Wahadhiri UDSM Waongelea tatizo la Udini

Wahadhiri UDSM Waongelea tatizo la Udini

Binafsi naona tamko zuri! Kuna eneo moja tu wamekose, kwenye mapendekezo na. 3 utofauti wa kielimu kati ya dini hizi ulianza enzi za ukoloni! Hivyo baada ya uhuru uliendelea na kuendelezwa!

kivipi?nani aliyeuendeleza ikiwa watu wamepokonywa hadi shule kwa maslahi ya kila mtanzania?kuna ukweli mmoja lazima tuuseme hapa.tulipopokea dini hizi waliotuletea walituachia na tamaduni zao nyingine.wakati na baada ya ukoloni elimu ilionekana utamaduni wa mzungu.hivyo waliopokea dini isiyo ya mzungu hawakupenda kwenda shule.waliopokea dini ya mzungu walipenda kwenda shule.leo tofauti inaonekana halafu tunamsingizia mkoloni.mkoloni anaingiaje hapa wakati alishatuachia nchi tuendeshe wenyewe?wengine wanamsingizia Nyerere wakati mzee wa watu hadi leo kuna watu wana kisirani nae kwa kutaifisha shule zao kwa maslahi ya wote.roho yangu inauma kuona watz hatuna nia ya dhati ya kulitafutia ufumbuzi tatizo kwani bado tunalaumiana kwa mambo yasiyokuwepo.jamani,nchi inaangamia,tukubali makosa,tujirekebishe,tusonge mbele pamoja.sie tuliokaa madarasani tunaujua ukweli.ilikuwa ni kawaida kukuta watu wa aina moja wakiwa na mtazamo chanya kuhusu elimu na kufanya bidii huku watu wa aina nyingine wakipuuzia na matokeo yakawa hivyo hivyo.na ukichunguza utakuta tofauti za kimtazamo juu ya elimu zililetwa na utamaduni wa watu husika.na utamaduni wa mwafrika uko influenced sana na mchanganyiko wa mambo mawili,dini na mahali mtu anapotokea au kabila.hivi vitu nimeviona sana mashuleni,vyuoni na mitaani kuwa sababu kuu ya kututofautisha kimtazamo juu ya elimu.waliokuwa na utamaduni unaowainfluence kusoma walisoma,na wale waliokuwa na tamaduni hasi juu ya elimu hawakusoma.leo hii wote tumeelewa umuhimu wa elimu,basi tusitafute mchawi,TUSOME.
 
Hili tamko halijitoshelezi kureflect wasomi wa UDSM. I think lilitakiwa kuwa research based zaidi, litoe uchambuzi wakina, alafu likaandikwa katika simplified version. Mi nanona limebase kwenye hisia zaidi!!

I know they have been several works which address religious conflicts in Africa, at least wangejitahidi kuzi discuss kwa ubunifu zaidi, kwa kutumia scientific tools mbalimbali!!

Pia, haijulikani kama hili ni tatizo la kimfumo wa maisha au ni tatizo la aina gani? Kusema kwamba ni tatizo linalosababishwa na wanasiasa is making the matter to trivial, yaani hamna any novel ideas! Nasema hivi kwa sababu hii ndo inaonyesha ukomavu wa wasomi kufikiria conflicting ideas and at the same time been able to digest them ili watu wa kawaida wawezekuelewa.

Otherwise, any one can write this kind of essay.
 
Hili tamko halijitoshelezi kureflect wasomi wa UDSM. I think lilitakiwa kuwa research based zaidi, alafu likaandikwa katika simplified version. Mi nanona limebase kwenye hisia zaidi!!

I know they have been several works which address religious conflicts in Africa, at least wangejitahidi kuzi discuss kwa ubunifu zaidi, kwa kutumia scientific tools mbalimbali!!

Otherwise, any one can write this kind of essay.

Mpaka sasa hakuna uhakika kwamba hili tamko ni la wahadhiri wa UDSM au kuna ki blog kinataka kuanzisha satires za "The Onion" type kujifurahisha.

Tamko la wahadhiri wanaojua ku submit mpaka papers kwenye academic journals kwa formats na fotnotes halina anuani wala jina?

Kama wahadhiri wa Chuo Kikuu chetu kikongwe kabisa ndo wanaandika hivi, je tunaweza kushangaa hao form four wanavyofanya vibaya?
 
Nchi hii ya ajabu sana,eti hivi sasa kuna watu wanajiita wasomi ndio wanauona udini,wanasema tunavunja misingi tuliaachiwa na Nyerere?Nchi hii kweli inawasomi wa ajabu!!!!!!!!!
Mchoraji wa zombie huyu, safi sana.
Nchi hii udini umaasisiwa na Nyerere mwenyewe,ngoja niwakumbushe hawa wanaojiita wasomi hivyo hawajua kwamba kanisa Katoliki lipo kwenye mchakato wa kumpatia Utakatifu Baba wa Kanisa Nyerere kwa kazi nzuri aliyolifanyia kanisa Katoliki?Kwa michakato kama hii watu wakisema nchi hii inaendeshwa kwa mfumo kristo mutasema ni wachochezi?

Acha tuivunje hii misingi ya mfumo kristo aliyoiasisi Baba wa Kanisa Nyerere.Kama tunataka amani ya kweli lazima tuvunje hii misingi ya mfumo kristo tulioachiwa na Baba wa kanisa Nyerere kisha tujenge taifa la watanzania wote.

Tukikataa kujenga taifa la watanzia wote hivi sasa basi tutalijenga baada ya vita vya kidini kama walivyojenga Rwanda na Burundi baada ya vita vya kikabila.Dhambi ya ubaguzi aliyoiasisi Baba wa kanisa Nyerere ndio inayotumaliza

Karibuni wakereketwa wa kanisa lije kuwatoka povu kwa kunikejeli na kunadharua,vyovyote mutakavyosema mutambue sasa hivi waislamu tupo katika phase ya kujikomboa kutoka katika mfumo kandamizi mfumo kristo,tumechoka na huu mfumo lazima uvunje na kama hamutaki tutapigana vita vya kidini hapo.

Mchoraji wa zombie wewe, safi sana keep it up.
 
Mpaka sasa hakuna uhakika kwamba hili tamko ni la wahadhiri wa UDSM au kuna ki blog kinataka kuanzisha satires za "The Onion" type kujifurahisha.

Tamko la wahadhiri wanaojua ku submit mpaka papers kwenye academic journals kwa formats na fotnotes halina anuani wala jina?

Kama wahadhiri wa Chuo Kikuu chetu kikongwe kabisa ndo wanaandika hivi, je tunaweza kushangaa hao form four wanavyofanya vibaya?

Umeona eeh!!! Hizi ndo kama zile za kina Redet kutuletea bias statistical data kabla ya uchaguzi 2010, eti ccm itashinda kwa kishindo!
 
kivipi?nani aliyeuendeleza ikiwa watu wamepokonywa hadi shule kwa maslahi ya kila mtanzania?kuna ukweli mmoja lazima tuuseme hapa.tulipopokea dini hizi waliotuletea walituachia na tamaduni zao nyingine.wakati na baada ya ukoloni elimu ilionekana utamaduni wa mzungu.hivyo waliopokea dini isiyo ya mzungu hawakupenda kwenda shule.waliopokea dini ya mzungu walipenda kwenda shule.leo tofauti inaonekana halafu tunamsingizia mkoloni.mkoloni anaingiaje hapa wakati alishatuachia nchi tuendeshe wenyewe?wengine wanamsingizia Nyerere wakati mzee wa watu hadi leo kuna watu wana kisirani nae kwa kutaifisha shule zao kwa maslahi ya wote.roho yangu inauma kuona watz hatuna nia ya dhati ya kulitafutia ufumbuzi tatizo kwani bado tunalaumiana kwa mambo yasiyokuwepo.jamani,nchi inaangamia,tukubali makosa,tujirekebishe,tusonge mbele pamoja.sie tuliokaa madarasani tunaujua ukweli.ilikuwa ni kawaida kukuta watu wa aina moja wakiwa na mtazamo chanya kuhusu elimu na kufanya bidii huku watu wa aina nyingine wakipuuzia na matokeo yakawa hivyo hivyo.na ukichunguza utakuta tofauti za kimtazamo juu ya elimu zililetwa na utamaduni wa watu husika.na utamaduni wa mwafrika uko influenced sana na mchanganyiko wa mambo mawili,dini na mahali mtu anapotokea au kabila.hivi vitu nimeviona sana mashuleni,vyuoni na mitaani kuwa sababu kuu ya kututofautisha kimtazamo juu ya elimu.waliokuwa na utamaduni unaowainfluence kusoma walisoma,na wale waliokuwa na tamaduni hasi juu ya elimu hawakusoma.leo hii wote tumeelewa umuhimu wa elimu,basi tusitafute mchawi,TUSOME.

Mkuu umesema kweli tupu. Watu tunashindwa kuangalia mambo kwa mapana. Hatujiulizi huko amboko hakuna ''mfumo Kristo'' kama Sudani na Somalia mbona hali ya Waislam ni mbaya zaidi?
 
Kuna watu kweli kabisa wanaamini mambo hayajawaendea vizuri kwasabbu tu ya imani kwa dini zao!! Hii ni aibu kusema kweli,

Nimekutana na watu wa aina ya kiranga na nguvukazi mara nyingi hapa mjini ni vigumu kukuta hoja zao zikawa na uthibitisho wa wanachokiongea, wengi wanahisi tu kwamba wanadhulumiwa baada ya kuambiwa hivyo na viongozi wao wa kidini na wao wakayameza hivyo yalivyo.

Nadhani ni kweli tuna tatizo zito la umaskini ambalo limefanya watu wetu wawe na hasira kisaikolojia, na kwa sababu ni tatizo kichwani basi watu wanawatafuta watu wa kuwasingizia ili kupata ahueni kwamba si wao wamelisababisha isipokuwa wameonewa maana kuna kundi mahali fulani linawahujumu.
Haya madai yameanza muda mrefu lakini yamekuzwa zaidi kutokana na uwepo wa vyombo vya habari, ombi langu kwa wanaolalamika hebu thibitisheni madai yenu ili angalau hata na sie wengine huku mtaani walau tushawishike tu...
Mfano.,kuhusu NECTA tafuteni wanafunzi angalau watano katika nchi hii mnaohisi walifelishwa kwa sababu tu ya dini zao kisha mfanye appeal ya kusahihishwa upya mitihani yao..matokeo yakiwa tofauti na ya awali mtakuwa na mahali pa kusimamia.. angalau uwepo uthibitisho wa hayo malalamiko yenu vinginevyo yanabaki kuwa madai yanayoelea hewani kwa kukosa msingi wa kuyabeba
 
kivipi?nani aliyeuendeleza ikiwa watu wamepokonywa hadi shule kwa maslahi ya kila mtanzania?kuna ukweli mmoja lazima tuuseme hapa.tulipopokea dini hizi waliotuletea walituachia na tamaduni zao nyingine.wakati na baada ya ukoloni elimu ilionekana utamaduni wa mzungu.hivyo waliopokea dini isiyo ya mzungu hawakupenda kwenda shule.waliopokea dini ya mzungu walipenda kwenda shule.leo tofauti inaonekana halafu tunamsingizia mkoloni.mkoloni anaingiaje hapa wakati alishatuachia nchi tuendeshe wenyewe?wengine wanamsingizia Nyerere wakati mzee wa watu hadi leo kuna watu wana kisirani nae kwa kutaifisha shule zao kwa maslahi ya wote.roho yangu inauma kuona watz hatuna nia ya dhati ya kulitafutia ufumbuzi tatizo kwani bado tunalaumiana kwa mambo yasiyokuwepo.jamani,nchi inaangamia,tukubali makosa,tujirekebishe,tusonge mbele pamoja.sie tuliokaa madarasani tunaujua ukweli.ilikuwa ni kawaida kukuta watu wa aina moja wakiwa na mtazamo chanya kuhusu elimu na kufanya bidii huku watu wa aina nyingine wakipuuzia na matokeo yakawa hivyo hivyo.na ukichunguza utakuta tofauti za kimtazamo juu ya elimu zililetwa na utamaduni wa watu husika.na utamaduni wa mwafrika uko influenced sana na mchanganyiko wa mambo mawili,dini na mahali mtu anapotokea au kabila.hivi vitu nimeviona sana mashuleni,vyuoni na mitaani kuwa sababu kuu ya kututofautisha kimtazamo juu ya elimu.waliokuwa na utamaduni unaowainfluence kusoma walisoma,na wale waliokuwa na tamaduni hasi juu ya elimu hawakusoma.leo hii wote tumeelewa umuhimu wa elimu,basi tusitafute mchawi,TUSOME.

Mdini mkubwa wewe,hakuna muislamu asiyejua umuhimu wa elimu ndio maana waislamu walijitolea kudai uhuru wa nchi hii kwa sababu walikoseshwa elimu na shule za kanisa kabla ya uhuru,wakristo wa kikoloni walitumia shule na huduma ya afya kuwabatiza watu ndio maana wazee wa kiislamu waliogoma kuwapeleke watoto wao kwenye shule hizi.

Kabla ya uhuru waislamu hawakuwachukia wakristo waafrika ndio maana walimkaribisha Baba wa kanisa Nyerere katika harakati za uhuru japo wakristo wote walikuwa kanisani wakimsifu mkoloni mkristo.

wazee watu wa kiislamu walimuambia wazi Baba wa Kanisa Nyerere kwamba tatizo letu ni elimu na hatuwezi kuwapeleka vijana wetu wakabatizwe kwenye shule za kanisa hivyo tunakuomba baada ya uhuru tuondoe upogo uliopo wa kielimu baina ya waislamu na wakristo.

Baada ya uhuru baba wa kanisa Nyerere akawageuka waislamu,akijaifanya anapiga vit udini kumbe muongo anapiga vita uislamu na kulipa kanisa better chance,akauhamishia mfumo kristo katika serikali huku akijafanya anapiga vita udini.

Kipindi chote tokea uhuru mpaka mwaka 1970 Baba wa kanisa Nyerere alikuwa kwenye mapambano na waislamu akitumia kila njia kuwadhibit waislamu mpaka pale alipofanikiwa kuunda BAKWATA a.k.a Kitengo cha usalama wa taifa cha kuwadhibiti waislamu.

Kuanzia mwaka 1970 mpaka mwishoni mwa miaka ya 80 waislamu walidhibitiwa kupitia kitengo cha usalama wa taifa BAKWATA,madai ya waislmu yote ya kabla na baada ya uhuru yalizimwa kupitia BAKWATA,hivyo baba wa kanisa Nyerere aliwadhibiti waislamu kupitia BAKWATA huku akijifanya anapinga udini.

Mwanzoni mwa miaka ya 90 madai ya waislamu yakaibuka tena kwa nguvu kidogo Mzee Mwinyi akivunje kitengo cha usalma wa taifa BAKWATA,lakini baba wa kanisa Nyerere akaibuka na kuvunja jaribio la kuvunjwa BaKWATA.

Tokea mwanzoni mwa miaka ya 90 waislamu wamekuwa wakilalamikia huu mfumo kristo unaoendesha serikali,lakini serikali iliyojaa wakristo imekuwa ikiwadharau na kuwakejeli waislamu kama wewe unavyafanya hapa.

Sasa wakati umefika tuvunje mfumo kristo ulioasisiwa na Baba wa kanisa Nyerere na tujenge taifa la watanzania wenye hadhi sawa ndani ya taifa letu,vinginevyo tutaendelea kuimba wimbo wa Amani na hakuan Amani itakayopatikana kwa maneno yenu ya kejelina dharau munayoyaendeleza dhidi ya waislamu
 
Nchi hii ya ajabu sana,eti hivi sasa kuna watu wanajiita wasomi ndio wanauona udini,wanasema tunavunja misingi tuliaachiwa na Nyerere?Nchi hii kweli inawasomi wa ajabu!!!!!!!!!

Nchi hii udini umaasisiwa na Nyerere mwenyewe,ngoja niwakumbushe hawa wanaojiita wasomi hivyo hawajua kwamba kanisa Katoliki lipo kwenye mchakato wa kumpatia Utakatifu Baba wa Kanisa Nyerere kwa kazi nzuri aliyolifanyia kanisa Katoliki?Kwa michakato kama hii watu wakisema nchi hii inaendeshwa kwa mfumo kristo mutasema ni wachochezi?

Acha tuivunje hii misingi ya mfumo kristo aliyoiasisi Baba wa Kanisa Nyerere.Kama tunataka amani ya kweli lazima tuvunje hii misingi ya mfumo kristo tulioachiwa na Baba wa kanisa Nyerere kisha tujenge taifa la watanzania wote.

Tukikataa kujenga taifa la watanzia wote hivi sasa basi tutalijenga baada ya vita vya kidini kama walivyojenga Rwanda na Burundi baada ya vita vya kikabila.Dhambi ya ubaguzi aliyoiasisi Baba wa kanisa Nyerere ndio inayotumaliza

Karibuni wakereketwa wa kanisa lije kuwatoka povu kwa kunikejeli na kunadharua,vyovyote mutakavyosema mutambue sasa hivi waislamu tupo katika phase ya kujikomboa kutoka katika mfumo kandamizi mfumo kristo,tumechoka na huu mfumo lazima uvunje na kama hamutaki tutapigana vita vya kidini hapo.
Usipofanya kazi na kusomesha wanao kwa bidii na ukaendela kukaa na kupiga porojo eti ''unauvunja mfumo Kristo ili tuwe sawa'' una hasara kubwa. Utaendelea kuwa fukara wewe na vizazi vyako. Hii ni fact ambayo hata utoe povu na udenda namna gani hutaweza kuigeuza.
 
Mdini mkubwa wewe,hakuna muislamu asiyejua umuhimu wa elimu ndio maana waislamu walijitolea kudai uhuru wa nchi hii kwa sababu walikoseshwa elimu na shule za kanisa kabla ya uhuru,wakristo wa kikoloni walitumia shule na huduma ya afya kuwabatiza watu ndio maana wazee wa kiislamu waliogoma kuwapeleke watoto wao kwenye shule hizi.

Kabla ya uhuru waislamu hawakuwachukia wakristo waafrika ndio maana walimkaribisha Baba wa kanisa Nyerere katika harakati za uhuru japo wakristo wote walikuwa kanisani wakimsifu mkoloni mkristo.

wazee watu wa kiislamu walimuambia wazi Baba wa Kanisa Nyerere kwamba tatizo letu ni elimu na hatuwezi kuwapeleka vijana wetu wakabatizwe kwenye shule za kanisa hivyo tunakuomba baada ya uhuru tuondoe upogo uliopo wa kielimu baina ya waislamu na wakristo.

Baada ya uhuru baba wa kanisa Nyerere akawageuka waislamu,akijaifanya anapiga vit udini kumbe muongo anapiga vita uislamu na kulipa kanisa better chance,akauhamishia mfumo kristo katika serikali huku akijafanya anapiga vita udini.

Kipindi chote tokea uhuru mpaka mwaka 1970 Baba wa kanisa Nyerere alikuwa kwenye mapambano na waislamu akitumia kila njia kuwadhibit waislamu mpaka pale alipofanikiwa kuunda BAKWATA a.k.a Kitengo cha usalama wa taifa cha kuwadhibiti waislamu.

Kuanzia mwaka 1970 mpaka mwishoni mwa miaka ya 80 waislamu walidhibitiwa kupitia kitengo cha usalama wa taifa BAKWATA,madai ya waislmu yote ya kabla na baada ya uhuru yalizimwa kupitia BAKWATA,hivyo baba wa kanisa Nyerere aliwadhibiti waislamu kupitia BAKWATA huku akijifanya anapinga udini.

Mwanzoni mwa miaka ya 90 madai ya waislamu yakaibuka tena kwa nguvu kidogo Mzee Mwinyi akivunje kitengo cha usalma wa taifa BAKWATA,lakini baba wa kanisa Nyerere akaibuka na kuvunja jaribio la kuvunjwa BaKWATA.

Tokea mwanzoni mwa miaka ya 90 waislamu wamekuwa wakilalamikia huu mfumo kristo unaoendesha serikali,lakini serikali iliyojaa wakristo imekuwa ikiwadharau na kuwakejeli waislamu kama wewe unavyafanya hapa.

Sasa wakati umefika tuvunje mfumo kristo ulioasisiwa na Baba wa kanisa Nyerere na tujenge taifa la watanzania wenye hadhi sawa ndani ya taifa letu,vinginevyo tutaendelea kuimba wimbo wa Amani na hakuan Amani itakayopatikana kwa maneno yenu ya kejelina dharau munayoyaendeleza dhidi ya waislamu

Endelea kuota ndoto za mchana
 
Hili tamko halijitoshelezi kureflect wasomi wa UDSM. I think lilitakiwa kuwa research based zaidi, litoe uchambuzi wakina, alafu likaandikwa katika simplified version. Mi nanona limebase kwenye hisia zaidi!!

I know they have been several works which address religious conflicts in Africa, at least wangejitahidi kuzi discuss kwa ubunifu zaidi, kwa kutumia scientific tools mbalimbali!!

Pia, haijulikani kama hili ni tatizo la kimfumo wa maisha au ni tatizo la aina gani? Kusema kwamba ni tatizo linalosababishwa na wanasiasa is making the matter to trivial, yaani hamna any novel ideas! Nasema hivi kwa sababu hii ndo inaonyesha ukomavu wa wasomi kufikiria conflicting ideas and at the same time been able to digest them ili watu wa kawaida wawezekuelewa.

Otherwise, any one can write this kind of essay.

Hakuna wasomi hapa ni wadini waliokaa wakaandika hili tamko la ukilaza.Huku ni kudhalilisha elimu kwa kuendekeza udini
 
Kuna watu kweli kabisa wanaamini mambo hayajawaendea vizuri kwasabbu tu ya imani kwa dini zao!! Hii ni aibu kusema kweli,

Nimekutana na watu wa aina ya kiranga na nguvukazi mara nyingi hapa mjini ni vigumu kukuta hoja zao zikawa na uthibitisho wa wanachokiongea, wengi wanahisi tu kwamba wanadhulumiwa baada ya kuambiwa hivyo na viongozi wao wa kidini na wao wakayameza hivyo yalivyo.

Nadhani ni kweli tuna tatizo zito la umaskini ambalo limefanya watu wetu wawe na hasira kisaikolojia, na kwa sababu ni tatizo kichwani basi watu wanawatafuta watu wa kuwasingizia ili kupata ahueni kwamba si wao wamelisababisha isipokuwa wameonewa maana kuna kundi mahali fulani linawahujumu.
Haya madai yameanza muda mrefu lakini yamekuzwa zaidi kutokana na uwepo wa vyombo vya habari, ombi langu kwa wanaolalamika hebu thibitisheni madai yenu ili angalau hata na sie wengine huku mtaani walau tushawishike tu...
Mfano.,kuhusu NECTA tafuteni wanafunzi angalau watano katika nchi hii mnaohisi walifelishwa kwa sababu tu ya dini zao kisha mfanye appeal ya kusahihishwa upya mitihani yao..matokeo yakiwa tofauti na ya awali mtakuwa na mahali pa kusimamia.. angalau uwepo uthibitisho wa hayo malalamiko yenu vinginevyo yanabaki kuwa madai yanayoelea hewani kwa kukosa msingi wa kuyabeba

Labda munataka ushahidi kutoka mbinguni ulioyoyushwa na mungu wenu Yesu ndio mujue huu ni ushahidi,endelezeni mfumo kristo huku mukipiga ngonjera za kutaka Amani.

Ukweli Amani ya nchi hii tokea uhuru ilibebwa na waislmu kwa uvumilivu wao na kwa vile waislamu hivi sasa wamechoka kudhulumiwa hakutakuwa na Amani katika nchi hii mpaka tutakapo kubali kujenga taifa la watanzania walio sawa,mmezoea kuwafanya waislmu kuwa raia wa daraja la pili ndani nchi yao,sasa basi
 
Usipofanya kazi na kusomesha wanao kwa bidii na ukaendela kukaa na kupiga porojo eti ''unauvunja mfumo Kristo ili tuwe sawa'' una hasara kubwa. Utaendelea kuwa fukara wewe na vizazi vyako. Hii ni fact ambayo hata utoe povu na udenda namna gani hutaweza kuigeuza.

Wewe ndio wale munaofaidika na mfumo kristo na kuwaona wengine ni wajinga na hawajathidii,endelea kuamini hivyo alafu uone kama utafaidi hicho ulichokituma pale uliowadhumu watakapoamua kushika silaha.

Mbuyu ulianza kama mchicha,tusipochukua hatua mambo yatakuwa mambaya zaidi
 
Nchi hii ya ajabu sana,eti hivi sasa kuna watu wanajiita wasomi ndio wanauona udini,wanasema tunavunja misingi tuliaachiwa na Nyerere?Nchi hii kweli inawasomi wa ajabu!!!!!!!!!

Nchi hii udini umaasisiwa na Nyerere mwenyewe,ngoja niwakumbushe hawa wanaojiita wasomi hivyo hawajua kwamba kanisa Katoliki lipo kwenye mchakato wa kumpatia Utakatifu Baba wa Kanisa Nyerere kwa kazi nzuri aliyolifanyia kanisa Katoliki?Kwa michakato kama hii watu wakisema nchi hii inaendeshwa kwa mfumo kristo mutasema ni wachochezi?

Acha tuivunje hii misingi ya mfumo kristo aliyoiasisi Baba wa Kanisa Nyerere.Kama tunataka amani ya kweli lazima tuvunje hii misingi ya mfumo kristo tulioachiwa na Baba wa kanisa Nyerere kisha tujenge taifa la watanzania wote.

Tukikataa kujenga taifa la watanzia wote hivi sasa basi tutalijenga baada ya vita vya kidini kama walivyojenga Rwanda na Burundi baada ya vita vya kikabila.Dhambi ya ubaguzi aliyoiasisi Baba wa kanisa Nyerere ndio inayotumaliza

Karibuni wakereketwa wa kanisa lije kuwatoka povu kwa kunikejeli na kunadharua,vyovyote mutakavyosema mutambue sasa hivi waislamu tupo katika phase ya kujikomboa kutoka katika mfumo kandamizi mfumo kristo,tumechoka na huu mfumo lazima uvunje na kama hamutaki tutapigana vita vya kidini hapo.

Wewe ni product ya redio imani ambayo mfumo islamu uliianzisha maksudi ili wenye mfumo wanufaike kisiasa. Acheni kelele za kipuuzi. Kama Nyerere ndiye aliyeleta UDINI mwambieni "Shehe MKUU" mliyempigia debe 2010 arudishe shule zote za wakristo ili haki itendeke. Safu nzima ya viongozi wa juu dini moja, mabalozi dini moja na vyama mnapambana mjaze watu wa dini ya "mkubwa".
 
Wewe ndio wale munaofaidika na mfumo kristo na kuwaona wengine ni wajinga na hawajathidii,endelea kuamini hivyo alafu uone kama utafaidi hicho ulichokituma pale uliowadhumu watakapoamua kushika silaha.

Mbuyu ulianza kama mchicha,tusipochukua hatua mambo yatakuwa mambaya zaidi

Mfumo ISLAMU unatawala ngazi zote za uongozi, Zanzibar serikali nzima dini moja, bara wakristo wachache sana tena ni wa kuzugia. Ndiyo maana makanisa yanachomwa moto na viongozi wa makanisa wanauawa, _ mfumo ISLAMU unashangilia kwa siri na wazi wazi.
 
Wanajipendekeza kwa serikali hao hawana lolote.
 
Mkuu umesema kweli tupu. Watu tunashindwa kuangalia mambo kwa mapana. Hatujiulizi huko amboko hakuna ''mfumo Kristo'' kama Sudani na Somalia mbona hali ya Waislam ni mbaya zaidi?

Na Iran vipi ambako Uislam ni 100 pc inalingana na Ufilipino yenye Wakatoliki 95 pc
 
Labda munataka ushahidi kutoka mbinguni ulioyoyushwa na mungu wenu Yesu ndio mujue huu ni ushahidi,endelezeni mfumo kristo huku mukipiga ngonjera za kutaka Amani.

Ukweli Amani ya nchi hii tokea uhuru ilibebwa na waislmu kwa uvumilivu wao na kwa vile waislamu hivi sasa wamechoka kudhulumiwa hakutakuwa na Amani katika nchi hii mpaka tutakapo kubali kujenga taifa la watanzania walio sawa,mmezoea kuwafanya waislmu kuwa raia wa daraja la pili ndani nchi yao,sasa basi

Wapi na wapi Uislamu unaendana na uvumilivu?!.. Choko choko zote hapa nchini zinaanzishwa na waislamu. Bucha za nguruwe zilivunjwa na waislamu. Hivi pili pili msiyoila inawawashia nini?.. Nguruwe tule sisi, Jazba mpandwe nyie!.. Misikiti mingapi imechomwa na wakristo kama kweli ninyi ni wavumilivu?.. Makanisa mangapi mmeyachoma moto?. Lengo mnataka wakristo walipe kisasi. HAMJUI DINI YA KIKRISTO SI DINI YA VISASI!.. Hatuui wala kuchoma misikiti!... Hatumpiganii MUNGU WETU kwa nguvu za mwili. Sisi vita yetu ni vita ya ROHO, si kutupia watu majini wala kuua!..
 
Wewe ni product ya redio imani ambayo mfumo islamu uliianzisha maksudi ili wenye mfumo wanufaike kisiasa. Acheni kelele za kipuuzi. Kama Nyerere ndiye aliyeleta UDINI mwambieni "Shehe MKUU" mliyempigia debe 2010 arudishe shule zote za wakristo ili haki itendeke. Safu nzima ya viongozi wa juu dini moja, mabalozi dini moja na vyama mnapambana mjaze watu wa dini ya "mkubwa".

Kwa hiyo munataka kumuingiza Ikulu Askofu mkuu Slaa ndio munakuja na matamko ya ukilaza hivi,eti wahadhiri wa UDSM!!!!!!!!!!!!shame up on them
 
Back
Top Bottom