habari. Watanzania tunapaswa kujifunza kuwa hata mauaji ya kimbari yaliyotokea Rwanda hayakuanza siku moja, yalichochewa na vyombo vya habari kwa muda mrefu na vyombo hivyo vilihamasisha pia mauaji hayo.


Hata hapa nchini kwetu, serikali isipokuwa tayari kukemea na kufungia vyombo vya habari vinavyotumia udini kuleta uchochezi, ipo siku watanzania watauana sana na nchi itapoteza heshima yake ya kuwa taifa la amani na tutakuwa wakimbizi. Tunaishangaa serikali inaweza kuyafungia magazeti yanayoikosoa lakini haiko tayari kuyafungia magazeti yanawachochea watanzania.


Tungependa ujasiri unaotumika na vyombo vya ulinzi na usalama kuwakamata wanaoandika ujumbe wa vitisho kwa viongozi wa kisiasa nchini utumike pia kuwakamata wanaochochea uvunjifu wa amani. Kama tunaweza kuwalinda viongozi dhidi ya vitisho kwa maisha yao binafsi kwanini tushindwe kulilinda taifa letu kwa kutumia nguvu hizo hizo za kuwatumikia wanasiasa?


2) Pia tunatoa wito kwa wanasiasa na watanzania kwa ujumla kuwakataa wale wanaotafuta vyeo mahali popote pale, iwe kwenye vyama vya siasa au taasisi, kwa kutumia udini kama kigezo cha kutaka kuchaguliwa. Ni wakati muafaka sasa kuhuisha yale yote yatakayoleta mtangamano wa kitaifa. Kama taifa tumeacha misingi mizuri ya ujenzi wa taifa tuliloachiwa na waasisi wa taifa hili.


3) Jambo jingine ni kuhamasisha na kusimamia sera ya elimu sawa kwa wote. Elimu yetu ya sasa imejenga matabaka makubwa miongoni mwa watanzania na matokeo yake matabaka haya yanajitokeza zaidi katika sura ya udini. Kutokana na hali hii watanzania wengi waliokosa elimu wanadhani kuwa wenzao wa dini nyingine wanafanikiwa kwasababu ya upendeleo wa kidini. Kwa kusisitiza katika elimu, itakuwa rahisi kwa watanzania kuelimishwa kuwa chuki za kidini si msingi wa dini zetu tofauti na ilivyo sasa ambapo ukosefu wa elimu unawafanya wengi kuwa waathirika wa mafundisho potofu.


4) Pia tunaisihi serikali iwachunguze viongozi wa baadhi ya taasisi za kidini zinazowahamasiha wafuasi wake kufanya vitendo vya uhalifu. Ni vigumu sana kuwadhibiti wafuasi wa taasisi ya kidini ambao wameshakuwa na nguvu ya kuungana na kufanya jambo lolote baya. Tuna wasiwasi kuwa baadhi ya viongozi wa taasisi hizo wanatumika na watu wa nje kuvuruga amani yetu. Kwa bahati mbaya viongozi hawa wanajua wazi kuwa amani ikivurugika nchini wao wanazo sehemu za kukimbilia wakati ndugu zetu wakiendelea kuuana.




Wito wetu kwa watanzania wenzetu ni kwamba wajue kuwa viongozi wa kidini wanaowachochea kuwachukia wengine hawana nia njema na taifa na maisha yao. Watatuacha tukiliangamiza taifa huku wao wakiwa salama. Ni vema watanzania wakajua kuwa sababu ya umaskini na matatizo ya kimaisha hayajasababishwa na waumini wa dini nyingine bali mfumo wetu mbovu wa utawala unaoacha kukua kwa matabaka ya kijamii. Tukishirikiana sote kupambana na umaskini hakutakuwa na sababu ya kuchukiana. Pia, ni muhimu sasa, kila dini iendeshe maswala yake bila kutaka kubebwa na serikali.

Source;Nilikuwepo

hapa ninachokiona ni kwamba wahadhiri, jamii forum founders na wachangia mada wote wamelewa na udini ebu tuangalie utawala wa udsm, school zake, college zake na department katika misingi ya dini na ukabila halafu tutapata jibu siku hizi watz wanafanya analysis sio wanaongea tu. tatizo ni kwamba hakuna mtu anayekubali mabadiliko
 
Umenena kweli kaka! Waasisi wa UDINI katika nchi hii wanajulikana; ni CCM na viongozi wake. Hao ndo wamekuwa wakihubiri UDINI. CCM na serikali ya Kikwete inapaswa kuwaomba radhi Watanzania kutokana na kupandikiza chuki za kidini miongozi mwa Watanzania kwa maslahi binafsi ya kisiasa!
Tatizo ni kwamba, vikundi vyote vinavyo laani udini hapa nchini, havija kuwa tayari kumtaja/kuwataja vinara waliopandikiza UDINI hapa nchini. Tangu 2010 wapo watu wametumia karata ya UDINI ili kuingia madarakani. Na ili kujilinda na zimwi la UDINI, wameendelea kutumia AGENDA hiyo hiyo kuhubiri kwenye majukwaa ya kisiasa ili kujengea watu wengine taswira ya UDINI. Sasa wameona mbegu waliyo ipanda wakati wanatafuta uongozi inaanza kutoa mavuno, wanatufanyia tamthilia ya kwamba nao ni miongoni mwetu katika masikitiko ya ubaguzi wa KIDINI.

Hivi kweli kama UDINI ungekuwa umeanzishwa na watu ambao si viongozi, mustakabali wa watu hawa ungekuwa je?? Kila kukicha wapo watu waliopewa dhamana kuongoza nchi hii ambao wamekuwa waki u-hubiri UDINI na hasa kwenye hotuba zao ama za kisiasa au za maendeleo ya wananchi.

Na bahati mbaya sana wapo baadhi ya watu ambao pia si viongozi wa wananchi nao wameamua kuuhubiri UDINI, huku viongozi wanao jifanya kuukemea UDINI waki waangalia na kuwasilkiliza kila siku (pia naweza kusema wakiwaunga mkono). Tumeshuhudia Radio, nakala za CD, Magazeti, Vijarida, n.k. vyote hivi vikihubiri UDINI bila hatua stahiki kuchukuliwa dhidi ya vyombo hivi.

Kwenye baadhi ya nyumba za ibada, kumekuwepo na mahubiri ya ubaguzi wa kidini bila kificho na hakuna hatua zilizo chukuliwa dhidi ya wahusika.

Kama kweli tunataka kuondokana na huu mzizi wa fitina ya UDINI ifike mahali taasisi zinazo toa matamko zisiishie kuuzungumzia UDINI tu, bali pia ziwataje waasisi wa dhambi hii ya UDINI.

Inajulikana wazi kwamba, kama UDINI ungekuwa umeasisiwa na mtu/watu ambao hawana dhamana ya uongozi, watu hao wangekuwa wanaishi mahali pengine ambapo sio uraiani (gerezani).
 
wewe ni mchochezi mmojawapo na kwa taarifa yako wote mliotuma msg na post zenye sura ya kidini kama yako mtakuwa mahali salama zaidi mtoe maelezo yakutosha ! Punde 'take my word'

Ni ujinga kuzani utazima madai ya watu kwa kutumia vitisho.Waambieni FBI na CIA wote wahamie hapa Tanzania kama muzani kwa kufanya hivyo ndio mutaleta Amani ya kweli.Heri kuishi siku moja ukafa kama shujaa kuliko kuishi miaka mia ukafa kama mzoga.

Kwa taarifa yenu kwaasa Gwantanamo hatuiogopi tena,ni bora kupelekwa Gwantanamo kuliko kuishi katika nchi yangu kama raia wa daraja la pili
 
nchi hii ya ajabu sana,eti hivi sasa kuna watu wanajiita wasomi ndio wanauona udini,wanasema tunavunja misingi tuliaachiwa na nyerere?nchi hii kweli inawasomi wa ajabu!!!!!!!!!

Nchi hii udini umaasisiwa na nyerere mwenyewe,ngoja niwakumbushe hawa wanaojiita wasomi hivyo hawajua kwamba kanisa katoliki lipo kwenye mchakato wa kumpatia utakatifu baba wa kanisa nyerere kwa kazi nzuri aliyolifanyia kanisa katoliki?kwa michakato kama hii watu wakisema nchi hii inaendeshwa kwa mfumo kristo mutasema ni wachochezi?

Acha tuivunje hii misingi ya mfumo kristo aliyoiasisi baba wa kanisa nyerere.kama tunataka amani ya kweli lazima tuvunje hii misingi ya mfumo kristo tulioachiwa na baba wa kanisa nyerere kisha tujenge taifa la watanzania wote.

Tukikataa kujenga taifa la watanzia wote hivi sasa basi tutalijenga baada ya vita vya kidini kama walivyojenga rwanda na burundi baada ya vita vya kikabila.dhambi ya ubaguzi aliyoiasisi baba wa kanisa nyerere ndio inayotumaliza

karibuni wakereketwa wa kanisa lije kuwatoka povu kwa kunikejeli na kunadharua,vyovyote mutakavyosema mutambue sasa hivi waislamu tupo katika phase ya kujikomboa kutoka katika mfumo kandamizi mfumo kristo,tumechoka na huu mfumo lazima uvunje na kama hamutaki tutapigana vita vya kidini hapo.

hahahahahahahaha!!!!! Povu povuu povuuu!!! Hiyo vita unataka kupigana na nani!????? Si kwetu muheza tanga, kati ya kaka zangu watatu wawili ni waislamu na mmoja mkiristo. Baba yetu alikuwa mkristo lakini hakuzuia mtu yoyote kuchagua dini anayoitaka. Hii ndio hali halisi kule nyumbani magila, kicheba, ngugwini... Sio ajabu kumkuta mtuu ana majina mawili anaitwa said john, shaaban george, paul athumani singano. Hii ni mifano tuuu!! Huyo nyerere tumuache apumzike sisi tulio hai ndio nafasi yetu ya kujenga sasa. Mchakato wa kumfanya nyerere kuwa mwenye heri hizo ni taratibu binafsi za kanisa. Ina maana rais mstaafu mwinyi kuitwa alhaji ina shida gani?! Islam ina historia ndefu sana katika hii nchi ila cha ajabu baadhi ya waumini wamekuwa na jukum moja tuu la kulalama. Inanisikitisha kiukweli, kuna shule nyingi tuuu za kiislam zinaendeshwa ndivyo sivyoo, kinondoni muslim, al haramin. Mwisho wa siku matokeo yakiwa mabaya nyerere, kwelii!!!!!? Where is kikwete and shukuru kawambwa??!! Mwisho hili la vitisho achana nalo kabisaa maana mwisho wa siku wote tutakufaa tuu, so kutishia vita ni upuuuzi. Haogopwi mtuu. Kikubwa ni kuheshimia na kuvumiliana. Mi ni mkristo ila mara ya mwisho kuingia kanisani ni mwaka 1992, naupenda na kuuheshimu uislam lakini mi sio mwislam period. Kama unaona una unaubavuu sanaa wa kuhimili maumivu nenda hospitali uwaombe wakungoe jino moja tuu bila ganzii!!! Then urudi hapa uje ueelezee unataka kumuua nani kwenye vita ya kidini ambaye hasikii maumivu kama wewe, na unipe justfication ya kuondosha maisha yake kwa masuala ya elimu dunia ambayo haijawahi kuwa priority/nguzo kuu za uislam...
 
Mdogo wangu napingana nawe kwako wewe kudhani madhila uliyokutana nayo ni kwasababu wewe ulikua Mwislamu,wakati,tatizo hilo hilo walikutana nalo wanafunzi wengine. Jiulize mtoto aliyekua anatoka Karagwe, Kasulu, Tarime,nk,anakwenda kusoma Ndanda Mtwara sialikua anakwama ktk barabara hiyo?! Kilwa kuwa na shule moja ya serikali na Hai zaidi ya 20 hayo ni mapokeo. Na awamu ya kwanza kulitambua hilo,siyo tu kwamba ilishusha alama za ufaulu kwa wanafunzi toka mikoa hii,iliwatoa huko Kilwa, Liwale, Tunduru,nk ikawapeleka ktk mikoa ya Kaskazini na Magharibi. Hii iliwasaidia vijana toka maeneo yasiyo kuwa na mwamko wa elimu kusoma na vijana ambao jamii zao zilikwisha jitambua.

Porojo kama hizi kawapigie watu wa kijijini walio chini lindi la ujinga.Niambie ni mikakati gani ya dhati serikli ya mfumo kristo imechukua hili kuondoa upogo wa kimaendeleo na elimi baina ya mikioa ya waislamu na wakristo?

Nimejitolea mfano mimi mwenyewe,nlilnyanyaswa na kunyimwa ada wilayani kwangu na mawakala wa mfumo kristo tena kwa kejeli na dharau huku wakijua mimi mwanafunzi bora kabisa!

Second master aliyekuwa wakala wa mfumo kristo alitutukana na kutukejeli mimi na mama yangu tena tukiwa na barua kutoka wizarani,ilibidi turudi wiki inayofuata na kumkuta headmaster ambaye aliagiza aletewe maendeleo yangu ya kimasomo,alipoyaona akamwambia mama kwa maneno ya kuumpa moyo muache kijana afanye mtihani mwaka huu huu na atafaulu,namuamini kijana wako na atakuwa Daktari mzuri,hivi sasa nikikutana na mama uwa ananiambia utabiri wa headmaster wako umetimia.

Mengi nimekutana nayo katika maisha yangu ya shule na kazi,mfumo kristo umetamalaki katika nchi hii.Tukio la mwisho lilikuwa mwaka jana mwezi wa nane au tisa hivi,tuliletewa ratiba ya mitihani ya vyuo vya COTC kutoka wizara ya afya,ilikuwa ni wiki ya IDD lakini ratiba ilicover mpaka siku ya IDD,nauliza swali kwa nini ratiba hainyoshi siku ya IDD,Principal ananijibu eti IDD ni kitu kidogo sana by the way wanafunzi wanataka kumaliza mitihani na kupewa nyeti vyao.Nikamwambia kama wanafunzi hawahitaji IDD mimi Daktari mwalimu wao nahitaji IDD hivyo waambie wizara department yangu waje kusimamia wao,hamuwezi mukwa munadharau Imani za wengine kwa kiasi hiki mbona wakati wa krismas na Pasaka tunafunga kabisa vyuo?

Mwaka jana huo huo ikafika wakati wa krismas,wanafunzi wa mwaka wa kwanza walikuwa wamechelewa sana kufika,nikatoa wazo wanafunzi wa mwaka wa kwanza wasiende likizo,washeherekee sikukuu kisha tuendelee na masomo nami najitolea kufundisha,mawakala wa mfumo kristo wakiongozwa na principal povu likianza kuwatoka kupinga hoja yangu.

Jamani tuache porojo na tuvunje mfumo kristo na tujenge taifa la watanzania wote,tusiwe na taifa la wakristo dadraja la kwanza na waislamu ni daraja la pili huku tunaimba wimbo wa amani amani,hakuna amani bial ya haki na uswa.
 
Wapi wamesema ni tamko la UDASA? Na hao waliosema hivyo ni kina nani?

Sasa unabishana nini mdau?? Kilichosemwa kipo Tanzania, mi sijaona mahali wametaja ila nakubaliana na tamko kwani wameainisha hali halisi ya Tanzania. Unanishangaza kwa kung'ang'ania kutaka kuona majina, sasa sijui kama unawabishia tamko lao au unabisha kwamba Tanzania hakuna chembe za udini zinazotaka kuligawa Taifa letu.!!!

Wakati mwingine lazima tuwe na fikra pevu tunapojaribu kujibu hoja za watu. Kujua kusoma na kuandika isiwe tatizo ......
 
hahahahahahahaha!!!!! Povu povuu povuuu!!! Hiyo vita unataka kupigana na nani!????? Si kwetu muheza tanga, kati ya kaka zangu watatu wawili ni waislamu na mmoja mkiristo. Baba yetu alikuwa mkristo lakini hakuzuia mtu yoyote kuchagua dini anayoitaka. Hii ndio hali halisi kule nyumbani magila, kicheba, ngugwini... Sio ajabu kumkuta mtuu ana majina mawili anaitwa said john, shaaban george, paul athumani singano. Hii ni mifano tuuu!! Huyo nyerere tumuache apumzike sisi tulio hai ndio nafasi yetu ya kujenga sasa. Mchakato wa kumfanya nyerere kuwa mwenye heri hizo ni taratibu binafsi za kanisa. Ina maana rais mstaafu mwinyi kuitwa alhaji ina shida gani?! Islam ina historia ndefu sana katika hii nchi ila cha ajabu baadhi ya waumini wamekuwa na jukum moja tuu la kulalama. Inanisikitisha kiukweli, kuna shule nyingi tuuu za kiislam zinaendeshwa ndivyo sivyoo, kinondoni muslim, al haramin. Mwisho wa siku matokeo yakiwa mabaya nyerere, kwelii!!!!!? Where is kikwete and shukuru kawambwa??!! Mwisho hili la vitisho achana nalo kabisaa maana mwisho wa siku wote tutakufaa tuu, so kutishia vita ni upuuuzi. Haogopwi mtuu. Kikubwa ni kuheshimia na kuvumiliana. Mi ni mkristo ila mara ya mwisho kuingia kanisani ni mwaka 1992, naupenda na kuuheshimu uislam lakini mi sio mwislam period. Kama unaona una unaubavuu sanaa wa kuhimili maumivu nenda hospitali uwaombe wakungoe jino moja tuu bila ganzii!!! Then urudi hapa uje ueelezee unataka kumuua nani kwenye vita ya kidini ambaye hasikii maumivu kama wewe, na unipe justfication ya kuondosha maisha yake kwa masuala ya elimu dunia ambayo haijawahi kuwa priority/nguzo kuu za uislam...

Kanisa katoliki lenyewe ndio limeandika vitabu vinavyoonesha kazi aliyoifanyia kanisa,sasa kapingane na hivyo vitbu vilivyoandikwa na Mapadri.

Kuna anayeliombea taifa hili vita vya kidini,ukweli tumechanganyika sana,lakini pia hakuna mtu anayekubali kuisha kama raia wa daraja la pili ndani ya nchi yake aliyozaliwa hata awe mkristo.Tumeona mapambano baina ya Suadani kusini(wakristo) na Sudani kaskaznini(waislamu) kwa zaidi ya miaka 20.chanzo ni wakristo walikuwa wanafanya raia wa daraja la pili ndani ya nchi yao.

Kama tunataka amani ya kweli basi tukubali kuvunja mfumo kristo na tujenge tanzania ya wote,vinginevyo tutakuwa tunajidanganya tu.

Wanaofaidika na mfumo kristo wakubali kupoteza maslahi yao,maeneo ya waislamu wengi wejengewe shule za maana na wapelekewe walimu wa kutosha pamoja na vifaa vya kufundishia,pia serikali itoe elimu juu umuhimu wa elimu kwani wazazi wa watoto hawa ni wauza dagaa,vitumbua,nyanya wamechoka kimaisha hawana hata shilingi 40000 ya kulipia ada,ndio mimi mwenyewe nilikaa nyumbani mwaka mmoja na nusu kwasababu mama yangu alikosa 40000 ya kunilipia ada,na alikuwa akilia tu mwanangu anakosa shule na anauwezo wa kimasomo.

Rafiki yangu wa shule ya msingi tuliyekuwa tunasoma pamoja kwa badii,na kweli wote wawili tulifaulu,wazazi wa rafiki yangu walihangaika huku na huko mwisho walishindwa kumpeleka shule rafiki yangu,alikuwa napenda shule sana lakini hivi sasa anauza mifuko pale mtaa wa kongo,watu kama nyinyi wa mfumo kristo mutamuona mjinga amekataa kwenda shule,akipatwa na hasira akavaa bomu na kujiripua mutamlaumu hoo siasa kali wakati hata kuswal haswali.Kuna kipindi wakati nipo chuo nikapata taarifa amejiingiza kwenye makundi ya kihuni huko mwanyamala,ikabadi nimtafute,nikampata kwenye kijiwe kimoja kimoja mwananyamala B,ikabidi nifanye kazi ya ziada kumtoa huko,sas anafanya minada ya mitumba.Kijana alikuwa na uwezo mzuri tu darasani.
 
Kwa hiyo munataka kumuingiza Ikulu Askofu mkuu Slaa ndio munakuja na matamko ya ukilaza hivi,eti wahadhiri wa UDSM!!!!!!!!!!!!shame up on them

Kama ambavyo Sheikh yupo ikulu mnashangilia. Mmehama CUF kuja kumuunga mkono, 2015 akigombea Lowasa mtasema ni askofu, chagueni Cuf.
 
Porojo kama hizi kawapigie watu wa kijijini walio chini lindi la ujinga.Niambie ni mikakati gani ya dhati serikli ya mfumo kristo imechukua hili kuondoa upogo wa kimaendeleo na elimi baina ya mikioa ya waislamu na wakristo?

Nimejitolea mfano mimi mwenyewe,nlilnyanyaswa na kunyimwa ada wilayani kwangu na mawakala wa mfumo kristo tena kwa kejeli na dharau huku wakijua mimi mwanafunzi bora kabisa!

Second master aliyekuwa wakala wa mfumo kristo alitutukana na kutukejeli mimi na mama yangu tena tukiwa na barua kutoka wizarani,ilibidi turudi wiki inayofuata na kumkuta headmaster ambaye aliagiza aletewe maendeleo yangu ya kimasomo,alipoyaona akamwambia mama kwa maneno ya kuumpa moyo muache kijana afanye mtihani mwaka huu huu na atafaulu,namuamini kijana wako na atakuwa Daktari mzuri,hivi sasa nikikutana na mama uwa ananiambia utabiri wa headmaster wako umetimia.

Mengi nimekutana nayo katika maisha yangu ya shule na kazi,mfumo kristo umetamalaki katika nchi hii.Tukio la mwisho lilikuwa mwaka jana mwezi wa nane au tisa hivi,tuliletewa ratiba ya mitihani ya vyuo vya COTC kutoka wizara ya afya,ilikuwa ni wiki ya IDD lakini ratiba ilicover mpaka siku ya IDD,nauliza swali kwa nini ratiba hainyoshi siku ya IDD,Principal ananijibu eti IDD ni kitu kidogo sana by the way wanafunzi wanataka kumaliza mitihani na kupewa nyeti vyao.Nikamwambia kama wanafunzi hawahitaji IDD mimi Daktari mwalimu wao nahitaji IDD hivyo waambie wizara department yangu waje kusimamia wao,hamuwezi mukwa munadharau Imani za wengine kwa kiasi hiki mbona wakati wa krismas na Pasaka tunafunga kabisa vyuo?

Mwaka jana huo huo ikafika wakati wa krismas,wanafunzi wa mwaka wa kwanza walikuwa wamechelewa sana kufika,nikatoa wazo wanafunzi wa mwaka wa kwanza wasiende likizo,washeherekee sikukuu kisha tuendelee na masomo nami najitolea kufundisha,mawakala wa mfumo kristo wakiongozwa na principal povu likianza kuwatoka kupinga hoja yangu.

Jamani tuache porojo na tuvunje mfumo kristo na tujenge taifa la watanzania wote,tusiwe na taifa la wakristo dadraja la kwanza na waislamu ni daraja la pili huku tunaimba wimbo wa amani amani,hakuna amani bial ya haki na uswa.

nakusa objectivity ya unachoeleza. Huoni unachoongea is too subjective?!! Kitika Tanzania hii waislam ni daraja la pili?!! Sijui kivipi? Most of decion makers waliopo katika top layer ya serikalii hii ni waislam, na wenyewe wameishia kulalama tuu?!!what wrong with you dr!?? Kuwa focussed lete issue amabazo zipo specific na punguza consiparacy theory. Kama otherwise linaonekana kama vile, obsessive compesive disoder. ANGALIA UCHUMI WA NCHII HII. HELA NYINGI IPO CHINI YA WAISLAM. MASHELI YA MAFUTA, MALORI, MABASI, VIWANDA. MATAJIRI WAKUBWA NCHI HII NI WAISLAM. LAKINI WANAWAFANYIA NINI WAISLAM WENZAO KUWAPA MAARIFA YA KUONDOKANA NA UJINGA NA UMASIKINI?!! RUDI HIYO MIKOA YA WAISLAM UTASHANGAA UMASIKINI UNATOKA WAPI!?? KWETU TANGA MUHEZA KUCHONGA BARABARA NI KAZI YA SERIKALI. LEO NIPO MOSHI KWENYE KILI MARATHONI NIMEPANDA VIJIJINI WATU WANAFANYA KAZI. MWANAMKE WA KICHAGGA AKIAMKA ASUBUHI NI KUZOA MBOLEA, KUPIKA CHAI YA ASUBUHI(MIND U HUKU KUNA BARIDI LAZIMA WANYWE CHAI) BAADA YA HAPO ANAENDA KUKATA MAJANI YA NGOMBE NA KUPITIA SHAMBANI KULIMA AU KUCHUMA MBOGA. NENDA MJINI WANAWAKE NDIO MACHINGA WANAUZA VIATU WANAPIKA CHIPSI. WANAUME WAKO WAPI?!! WAKO MJINI DAR, TANGA, DODOMA, SINGIDA, MWANZA, MBEYA WANATAFUTA HELA. SASA MWISHO WA SIKU USIJE UKASHAANGAA NI MOJA KATI YA JAMII ZILIZOENDELEA SANA LINAPOSKUJA SUALA LA MAENDELEO YA MTU MMOJA MMOJA. TURUDI KWETU TANGA ARDHI NZURI YENYE RUTUBA CHAKULA CHA KUTOSHA. BABA ALIOGOPA KUJENGA NYUMBA YA MAANA HUKO AKIHOFIA WATAMLOGA. JAMANI KUNA ZAIDI YA DINI HAPA WATU WENGINE WANAFANIKIWA KWA SABABU YA TAMADUNI ZAO NA ARI YAO YA KUPENDA KUFANYA KAZII!! TUJIFUNZE KUTOKA KWA WAPEMBA, WAMEJAA KARIAKO WANAFANYA BIASHARA, WAKINGA, WACHAGA, WAHAYA....
KUNA WANAOTOKA VIJINI HAWANA HATA SHILINGI WANA ELIMU YA DARASA LA SABA TUU WAKO TAYARI KUANZA MAISHA HATA KWA KUIBA LAKINI MWISHO WA-SIKU WANAKUWA MATAJIRI WAKUBWA JE HAWA WANASAIDIWA NA MFUMO GANI!? MAENDELEO YA MTU HUANZIA NA MTU BINAFSI BAADAYE NDIO YA TAIFA NA DUNIA YANAFUATA.
 
Nchi hii ya ajabu sana,eti hivi sasa kuna watu wanajiita wasomi ndio wanauona udini,wanasema tunavunja misingi tuliaachiwa na Nyerere?Nchi hii kweli inawasomi wa ajabu!!!!!!!!!

Nchi hii udini umaasisiwa na Nyerere mwenyewe,ngoja niwakumbushe hawa wanaojiita wasomi hivyo hawajua kwamba kanisa Katoliki lipo kwenye mchakato wa kumpatia Utakatifu Baba wa Kanisa Nyerere kwa kazi nzuri aliyolifanyia kanisa Katoliki?Kwa michakato kama hii watu wakisema nchi hii inaendeshwa kwa mfumo kristo mutasema ni wachochezi?

Acha tuivunje hii misingi ya mfumo kristo aliyoiasisi Baba wa Kanisa Nyerere.Kama tunataka amani ya kweli lazima tuvunje hii misingi ya mfumo kristo tulioachiwa na Baba wa kanisa Nyerere kisha tujenge taifa la watanzania wote.

Tukikataa kujenga taifa la watanzia wote hivi sasa basi tutalijenga baada ya vita vya kidini kama walivyojenga Rwanda na Burundi baada ya vita vya kikabila.Dhambi ya ubaguzi aliyoiasisi Baba wa kanisa Nyerere ndio inayotumaliza

Karibuni wakereketwa wa kanisa lije kuwatoka povu kwa kunikejeli na kunadharua,vyovyote mutakavyosema mutambue sasa hivi waislamu tupo katika phase ya kujikomboa kutoka katika mfumo kandamizi mfumo kristo,tumechoka na huu mfumo lazima uvunje na kama hamutaki tutapigana vita vya kidini hapo.

Dogo kitakachotukomboa ni elimu tuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Leo hii hata wakiacha kazi hao unaodai kuwa wanatukandamiza, mtaifanya bila elimu????
Sisi waislamu tuna shule za seminary, lakini huwezi kulinganisha matokeo ya watoto wa hizi seminary zetu na zile za wakristo. Tuweke ushabiki mbali, tuna fursa moja tu ya kujikomboa bila kuivuruga amani yetu, ni elimu peke yake.

Wenzetu wanakazia maarifa kuhakikisha kwamba baada ya miaka minne ya O'level watoto wao watatimiza malengo ya kielimu waliojiwekea. Sisi tunakazia maadili ya kiislam pamoja na sharia, sasa mitihani inapotungwa, kigezo cha kuifahamu dini hakina ishu kabisa.
Naamini waislam walioamka wameshtuka na kwa kiasi kikubwa wanawekeza kwenye elimu za watoto wao sana. Wengine ndo tumebaki kulaumu.... Tutalaumu milele, lakini ukweli hautapindishwa.
Kwa haya maelezo, kwa namna moja utakuwa umeamka kiakili kwa kutumia nguvu kidogo kuliko kuamka kwa kupandikiza chuki miongoni mwa Watanzania kwa kutumia nguvu kubwa!
 
Mwaka 1996 wakati namaliza shule ya msingi,wilaya ya kilwa mkoani Lindi ilikuwa na shule ya sekondari ya serikali moja yenye walimu wawili wakati wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ilikuwa na shule za sekondari za serikali zenye walimu wa akutosha 17(kumi na saba).Wakati huo wanafunzi tuliokuwa tunatoka mikioa ya kusini kwenda kusoma shule za bweni katika mikao mingine ilikuwa inatuchukua mwezi na zaidi ili tufike Dar wakati wa masika.


Baba wa kanisa Nyerere aling'oa reli Mtwara na akapiga marufuku kilimo cha pamba kanda ya kusini.Mataa ya uwanjwa wa ndege Mtwara yalihamishiwa Arusha,jenereta ya umeme ya kisasa ya mtwara ilihamishiwa Bukoba


Viwanda na mashamba ya mmonge Tanga Nyerer aliyaua kupitia vibaraka wake wa mfumo kristo.


Tabora ilikuwa kitivu cha harakati za uhuru,baada ya uhuru Nyerere akaiua Tabora kupitia vibaraka wake wa mfumi kristo


Shule zilizopo mkoa wa Pwani zimejazwa Wakristo kutoka mikoa ya Bara.


Serikali ya mfumo kristo tokea uhuru imefanya juhudi gani kuondoa upogo huu wa mgawanyo wa maendeleo katkia nchi hii,ndio kwanza maendeleo yanaelekezwa mikoa ya wikristo wengi na mikoa ya waislamu wengi inaachwa na kuambiwa ni wavivu wakati hawana miundombinu yoyote katika mikoa yao.


Naomba nipe mfano mmoja tu wa mkoa wenye waislamu wengi ulioendelea?Ni juhudu za mfumo kristo ulioasisiwa na Baba wa Kanisa Nyerere.


Tupigie Jicho upande wa Pili,mtoto aliyezaliwa katika familia ambayo ilisomeshwa na mfumo kristo kabla na baada ya uhuru,katika familia yao kuna watu wenye Phd zaidi ya watatu,madaktari,walimu,wahasibu,na watu wa fani mbali mbali,na mtoto aliyezaliwa katika familia iliyopigwa teke na mfumo kristo,familia ambayo,mama aliuza vitumbua,baba anetembeza njegere,mjomba anauza dagaa,je ni mtoto gani ambaye serikali inapasa ifanye juhudi kuhakikisha anasoma.


Niliongoza kimasomo kuanzia darasa la kwanza mpaka form two mama yangu akakosa shilingi 40000 ya ada ya shule,mama akalia sana,nikaenda wilayani kwetu na ripoti zangu,na kabla ya hapo wanajua nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa naongoza mitihani yote ya wilaya,huko nikakutana na mawakala wa mfumo kristo walinitukana na kunikejeli kwa sababu ya dini yangu.Nilishindwa kurudi shule mpaka form four mwezi wa sita ndio nikarudi shule,yaani nilikaa mwaka mmoja na nusa nyumbani bila ya kusoma,nikafanya mtihani wa form four nikapata division one point 17.


Jamani tuache porojo tuondoe mfumo kristo kwa ustawi wa taifa letu,namkumbuka second master wangu aliyekuwa wakala wa mfumo kristo alivyotutukana mimi na mama yangu kipindi kile aliponipeka shuleni form four tena tukiwa na barua ya wizara inayoelezea matatizo yangu.
Nguvukazi umelishwa madudu mengi na unahitaji kutapishwa kwa matibabu ya wanasaikolojia wa kiwango cha juu sana. Umejenga chuki nzito kwa kitu unachokiita mfumo Kristo kama kwamba ni dude moja kubwa mbele yako wakati ukweli hiki kitu kimo kichwani mwako tu.

Mwaka 1996 wakati unamaliza darasa la saba rais aliyekuwepo madarakani alikuwa B.. Mkapa Hiyo ilikuwa ni miaka kumi na moja tangu mwalimu awe ameondoka madarakani, na miaka kumi ya mzee A. H. Mwinyi ambaye ni Alhaji na mwislamu mzuri, sina hakika kama kwahyo miaka mzee Mwinyi alishindwa kuliona hilo au alikatazwa na Nyerere. Lakini labda hujui kwamba wilaya nyingi kufikia mwaka huo kuwa na shule ya sekondari moja ya serikali haikuwa ajabu, ungetuambia mfano nkasi, mbozi, bariadi mpanda,, au huko kwa mwalimu butiama kulikuwa na shule ngapi za serikali mpaka uone wilaya yako tu ndo ilibaguliwa!?

Kuhusu kukosa ada na kuzuiwa masomo mimi sijui ni mtanzania gani wa miaka hiyo hajapitia, achana na yako ya elfu 40 sisi wengine tumefukuzwa primary kwa sababu mama ameshindwa kukunulia kaptula ya shule na huna 200 ya dawati, na hakuna aliyewaza kuwa anafanyiwa hivyo kwa sababu ya dini yake, sijui unayatoa wapi!

Unasema ulikuwa unaongoza darasani ni jambo zuri, nani walikufundisha? Kwa mfumo upi? Unasema headmaster alikufukuza kwa kukutukana thats bad lakini una maana katika hiyo shule mpaka inafikia huo wakati ni wewe tu au ni waislamu tu waliokuwa wakifukuzwa kwa kukosa ada?
Sijakuelewa ulifikaje form four maana unasema muda wote ulikuwa nyumbani lakini form four ukapata division one! Hôngera sana lakini fahamu unapingana na wenzako humu Jf na baadhi mitaani, wao wanasema mfumo kristo pale NECTA huwa unawafelisha, vipi unapingana nao au unataka kusema walidhani we mkristo?
vipi wizara iliyokupa barua mwenzetu usome bure form four wakati wengine wamelipa ilikuwa iko katika mfumo upi?
Mkoa wa pwani wanaletwa wakristo! Wanatoka wapi, una maana waislam wanazuiliwa kusoma mkoa wa pwani? Amekukosea nini J.Kikwete na Kawambwa mpaka uwadhalilishe hivyo.

Kuhusu mikoa ya wakristo kuwa na maendeleo, hii ni dhana tata, hivi lindi na Mtwara ina waislamu peke yake? Hivi mkoa wa tanga mpaka mwalimu anajiuzulu ulikuwa na viwanda vingapi? Hivi mikoa kama rukwa, kigoma, kagera, singida nk imeunganishwa miaka ipi na lami? Au huko kote ni waislam?
Mdogo wangu, maisha ni mapambano maia wanafanikiwa na maelfu wanafeli, wrong approach kwa tatizo italeta wrong solution..na mbele kunaweza kuwa kugumu kwa kuwa unapigana na ukuta badala ya tatizo lenyewe. Assalaam alleykum!
 
Nchi hii ya ajabu sana,eti hivi sasa kuna watu wanajiita wasomi ndio wanauona udini,wanasema tunavunja misingi tuliaachiwa na Nyerere?Nchi hii kweli inawasomi wa ajabu!!!!!!!!!

Nchi hii udini umaasisiwa na Nyerere mwenyewe,ngoja niwakumbushe hawa wanaojiita wasomi hivyo hawajua kwamba kanisa Katoliki lipo kwenye mchakato wa kumpatia Utakatifu Baba wa Kanisa Nyerere kwa kazi nzuri aliyolifanyia kanisa Katoliki?Kwa michakato kama hii watu wakisema nchi hii inaendeshwa kwa mfumo kristo mutasema ni wachochezi?

Acha tuivunje hii misingi ya mfumo kristo aliyoiasisi Baba wa Kanisa Nyerere.Kama tunataka amani ya kweli lazima tuvunje hii misingi ya mfumo kristo tulioachiwa na Baba wa kanisa Nyerere kisha tujenge taifa la watanzania wote.

Tukikataa kujenga taifa la watanzia wote hivi sasa basi tutalijenga baada ya vita vya kidini kama walivyojenga Rwanda na Burundi baada ya vita vya kikabila.Dhambi ya ubaguzi aliyoiasisi Baba wa kanisa Nyerere ndio inayotumaliza

Karibuni wakereketwa wa kanisa lije kuwatoka povu kwa kunikejeli na kunadharua,vyovyote mutakavyosema mutambue sasa hivi waislamu tupo katika phase ya kujikomboa kutoka katika mfumo kandamizi mfumo kristo,tumechoka na huu mfumo lazima uvunje na kama hamutaki tutapigana vita vya kidini hapo.
Kama ni m;fumo Christo mbona inaonekana Kama nyinyi ndiyo wenye HAKI ya kuchinja wanyama? Waislamu na nchi za kiislamu kote duniani Hamna Amani. Shetani amemtuma mtume kuja kuvuruga KAZI ya Yesu. Yesu alishasema kuwa yeye ni mwanzo na mwisho na wote watakaokuja badala yake ni waongo tusiwaamini. Na allies a wengi watakuja kwa jina lake. Mtume Muhammad ni miongoni mwao. Shetan awatangulie nyinyi na mtuwe wenu. Mungu wa mbinguni atatupigania. Kwa jina lake Yesu tutashinda.
 
nakusa objectivity ya unachoeleza. Huoni unachoongea is too subjective?!! Kitika Tanzania hii waislam ni daraja la pili?!! Sijui kivipi? Most of decion makers waliopo katika top layer ya serikalii hii ni waislam, na wenyewe wameishia kulalama tuu?!!what wrong with you dr!?? Kuwa focussed lete issue amabazo zipo specific na punguza consiparacy theory. Kama otherwise linaonekana kama vile, obsessive compesive disoder. ANGALIA UCHUMI WA NCHII HII. HELA NYINGI IPO CHINI YA WAISLAM. MASHELI YA MAFUTA, MALORI, MABASI, VIWANDA. MATAJIRI WAKUBWA NCHI HII NI WAISLAM. LAKINI WANAWAFANYIA NINI WAISLAM WENZAO KUWAPA MAARIFA YA KUONDOKANA NA UJINGA NA UMASIKINI?!! RUDI HIYO MIKOA YA WAISLAM UTASHANGAA UMASIKINI UNATOKA WAPI!?? KWETU TANGA MUHEZA KUCHONGA BARABARA NI KAZI YA SERIKALI. LEO NIPO MOSHI KWENYE KILI MARATHONI NIMEPANDA VIJIJINI WATU WANAFANYA KAZI. MWANAMKE WA KICHAGGA AKIAMKA ASUBUHI NI KUZOA MBOLEA, KUPIKA CHAI YA ASUBUHI(MIND U HUKU KUNA BARIDI LAZIMA WANYWE CHAI) BAADA YA HAPO ANAENDA KUKATA MAJANI YA NGOMBE NA KUPITIA SHAMBANI KULIMA AU KUCHUMA MBOGA. NENDA MJINI WANAWAKE NDIO MACHINGA WANAUZA VIATU WANAPIKA CHIPSI. WANAUME WAKO WAPI?!! WAKO MJINI DAR, TANGA, DODOMA, SINGIDA, MWANZA, MBEYA WANATAFUTA HELA. SASA MWISHO WA SIKU USIJE UKASHAANGAA NI MOJA KATI YA JAMII ZILIZOENDELEA SANA LINAPOSKUJA SUALA LA MAENDELEO YA MTU MMOJA MMOJA. TURUDI KWETU TANGA ARDHI NZURI YENYE RUTUBA CHAKULA CHA KUTOSHA. BABA ALIOGOPA KUJENGA NYUMBA YA MAANA HUKO AKIHOFIA WATAMLOGA. JAMANI KUNA ZAIDI YA DINI HAPA WATU WENGINE WANAFANIKIWA KWA SABABU YA TAMADUNI ZAO NA ARI YAO YA KUPENDA KUFANYA KAZII!! TUJIFUNZE KUTOKA KWA WAPEMBA, WAMEJAA KARIAKO WANAFANYA BIASHARA, WAKINGA, WACHAGA, WAHAYA....
KUNA WANAOTOKA VIJINI HAWANA HATA SHILINGI WANA ELIMU YA DARASA LA SABA TUU WAKO TAYARI KUANZA MAISHA HATA KWA KUIBA LAKINI MWISHO WA-SIKU WANAKUWA MATAJIRI WAKUBWA JE HAWA WANASAIDIWA NA MFUMO GANI!? MAENDELEO YA MTU HUANZIA NA MTU BINAFSI BAADAYE NDIO YA TAIFA NA DUNIA YANAFUATA.

Nini jukumu la serilkali katika maendelea ya Jamii hasa katika jamii iliyoacha nyuma kimaendeleo kwasababu za kihistoria?

Kuwa na raisi muislamu,makamu wa raisi muislamu na mkuu wa jeshi la polisi muislamu sio hoja ya msingi,utawala ni system(mfumo),kama zaidi ya 80% ya watendaji wa serikali na taasisi zake ni wa mfumo kristo,hao watu wa juu watafanya nini,wanaweza wakaangushwa tu na watendaji wa serikali na taasisi zake hili waonekane ni majuha tu,na hii hujuma inafanyakia kwenye maofisi mengi tu.Nilikuwa Intern Muhimbili mwaka 2010 niliona mawakala wa mfumo kristo walivyokuwa wanaihujumu serikali ili raisi aonekane ni dhaifu,hata mgomo wa wa madaktari pamoja na madai ya msingi waliyokuwa nayo,laikini nyuma ya pazia kuliuwa na hujuma za mfumo kristo.

Lakini nikubaliane na John Mnyika kwamba Raisi wetu ni dhaifu sana.
 
Ni aibu na kujidhalilisha kwa wasomi hawa kukaa chini na kujadili chanzo cha ukosefu wa amani bila ya kuitaja DHULMA ambayo ndicho chanzo kikuu.

Sijui lini utaelewa mmeshikilia dhulma tu kila kukicha...be realistic
 
Kanisa katoliki lenyewe ndio limeandika vitabu vinavyoonesha kazi aliyoifanyia kanisa,sasa kapingane na hivyo vitbu vilivyoandikwa na Mapadri.

Kuna anayeliombea taifa hili vita vya kidini,ukweli tumechanganyika sana,lakini pia hakuna mtu anayekubali kuisha kama raia wa daraja la pili ndani ya nchi yake aliyozaliwa hata awe mkristo.Tumeona mapambano baina ya Suadani kusini(wakristo) na Sudani kaskaznini(waislamu) kwa zaidi ya miaka 20.chanzo ni wakristo walikuwa wanafanya raia wa daraja la pili ndani ya nchi yao.

Kama tunataka amani ya kweli basi tukubali kuvunja mfumo kristo na tujenge tanzania ya wote,vinginevyo tutakuwa tunajidanganya tu.

Wanaofaidika na mfumo kristo wakubali kupoteza maslahi yao,maeneo ya waislamu wengi wejengewe shule za maana na wapelekewe walimu wa kutosha pamoja na vifaa vya kufundishia,pia serikali itoe elimu juu umuhimu wa elimu kwani wazazi wa watoto hawa ni wauza dagaa,vitumbua,nyanya wamechoka kimaisha hawana hata shilingi 40000 ya kulipia ada,ndio mimi mwenyewe nilikaa nyumbani mwaka mmoja na nusu kwasababu mama yangu alikosa 40000 ya kunilipia ada,na alikuwa akilia tu mwanangu anakosa shule na anauwezo wa kimasomo.

Rafiki yangu wa shule ya msingi tuliyekuwa tunasoma pamoja kwa badii,na kweli wote wawili tulifaulu,wazazi wa rafiki yangu walihangaika huku na huko mwisho walishindwa kumpeleka shule rafiki yangu,alikuwa napenda shule sana lakini hivi sasa anauza mifuko pale mtaa wa kongo,watu kama nyinyi wa mfumo kristo mutamuona mjinga amekataa kwenda shule,akipatwa na hasira akavaa bomu na kujiripua mutamlaumu hoo siasa kali wakati hata kuswal haswali.Kuna kipindi wakati nipo chuo nikapata taarifa amejiingiza kwenye makundi ya kihuni huko mwanyamala,ikabadi nimtafute,nikampata kwenye kijiwe kimoja kimoja mwananyamala B,ikabidi nifanye kazi ya ziada kumtoa huko,sas anafanya minada ya mitumba.Kijana alikuwa na uwezo mzuri tu darasani.

Tangu nazaliwa mpaka chuo kikuuu sijasoma shule ya private nimesoma shule ya msingi Tandika, nikafaulu nikaenda kibasila then Tambaza kisha UDSM. Ada za shuleni hazijawahi kuwa sababu ya mwanafunzi kufukuzwa shule au kusimamishwa masomo. Nimesota mbaya nasinda njaa natembea kwa miguu miguu nusu ya safari za kwenda shule. Niliishi kwa kuomba nauli toka kwa ndugu wazazi wengi walikuwa either hawana kipato au waliona anasa kumpa mtoto hela ya kula njiani kwa tasfisri yao ni kumuharibu mtoto. Kuwa na akili ni jambo moja ila kukabiliana na changamoto za maisha ni jambo jingine. Kuna madaktari wengi ambao wana akili sana kimasomo lakini hawana maisha ya maana ni walevi na familia zao zimewashinda. Katika umri wa ujana kuna vijana wengi wanapotea kimaisha na kushindwa shule kwa sababu ya kufuata makundi. Enzi sisi tunasoma ukiwa unpenda shule wanakuita John au Solopaga. Ujanja ulikuwa ni kuzamia meli kwenda Itali au Greece baada ya hapo ukaja ujenja wa kwenda South baada ya Mandela kuwa rais. Wengi waliacha sanaa shule kukimbilia bondeni waliiba TV kwao, deki... fujo tupu na leo wako mtaani wameongza idadi ya wasio na dira na wenye chuki kwa serikali na wenye nachoo... Jamii hii ya kitanzania tunapenda vitu vya ajabu sanaa tunachangisha harusi za mamilioni, tunapenda starehe, hakuna hata siku moja utasikia watu wanachangia elimu bila kuialumu kwanza serikali. Wewe ni lini ulirudi shule uliyosoma ukawapelekea vitabu!? Tukishatoka mashuleni hatutaki hata kusrudi na kuziendelezza shida tuupu, kisa mfumo kristo. Kuna mambo ambayo yanafaa kurekebishwa kama unavyosema lakini hayataleta hayo mabomba ya asali na maisha mazuri kama unavyofikiri. HUUU MFUMO TULIO NAO NI WA KIBEBARI NA TOFAUTI KATI YA WALIONACHO NA WASIO NACHO INAZIDI KUKUA. SASA TURUDI KWENYE UJAMAA ALIOUANZISHA NYERERE AMBAYE NI MKRISTO...!!! KUSEMA MUISLAM NI DARAJA LA PILI NI MASHARA KAKA NA NAOMBA UFUTE KAULI YAKO. MATAJIRI WAKUBWA NCHII HII NI WAISLAM, VIONGOZI WAKUU WA NCHI HII NI WAISLAM USILAM UMEKUWEPO NCHII HII MUDA MREFU ZAIDI YA UKRISTO. ELIMU DUNIA HAIJAWAHI KUWA MSINGI/NGUZO YA UISLAM, SO MWISHO WA SIKU LAZIMA TOFAUTI ZIONEKANE. na vilevile nchi hii ina makabila mengei na yanatofautiana sana katika tamaduni na misngi yao ya maendeleo. leo ukimpa mpemba, mchaga na mkinga mtaji wa laki mbili na ukampa mzaramu, mbondei au mmasai baada ya miaka mitano utawakuta wana viwango vya maisha tofauti sanaa. Hii kwa kiasi kikubwa inatokana na jisnsi wanavyotoa kipaumbele kwenye matumizi na utafutaji wa maendeleo. Na haina uhusiano wowote na mfumo kristo.
 
Nguvukazi umelishwa madudu mengi na unahitaji kutapishwa kwa matibabu ya wanasaikolojia wa kiwango cha juu sana. Umejenga chuki nzito kwa kitu unachokiita mfumo Kristo kama kwamba ni dude moja kubwa mbele yako wakati ukweli hiki kitu kimo kichwani mwako tu.

Mwaka 1996 wakati unamaliza rais aliyekuwepo madarakani alikuwa mzee A. H. Mwinyi ambaye ni Alhaji na mwislamu mzuri. Hiyo ilikuwa ni miaka 6 tangu mwalimu awe ameondoka madarakani, sina hakika kama kwahyo miaka mzee Mwinyi alishindwa kuliona hilo au alikatazwa na Nyerere. Lakini labda hujui kwamba wilaya nyingi kufikia mwaka huo kuwa na shule ya sekondari moja ya serikali haikuwa ajabu, ungetuambia mfano nkasi, mbozi, bariadi mpanda,, au huko kwa mwalimu butiama kulikuwa na shule ngapi za serikali mpaka uone wilaya yako tu ndo ilibaguliwa!?

Kuhusu kukosa ada na kuzuiwa masomo mimi sijui ni mtanzania gani wa miaka hiyo hajapitia, achana na yako ya elfu 40 sisi wengine tumefukuzwa primary kwa sababu mama ameshindwa kukunulia kaptula ya shule na huna 200 ya dawati, na hakuna aliyewaza kuwa anafanyiwa hivyo kwa sababu ya dini yake, sijui unayatoa wapi!

Unasema ulikuwa unaongoza darasani ni jambo zuri, nani walikufundisha? Kwa mfumo upi? Unasema headmaster alikufukuza kwa kukutukana thats bad lakini una maana katika hiyo shule mpaka inafikia huo wakati ni wewe tu au ni waislamu tu waliokuwa wakifukuzwa kwa kukosa ada?
Sijakuelewa ulifikaje form four maana unasema muda wote ulikuwa nyumbani lakini form four ukapata division one! Hôngera sana lakini fahamu unapingana na wenzako humu Jf na baadhi mitaani, wao wanasema mfumo kristo pale NECTA huwa unawafelisha, vipi unapingana nao au unataka kusema walidhani we mkristo?
vipi wizara iliyokupa barua mwenzetu usome bure form four wakati wengine wamelipa ilikuwa iko katika mfumo upi?
Mkoa wa pwani wanaletwa wakristo! Wanatoka wapi, una maana waislam wanazuiliwa kusoma mkoa wa pwani? Amekukosea nini J.Kikwete na Kawambwa mpaka uwadhalilishe hivyo.

Kuhusu mikoa ya wakristo kuwa na maendeleo, hii ni dhana tata, hivi lindi na Mtwara ina waislamu peke yake? Hivi mkoa wa tanga mpaka mwalimu anajiuzulu ulikuwa na viwanda vingapi? Hivi mikoa kama rukwa, kigoma, kagera, singida nk imeunganishwa miaka ipi na lami? Au huko kote ni waislam?
Mdogo wangu, maisha ni mapambano maia wanafanikiwa na maelfu wanafeli, wrong approach kwa tatizo italeta wrong solution..na mbele kunaweza kuwa kugumu kwa kuwa unapigana na ukuta badala ya tatizo lenyewe. Assalaam alleykum!

1996 raisi alikuwa Mkapa.

Mama alinipeleka shule form four nikiwa na ada yangu,alinipeka kwasababu nilikaa nyumbani mwaka mmjoa na nusu.Tulienda wizarani kwaasababu mama alitaka nirudie darasa hivyo tulionana na mkurugenzi wa mafunzo sekondari ambaye alikuwa anatoka wilyani kwetu,mimi nikamwambia ninauwezo wa kufanya mtihani mwaka huo na kufaulu,hivyo akatuandikia barua kwa headmaster hili aweze kuangalia uwezo wangu kitaaluma na kufanya maamuzi kama nilrudie form three au niendelee form four.

Siku ya kwanza shuleni tulikmkuta second master ambaye ni maarufu kwa uwakala wa mfumo kristo,alichokifanya yeye ni kututusi na kutukejeli kwasababa ya dini yatu,na rudia kwasababu ya dini yetu,tukaondoka

Tuaenda wiki iliyofuata,tukamkuta Headmaster,yeye akahitisha maendeleo yangu ya kitaaalauma na kuyaaangalia,kisha akamwambia mama kwa maneno ya upendo mwuache mtoto aendelee form four na atafaulu na kuwa daktari mzuri tu,alisema hivyo kwasababu mama alikuwa na wasiwasi kwamba sitofaulu mtihani kwasababu kipindi chote mwaka mmoja na nusu nilikuwa nauza machungwa kule kinondoni.
 
Udini ulianza UDSM, waliipiga vita MSAUD, walituandama wanafunzi tuliokuwa na msimamo kipindi kile Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani. Kila mahali kuna minority, pindi minority wakianza kufanya vitu extraordinaries, huchukiwa. Mandela, Obama and Prof Malima ni mifano mizuri
 
Back
Top Bottom