Wahadhiri UDSM Waongelea tatizo la Udini

Wahadhiri UDSM Waongelea tatizo la Udini

Kwa kweli hoja hii huwa inajadiliwa kwa propaganda zaidi kuliko uhalisia wake.siwaelewi kabisa wanaomlaumu Nyerere kwa udini.sie tuliosoma mashuleni na vyuoni tunaujua ukweli.tatizo la tofauti ya elimu lipo zaidi ktk mitazamo yetu juu ya elimu.mitazamo hii iko influenced na tamaduni zetu ambazo nazo ziko influenced zaidi na dini na maeneo tunayotokea au kabila.tuliokaa shule tunalijua hili.kuna watu kwa mitazamo yao walipuuza elimu na wengine wakaikumbatia.sasa leo tofauti zinaonekana tunatafuta mchawi humu.si tulikuwa tunaimba kuwa elimu tuliyonayo mashuleni ni ya mzungu?tukaipuuza?sasa leo imekula kwetu tunamlalamikia Nyerere?mie nadhani nchi hii inakosa watu jasiri wa kuongea ukweli bila kuremba ndio maana matatizo hayaishi.naomba nijiunge na kambi hii ya wasema ukweli.nasema hivii...WAISLAMU ACHENI UJINGA,SOMENI,MUELIMIKE,MJIFUNZE KUDAI CHENU NA KUACHA KUDAI KISICHO CHENU!ACHENI UJINGA,NARUDIA TENA,WAISLAM ACHA UJINGAA!
 
Bado tunakumbuka Baba wa Kanisa nyerere alivyopambana na waislamu baada ya uhuru mpaka akafanikiwa kuanzisha kitengo cha usalama wa taifa cha kuwadhibiti na kurudisha nyuma maendeleo ya waislamu a.k.a BAKWATA.

duh!hivi hapa nipo jamiiforums au kijiweni?nendeni shule msome muondoe ujinga jamani,chonde,enyi ndugu zangu watz wenzangu NENDENI SHULEE!Uuwi!
 
Ndugu yangu nakusifu sana kwa kulieleza hili suala kwa kirefu zaidi,kwa ujumla hii nchi inamfumi kristo ambao pindi unapoutaja basi lazima uambulie matusi,Baba wa taifa ndie aliuenzi mfumo huu kwani aliamua kwa makusudi kabisa kuwatosa waislamu mara tuu baada ya uhuru.BAKWATA kwa upande fulani ni chombo cha kuwapumbaza waislamu pindi tuu wanapoanza kutaka kuchukua haki zao,nakuhakikishia kuwa bila kuwafanya hawa wenye mfumo kristo kujua kwamba tunahitaji haki iliyopokwa basi wataendelea kusumbua daima.
Msiba mwingine ambao tusubiri unakuja soon ni huu wa kutawaliwa na padre, mimi kwa ujumla sitompa kura yangu labda awe mgombea mwingine.Mimi ni mpinzani ila kura yangu simpi huyo mgombea. mana najua viapo vyao vya kazi huwaga ni vigumu kuviacha.Hawezi kutosa ethics za kazi yake ya upadre hata iweje!!

nina wasiwasi si wote wanaoleta maoni ya aina hii humu ndani ni waislam.nahisi hizi ni propaganda kutoka kitengo fulani kuendelea kutugawa watz.siamini wewe ni muislam.wewe upo kazini umetumwa kuwalipua waislam na wakristo humu kwa ajili ya kujenga mazingira 2015.next time i'll be careful na michango yangu juu ya udini humu JF.nimehisi kitu!
 
nina wasiwasi si wote wanaoleta maoni ya aina hii humu ndani ni waislam.nahisi hizi ni propaganda kutoka kitengo fulani kuendelea kutugawa watz.siamini wewe ni muislam.wewe upo kazini umetumwa kuwalipua waislam na wakristo humu kwa ajili ya kujenga mazingira 2015.next time i'll be careful na michango yangu juu ya udini humu JF.nimehisi kitu!
mkuu hata mimi nimewashtukia hawa jamaa wanaojidai CCM damu na Waislamu safi kuliko hata wale wa Saudi,nadhani ni mkakati maalumu wa watawala kuuchafua Uislamu. Haiwezekani Mwislamu wa kweli ashabikie matendo ya kigaidi na uhalifu,hawa jamaa ni project maalumu kuuchafua Uislamu.
 
nina wasiwasi si wote wanaoleta maoni ya aina hii humu ndani ni waislam.nahisi hizi ni propaganda kutoka kitengo fulani kuendelea kutugawa watz.siamini wewe ni muislam.wewe upo kazini umetumwa kuwalipua waislam na wakristo humu kwa ajili ya kujenga mazingira 2015.next time i'll be careful na michango yangu juu ya udini humu JF.nimehisi kitu!
Afadhali kama umeshtuka kaka, hata mimi nahisi kuna watu wana mradi wao mahali fulani wanauvutia siku tu, ili kuthibitisha unachosema ingekuwa poa unge edit hata hiyo thread hapo juu
 
Back
Top Bottom