tetere
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 963
- 433
Huu ni wendawazimu mwingine wa wsomi wetu. They seldom give any solution to the problems facing the nation.
1. Uchambuzi wa tatizo la udini ni wa kiwango cha chini sana - sidhani kama umefikia viwango vya kuitwa kuwa umefanywa na wasomi wetu.
2. Mapendekezo ya ni nini kifanyike nayo ni ya jumla jumla (kama vile ni story ya kijiweni)
3. Mapendekezo hayajaweza kusema nani awajibike - au ni nani atekeleze (maana kusema serikali ni jumla tuu)
4. Wameandikia hili tamko bar, halionyeshi choxhote kipya.
1. Uchambuzi wa tatizo la udini ni wa kiwango cha chini sana - sidhani kama umefikia viwango vya kuitwa kuwa umefanywa na wasomi wetu.
2. Mapendekezo ya ni nini kifanyike nayo ni ya jumla jumla (kama vile ni story ya kijiweni)
3. Mapendekezo hayajaweza kusema nani awajibike - au ni nani atekeleze (maana kusema serikali ni jumla tuu)
4. Wameandikia hili tamko bar, halionyeshi choxhote kipya.