Wahadhiri UDSM Waongelea tatizo la Udini

Wahadhiri UDSM Waongelea tatizo la Udini

Tangu nazaliwa mpaka chuo kikuuu sijasoma shule ya private nimesoma shule ya msingi Tandika, nikafaulu nikaenda kibasila then Tambaza kisha UDSM. Ada za shuleni hazijawahi kuwa sababu ya mwanafunzi kufukuzwa shule au kusimamishwa masomo. Nimesota mbaya nasinda njaa natembea kwa miguu miguu nusu ya safari za kwenda shule. Niliishi kwa kuomba nauli toka kwa ndugu wazazi wengi walikuwa either hawana kipato au waliona anasa kumpa mtoto hela ya kula njiani kwa tasfisri yao ni kumuharibu mtoto. Kuwa na akili ni jambo moja ila kukabiliana na changamoto za maisha ni jambo jingine. Kuna madaktari wengi ambao wana akili sana kimasomo lakini hawana maisha ya maana ni walevi na familia zao zimewashinda. Katika umri wa ujana kuna vijana wengi wanapotea kimaisha na kushindwa shule kwa sababu ya kufuata makundi. Enzi sisi tunasoma ukiwa unpenda shule wanakuita John au Solopaga. Ujanja ulikuwa ni kuzamia meli kwenda Itali au Greece baada ya hapo ukaja ujenja wa kwenda South baada ya Mandela kuwa rais. Wengi waliacha sanaa shule kukimbilia bondeni waliiba TV kwao, deki... fujo tupu na leo wako mtaani wameongza idadi ya wasio na dira na wenye chuki kwa serikali na wenye nachoo... Jamii hii ya kitanzania tunapenda vitu vya ajabu sanaa tunachangisha harusi za mamilioni, tunapenda starehe, hakuna hata siku moja utasikia watu wanachangia elimu bila kuialumu kwanza serikali. Wewe ni lini ulirudi shule uliyosoma ukawapelekea vitabu!? Tukishatoka mashuleni hatutaki hata kusrudi na kuziendelezza shida tuupu, kisa mfumo kristo. Kuna mambo ambayo yanafaa kurekebishwa kama unavyosema lakini hayataleta hayo mabomba ya asali na maisha mazuri kama unavyofikiri. HUUU MFUMO TULIO NAO NI WA KIBEBARI NA TOFAUTI KATI YA WALIONACHO NA WASIO NACHO INAZIDI KUKUA. SASA TURUDI KWENYE UJAMAA ALIOUANZISHA NYERERE AMBAYE NI MKRISTO...!!! KUSEMA MUISLAM NI DARAJA LA PILI NI MASHARA KAKA NA NAOMBA UFUTE KAULI YAKO. MATAJIRI WAKUBWA NCHII HII NI WAISLAM, VIONGOZI WAKUU WA NCHI HII NI WAISLAM USILAM UMEKUWEPO NCHII HII MUDA MREFU ZAIDI YA UKRISTO. ELIMU DUNIA HAIJAWAHI KUWA MSINGI/NGUZO YA UISLAM, SO MWISHO WA SIKU LAZIMA TOFAUTI ZIONEKANE. na vilevile nchi hii ina makabila mengei na yanatofautiana sana katika tamaduni na misngi yao ya maendeleo. leo ukimpa mpemba, mchaga na mkinga mtaji wa laki mbili na ukampa mzaramu, mbondei au mmasai baada ya miaka mitano utawakuta wana viwango vya maisha tofauti sanaa. Hii kwa kiasi kikubwa inatokana na jisnsi wanavyotoa kipaumbele kwenye matumizi na utafutaji wa maendeleo. Na haina uhusiano wowote na mfumo kristo.

Nakubaliana na wewe katika baadhi ya mambo na napingana na wewe katika baadhi ya mambo.

Kwanza mfumo kristo upo na nimetoa mifano,mfano wa mwisho ni mwaka jana inikiwa kazini.

Pili,wanafunzi waliokosa ada wanafukuzwa shule,mimi nilikfukuzwa O-level nikakaa mwaka na nusu nyumbani,nikafukuzwa tena A-level semister ya mwisho hata mock sikufanya nikaenda kufanya mtihani wa Taifa,cheti changu cha form six nilikifuata baada ya kumaliza chuo kwasasbabu walikuwa wananidai ada.Labda tofauti wewe ulisoma shule za kutwa na mimi nilisoma shule za bweni ambazo huwezi kuishi bila ya kulipa ada.

Kuhusu NECTA pale kuna madudu mengi sana ya udini,mimi jina langu uwezi kulitambua kama ni muislamu au mkristo.Mke wangu form six mock alipata division one kuja NECTA wakampiga Divission zero.

Hao matajiri wa Kiislamu wakiwasaidia waislamu wanaitwa magaidi,wengi wa matajiri wa kiislamu wanaasili ya kiarabu,wakiwasaadia waislamu wanaambiwa magaidi,na hata wakitoa msaada wanatoa kwa siri sana.Hatajasahau kisha cha Abuu Hudhaifa na kupelekwa Gwantanamo eti ni Al-qaida?

Serikali ni mfumo sio raisi na hao watu watatu waliokuwapo hapo juu,>80% ya watendaji wa serikali na taasisi zake ni wa mfumo kristo,tupo maofisini tunafanya kazi acha kutudanganya,kawadanganye wanakijiji huko kama alivyofanya Baba wa Kanisa nyerere
 
Nini jukumu la serilkali katika maendelea ya Jamii hasa katika jamii iliyoacha nyuma kimaendeleo kwasababu za kihistoria?

Kuwa na raisi muislamu,makamu wa raisi muislamu na mkuu wa jeshi la polisi muislamu sio hoja ya msingi,utawala ni system(mfumo),kama zaidi ya 80% ya watendaji wa serikali na taasisi zake ni wa mfumo kristo,hao watu wa juu watafanya nini,wanaweza wakaangushwa tu na watendaji wa serikali na taasisi zake hili waonekane ni majuha tu,na hii hujuma inafanyakia kwenye maofisi mengi tu.Nilikuwa Intern Muhimbili mwaka 2010 niliona mawakala wa mfumo kristo walivyokuwa wanaihujumu serikali ili raisi aonekane ni dhaifu,hata mgomo wa wa madaktari pamoja na madai ya msingi waliyokuwa nayo,laikini nyuma ya pazia kuliuwa na hujuma za mfumo kristo.

Lakini nikubaliane na John Mnyika kwamba Raisi wetu ni dhaifu sana.

Daktari wee ni mdogo sanaa kiumri na kifikira. Fukuto la mgomo limeanza siku nyingi ndugu yangu akiwepo mwinyi ulikuwepo ila ulishika kasi zaidi wakati wa mkapa. wakati nipo chuo 2001 daktari intern alikuwa analipwa elfu 80,000/= tuu na undegraduate tulikuwa tunapewa 2500/= kwa siku hivyo kwa mwenzi pato letu lilkuwa 75,000/=. Matokeo ya ule mgomaa ya ule mgomo ndio yanakufanya leo upate hela ya kuweka kwenye moderm uje kukuaa hapa Jf na kuanza kurusha maneno ya mfumo kristo. Mgomo enzi za mkapa Waziri mkuu Sumaye alienda mwenyewe kuongea na madaktari ukumbi CPL na kupandisha mshahara mara mbili ilisaidia kupunguza hasira ila ila baadhi ya Madaktari walitaka uendelee. Kipindi hiyo Rais alikuwa Mkapa, Waziri Mkuu Sumaye, Waziri wa Afya Anna Abdallah naibu wake Dr Hussein Mwinyi. So kwa hoja yako walikuwa wanawagomea waislam. Unatumia sehemu ndogo sana ya ubongo wako kujenga hoja ya udini, maximize use of ur brain capacity, soma acha, uliza machief wako watakupa historia nzima ya case hii ndio uje na working diagnosis. Kama ndivyo hivi unavyofanya kazi Dr utakuwa unaua sanaa Watanzania, maana final diagnosis inategemea sana good history taking, au uwongo daktari. Sitakosea nikisema wawe ni sehemu ya tatizo
 
,vyovyote mutakavyosema mutambue sasa hivi waislamu tupo katika phase ya kujikomboa kutoka katika mfumo kandamizi mfumo kristo,tumechoka na huu mfumo lazima uvunje na kama hamutaki tutapigana vita vya kidini hapo.
mi nawashauri mpigane kwa kwenda shule na si kwa upanga kama mlivyoanza, nani hajui kuwa mlikuwa hamuithamini elimu dunia kisa imetoka mataifa ya magharibi? Sasa mtakuwaje idadi sawa kwenye mfumo ambao watumishi wake ni LAZIMA wawe wamepata elimu dunia? Nendeni shule, wapelekeni watoto wenu shule. Hapo mtakuwa mnapambana, lasivyo mtakuwa mnapigana vita hewa hapa JF.
 
Nakubaliana na wewe katika baadhi ya mambo na napingana na wewe katika baadhi ya mambo.

Kwanza mfumo kristo upo na nimetoa mifano,mfano wa mwisho ni mwaka jana inikiwa kazini.

Pili,wanafunzi waliokosa ada wanafukuzwa shule,mimi nilikfukuzwa O-level nikakaa mwaka na nusu nyumbani,nikafukuzwa tena A-level semister ya mwisho hata mock sikufanya nikaenda kufanya mtihani wa Taifa,cheti changu cha form six nilikifuata baada ya kumaliza chuo kwasasbabu walikuwa wananidai ada.Labda tofauti wewe ulisoma shule za kutwa na mimi nilisoma shule za bweni ambazo huwezi kuishi bila ya kulipa ada.

Kuhusu NECTA pale kuna madudu mengi sana ya udini,mimi jina langu uwezi kulitambua kama ni muislamu au mkristo.Mke wangu form six mock alipata division one kuja NECTA wakampiga Divission zero.

hapo kwenye mke wako hueleweki, hivi wewe kweli umesoma mpaka kiwango cha elimu ya juu? Mbona hoja zako ni za kitoto sana?
 
Nakubaliana na wewe katika baadhi ya mambo na napingana na wewe katika baadhi ya mambo.

Kwanza mfumo kristo upo na nimetoa mifano,mfano wa mwisho ni mwaka jana inikiwa kazini.

Pili,wanafunzi waliokosa ada wanafukuzwa shule,mimi nilikfukuzwa O-level nikakaa mwaka na nusu nyumbani,nikafukuzwa tena A-level semister ya mwisho hata mock sikufanya nikaenda kufanya mtihani wa Taifa,cheti changu cha form six nilikifuata baada ya kumaliza chuo kwasasbabu walikuwa wananidai ada.Labda tofauti wewe ulisoma shule za kutwa na mimi nilisoma shule za bweni ambazo huwezi kuishi bila ya kulipa ada.

Kuhusu NECTA pale kuna madudu mengi sana ya udini,mimi jina langu uwezi kulitambua kama ni muislamu au mkristo.Mke wangu form six mock alipata division one kuja NECTA wakampiga Divission zero.

Hao matajiri wa Kiislamu wakiwasaidia waislamu wanaitwa magaidi,wengi wa matajiri wa kiislamu wanaasili ya kiarabu,wakiwasaadia waislamu wanaambiwa magaidi,na hata wakitoa msaada wanatoa kwa siri sana.Hatajasahau kisha cha Abuu Hudhaifa na kupelekwa Gwantanamo eti ni Al-qaida?

Serikali ni mfumo sio raisi na hao watu watatu waliokuwapo hapo juu,>80% ya watendaji wa serikali na taasisi zake ni wa mfumo kristo,tupo maofisini tunafanya kazi acha kutudanganya,kawadanganye wanakijiji huko kama alivyofanya Baba wa Kanisa nyerere

Unacholalamikia wewe ni social networking. Wewe uko ofisi moja na wakristo wengi wakitoka kazini wanapita baa kunywa wewe huwezi jumuika nao coz hunywi. Huna utaratibu wa kuwatembelea coz unaogopa utalishwa nguruwe na unawaita makfiri. sasa mwisho wa siku wakikuona na wewe sio mwenzao watakuwa wanaokosea?! Nilipokuwa chuoni kuna vijana wengi walikuwa na hiyo tabia ya kibaguzi hasa walokole na waislam. Lakini baada ya kuishi pamoja na kujuana walibadilika na kujumuika katika shughuli mbalimbali za kijamii. Kwenye harusi tupo pamoja, tukienda baa anaagiza soda tuapiga stori, na hata sisi tulibadilika na hatukupenda kumkwaza. Ndio maana tumekuwa ni ndugu na hayo unayoeleza wewe ya mfumo kristo hayana nguvu kaka. Leo hii unatakuaka uuondoshe huo mfumo kirsto jee ushaanda vijana wa kutosha wa kiislam wa kuziba nafasi zitakaozoachwa na wakristoo. Zaidi ya hapo naona unaendekeza ubaguzi. Hizi leo hii ukipewa ukurugenzi na unatakiwa uajiri mtu mmoja na waliopita kwenye usaili ni dada yako wa tumbo moja ambaye alibadili dini na kuwa mkristo baada ya kuolewa na wa pili ni mwislamu ambaye humjui hata kabla lao ni dogo sana utamchagua nani?! Hivi nchi kuna mtu asiyekuwa na dini au kabila?! Mimi nadhani katiba iseme kabisa watu wote tusiwe na majina tuwe na namba tuu??!! au tuitane majina ya ukoo!! wee unaonaje?! au hili litaleta ukabila!??

HUUU MFUMO TULIO NAO NI WA KIBEBARI NA TOFAUTI KATI YA WALIONACHO NA WASIO NACHO INAZIDI KUKUA. SASA TURUDI KWENYE UJAMAA ALIOUANZISHA NYERERE AMBAYE NI MKRISTO...!!! KUSEMA MUISLAM NI DARAJA LA PILI NI MASKHARA KAKA NA NAOMBA UFUTE KAULI YAKO. MATAJIRI WAKUBWA NCHII HII NI WAISLAM, VIONGOZI WAKUU WA NCHI HII NI WAISLAM USILAM UMEKUWEPO NCHII HII MUDA MREFU ZAIDI YA UKRISTO. ELIMU DUNIA HAIJAWAHI KUWA MSINGI/NGUZO YA UISLAM, SO MWISHO WA SIKU LAZIMA TOFAUTI ZIONEKANE. na vilevile nchi hii ina makabila mengei na yanatofautiana sana katika tamaduni na misngi yao ya maendeleo. leo ukimpa mpemba, mchaga na mkinga mtaji wa laki mbili na ukampa mzaramu, mbondei au mmasai baada ya miaka mitano utawakuta wana viwango vya maisha tofauti sanaa. Hii kwa kiasi kikubwa inatokana na jisnsi wanavyotoa kipaumbele kwenye matumizi na utafutaji wa maendeleo. Na haina uhusiano wowote na mfumo kristo
 
Ni ujinga kuzani utazima madai ya watu kwa kutumia vitisho.Waambieni FBI na CIA wote wahamie hapa Tanzania kama muzani kwa kufanya hivyo ndio mutaleta Amani ya kweli.Heri kuishi siku moja ukafa kama shujaa kuliko kuishi miaka mia ukafa kama mzoga.

Kwa taarifa yenu kwaasa Gwantanamo hatuiogopi tena,ni bora kupelekwa Gwantanamo kuliko kuishi katika nchi yangu kama raia wa daraja la pili

hayo maneno tu kaka! I can't imagine wewe ni mtu wa namna gani na sijui hiyo chuki yako umeipandikiza kwa wanao kwa kiasi gani.
 
Daktari wee ni mdogo sanaa kiumri na kifikira. Fukuto la mgomo limeanza siku nyingi ndugu yangu akiwepo mwinyi ulikuwepo ila ulishika kasi zaidi wakati wa mkapa. wakati nipo chuo 2001 daktari intern alikuwa analipwa elfu 80,000/= tuu na undegraduate tulikuwa tunapewa 2500/= kwa siku hivyo kwa mwenzi pato letu lilkuwa 75,000/=. Matokeo ya ule mgomaa ya ule mgomo ndio yanakufanya leo upate hela ya kuweka kwenye moderm uje kukuaa hapa Jf na kuanza kurusha maneno ya mfumo kristo. Mgomo enzi za mkapa Waziri mkuu Sumaye alienda mwenyewe kuongea na madaktari ukumbi CPL na kupandisha mshahara mara mbili ilisaidia kupunguza hasira ila ila baadhi ya Madaktari walitaka uendelee. Kipindi hiyo Rais alikuwa Mkapa, Waziri Mkuu Sumaye, Waziri wa Afya Anna Abdallah naibu wake Dr Hussein Mwinyi. So kwa hoja yako walikuwa wanawagomea waislam. Unatumia sehemu ndogo sana ya ubongo wako kujenga hoja ya udini, maximize use of ur brain capacity, soma acha, uliza machief wako watakupa historia nzima ya case hii ndio uje na working diagnosis. Kama ndivyo hivi unavyofanya kazi Dr utakuwa unaua sanaa Watanzania, maana final diagnosis inategemea sana good history taking, au uwongo daktari. Sitakosea nikisema wawe ni sehemu ya tatizo

Daktari sipingi mgomo wa Madaktari,naunga mkono madai yote ya madaktari,lakini ukweli unabaki palepale ule mgomo
ulikuwa na agenda nyingine ya siri zaidi ya madai ya madaktari.
 
Unacholalamikia wewe ni social networking. Wewe uko ofisi moja na wakristo wengi wakitoka kazini wanapita baa kunywa wewe huwezi jumuika nao coz hunywi. Huna utaratibu wa kuwatembelea coz unaogopa utalishwa nguruwe na unawaita makfiri. sasa mwisho wa siku wakikuona na wewe sio mwenzao watakuwa wanaokosea?! Nilipokuwa chuoni kuna vijana wengi walikuwa na hiyo tabia ya kibaguzi hasa walokole na waislam. Lakini baada ya kuishi pamoja na kujuana walibadilika na kujumuika katika shughuli mbalimbali za kijamii. Kwenye harusi tupo pamoja, tukienda baa anaagiza soda tuapiga stori, na hata sisi tulibadilika na hatukupenda kumkwaza. Ndio maana tumekuwa ni ndugu na hayo unayoeleza wewe ya mfumo kristo hayana nguvu kaka. Leo hii unatakuaka uuondoshe huo mfumo kirsto jee ushaanda vijana wa kutosha wa kiislam wa kuziba nafasi zitakaozoachwa na wakristoo. Zaidi ya hapo naona unaendekeza ubaguzi. Hizi leo hii ukipewa ukurugenzi na unatakiwa uajiri mtu mmoja na waliopita kwenye usaili ni dada yako wa tumbo moja ambaye alibadili dini na kuwa mkristo baada ya kuolewa na wa pili ni mwislamu ambaye humjui hata kabla lao ni dogo sana utamchagua nani?! Hivi nchi kuna mtu asiyekuwa na dini au kabila?! Mimi nadhani katiba iseme kabisa watu wote tusiwe na majina tuwe na namba tuu??!! au tuitane majina ya ukoo!! wee unaonaje?! au hili litaleta ukabila!??

HUUU MFUMO TULIO NAO NI WA KIBEBARI NA TOFAUTI KATI YA WALIONACHO NA WASIO NACHO INAZIDI KUKUA. SASA TURUDI KWENYE UJAMAA ALIOUANZISHA NYERERE AMBAYE NI MKRISTO...!!! KUSEMA MUISLAM NI DARAJA LA PILI NI MASKHARA KAKA NA NAOMBA UFUTE KAULI YAKO. MATAJIRI WAKUBWA NCHII HII NI WAISLAM, VIONGOZI WAKUU WA NCHI HII NI WAISLAM USILAM UMEKUWEPO NCHII HII MUDA MREFU ZAIDI YA UKRISTO. ELIMU DUNIA HAIJAWAHI KUWA MSINGI/NGUZO YA UISLAM, SO MWISHO WA SIKU LAZIMA TOFAUTI ZIONEKANE. na vilevile nchi hii ina makabila mengei na yanatofautiana sana katika tamaduni na misngi yao ya maendeleo. leo ukimpa mpemba, mchaga na mkinga mtaji wa laki mbili na ukampa mzaramu, mbondei au mmasai baada ya miaka mitano utawakuta wana viwango vya maisha tofauti sanaa. Hii kwa kiasi kikubwa inatokana na jisnsi wanavyotoa kipaumbele kwenye matumizi na utafutaji wa maendeleo. Na haina uhusiano wowote na mfumo kristo

Daktari acha kupotosha nilichoandika.

Nimesema wizara ya afya ilileta ratiba ya mitihani ya taifa ya clinizal Officer,kipindi kile ilikuwa ni wakati wa sikukuu ya IDD,ratiba ilicover mpaka siku za sikukuu,mimi nikamuuliza mkuu wa chuo nani kaandaa ratiba hii ambayo haikuzingatia Imani za wengine.Yeye akajibu ni wizara,akaendelea sikukuu ya IDD ni kitu kidogo sana,by the way wanafunzi hawataki sikukuu wanataka kumaliza mitihani na kupewa vyeti vyao,acha kuleta sokomoko hapa.Nikamwambia kama wanafunzi hawataki sikukuu basi mimi mwalimu wao nahitaji sikukuu hivyo waambie watu wa wizara department yangu mtihani waje kusimamia wao.Nikamwambia mbona ikifika krismas na Pasaka vyuo vinafungwa?akinijibu ni utaratibu tu.

Ilipofika krismas,tukijandaa kufunga chuo,kwa bahati mbaya wanafunzi wa mwaka wa kwanza walichelewa kuripoti,niktoa hoja kwa kuwa wanfunzi wa mwaka wa kwanza wamechelewa kufika wao wasifunge chuo,washeherekee sikukuu kisha tuendelee na masomo nami nikajitolea kufundisha wakati wa likizo.Mkuu wa chuo aliyesema hakuna umuhimu wa wanafunzi kusheherekea IDD akaibuka na kusema hapa haiwezekani vijana wanhitaji kwenda kushehrekea sikukuu na wazazi wao,unataka kuniletea sokomoko kutoka kwa wanafunzi.

Yoyote mwenye akili atakuwa amegundua mfumo kristo hapo unafanya kazi yake
 
hayo maneno tu kaka! I can't imagine wewe ni mtu wa namna gani na sijui hiyo chuki yako umeipandikiza kwa wanao kwa kiasi gani.

Sina chuki na mtu yoyote,chuki yangu ni mfumo kristo ambao unamfanya muislamu kuwa raia wa daraja la pili katika nchi yake.

Ukiwauliza wanafunzi wangu ambao wengi ni wakristo watakuambia Am the best tutor,tena wengine uwa wanafukuzwa na matutor wakristo wenzao wanakimbilia kwangu wanawasaidia on best level bila kujali dini yake.

Nikisikia mwanafunzi anataka kufukuzwa kwa kukosa ada,ofisini uwa kunawaka moto kwa kupinga mwanafunzi kufukuzwa,bila ya kujali dini yake.

Tatizo letu sisi si raia wa kawaida akina kabwela kama sisi tunaoishi nao kwenye nyumba za kupanga na kuombana chumvi na moto,tatizo letu ni watunga sera na wasimamizi wa mfumo kristo pamoja na mawakala wao ambao wapo maofisini.

Tupiga story tu vijana wenzetu wa kikristo,tunapeana lift na kuazimana magari,hakuna tatizo,ila baa mimi sikanyagi na wao wenyewe wananijua,sherehe zisizo na maadili mimi siendi
 
Nimesema wizara ya afya ilileta ratiba ya mitihani ya taifa ya clinizal Officer,kipindi kile ilikuwa ni wakati wa sikukuu ya IDD,ratiba ilicover mpaka siku za sikukuu,mimi nikamuuliza mkuu wa chuo nani kaandaa ratiba hii ambayo haikuzingatia Imani za wengine.Yeye akajibu ni wizara,akaendelea sikukuu ya IDD ni kitu kidogo sana,by the way wanafunzi hawataki sikukuu wanataka kumaliza mitihani na kupewa vyeti vyao,acha kuleta sokomoko hapa.Nikamwambia kama wanafunzi hawataki sikukuu basi mimi mwalimu wao nahitaji sikukuu hivyo waambie watu wa wizara department yangu mtihani waje kusimamia wao.Nikamwambia mbona ikifika krismas na Pasaka vyuo vinafungwa?akinijibu ni utaratibu tu.

Ilipofika krismas,tukijandaa kufunga chuo,kwa bahati mbaya wanafunzi wa mwaka wa kwanza walichelewa kuripoti,niktoa hoja kwa kuwa wanfunzi wa mwaka wa kwanza wamechelewa kufika wao wasifunge chuo,washeherekee sikukuu kisha tuendelee na masomo nami nikajitolea kufundisha wakati wa likizo.Mkuu wa chuo aliyesema hakuna umuhimu wa wanafunzi kusheherekea IDD akaibuka na kusema hapa haiwezekani vijana wanhitaji kwenda kushehrekea sikukuu na wazazi wao,unataka kuniletea sokomoko kutoka kwa wanafunzi.

Yoyote mwenye akili atakuwa amegundua mfumo kristo hapo unafanya kazi yake

kwa hapa naungana na wewe kwa asilimia 100, japo maandishi yako mengine nadhani unakuwa na hasira kiasi kwamba unachoandika utadhani ni layman kaandika, 1. Unadhani kifanyike kitu gani kuufuta huo unaodai ni mfumokristo?
2. Hiyo vita ya kidini ambayo umesema ndiyo italeta amani tanzania, je, unamaanisha kweli au ni utani tu wa hapa JF?
 
Daktari sipingi mgomo wa Madaktari,naunga mkono madai yote ya madaktari,lakini ukweli unabaki palepale ule mgomo
ulikuwa na agenda nyingine ya siri zaidi ya madai ya madaktari.

Naona muda niliopoteza kwenye computer ku-comments hoja zako haukuwa bure. Kusema, ""Daktari sipingi mgomo wa Madaktari,naunga mkono madai yote ya madaktari,lakini ukweli unabaki palepale ule mgomo
ulikuwa na agenda nyingine ya siri zaidi ya madai ya madaktari" ni sawa sawa na kukubali vita at the same time unapinga mauaji. Hongera kaka kwa kukomaa. Mwisho kwa kuweka kumbukumbu sawa mimi sio daktari ila naijua context nzima ya mgomo. Zaidi ya hapo need to know basis only. Jaribu kusoma phyolosophy itakusaidia, udaktari mwanzo ila sio mwisho wa kujua kila kituu.
 
Kama tatizo ni mfumokristo, unadhani tutauvunja vipi huu mfumo?

Kwanza kabisa serikali ijenge shule za maana na kupeleka walimu wa kutosha pamoja na vifaa vya kufundishia katika maeneo yenye waislamu wengi.

Pili serikali iboreshe miundombinu kwenye haya maeneo yenye waislamu wengi ili wafanyakazi wanaopelekwa huko wasikimbie kwasababu ya maisha magumu.

Tatu,katika taasisi muhimu zote za serikali na serikali kuu yenyewe kuwa na uwiano sawa wa watendaji ili kuavoid bias kama ile ya kuandaa ratiba ya mitihani ya taifa ya Clinical bila ya kuzingatia sikukuu ya idd,tatizo pale mafunzo wizarani wapo wakristo watupu,nani atakumbuka IDD.

Nne,wakristo wakubali kwamba waislamu wameachwa nyuma kielimu kwasababu za kihistoria,hivyo hivi sasa wan haki ya kusaidia ila at least waweze kulingana na wao,badala ya kutoa maneno ya kejeli,dharau na jeuri kwamba waislamu vilaza,watu wa madrasa,haya maneno hayatatusaidia na badala yake yatatuletea vita.

Tano,Kuvumiliana katika dini baina ya waislamu na wakristo,wewe kama unaamini yesu ni mungu mimi naamini yesu sio mungu,wala sikukashifu,kama unaona ninakashifu imani yako kwa kusema kwangu yesu sio mungu nawe unaikashifu Imani yangu kwa kusema kwako yesu ni mungu,tuvumiliane katika Imani zetu na matendo yetu ya kiimani.

Sita,viongozi wa dini watumie hekima,busara na hoja katika kuwalingania watu katika dini zao badala ya kutumia matusi,kejeli na dharau kuwalingania watu katika dini zao.

Saba,serikali ijitoae kuchangia pesa au wafanyakazi katika taasisi zote za kidini,taasisi za kidini zijeendeshe zenyewe kwa asilimia mia moja.

Nane,serikali hirudishe mali za taasisi zote za kidini ilizozitaifasha,na ijenge shule na mahospitali yake.

Tisa,serikali hisiwalamizimishe waislamu kuwa BAKWATA ndio chombo chao ch maamuzi,ikiwezekana BAKWATA ivunje kabisa na kuundwa chombo cha kitaifa kwa kuwahusisha waislamu wate.

Kumi,mali zote za waislmu zilizouzwa na BAKWATA,serikali hizirudishe kwa waislamu wenyewe,ikiwemo kiwanjwa cha markazi palipotakwa kujengwa chuo kiukuu cha kiislamu.

Kumi na moja,watu wote wenye vyeo vya Shekhe,Ustadhi,maalimu,padri,askofu,mchungaji,poroko,wasiwe viongozo wa serikali na taasisi zake,ikiwezekana wasifanye kazi kabisa katlka serikali na taasisi zake,waendeshe taasisi zao za kidini.

Nawasilisha
 
kwa hapa naungana na wewe kwa asilimia 100, japo maandishi yako mengine nadhani unakuwa na hasira kiasi kwamba unachoandika utadhani ni layman kaandika, 1. Unadhani kifanyike kitu gani kuufuta huo unaodai ni mfumokristo?
2. Hiyo vita ya kidini ambayo umesema ndiyo italeta amani tanzania, je, unamaanisha kweli au ni utani tu wa hapa JF?

Kuhusu nini kifanyike kuufuta mfumo kristo nimejibu hapo juu.

Tusipoufuta mfumo kristo lazima tutapigana vita vya kidini,dalili ya mvua ni mawingu,mbuyu ulianza kama mchicha vile.Serikali iamke sasa na kuchukua hatua,sio kuendelea kuwakejeli akina Ilunga na Ponda,huu ni mchezo hatari,hao watu wanawafuasi wengi kuliko BAKWATA,tena wafuasi wao ni wasomi,wafuasi wa BAKWATA ni wanakijiji na waislamu waliofadhiliwa na mfumo kristo
 
kuna mtu fulani aliwahi kusema....kama huwezi kuwashawishi....basi wavuruge......
 
Kwanza kabisa serikali ijenge shule za maana na kupeleka walimu wa kutosha pamoja na vifaa vya kufundishia katika maeneo yenye waislamu wengi.
hii inamaanisha umefanya utafiti na kugundua sehemu zenye waislam wengi hazina skuli za kutosha, je, ulitafiti kwanini maeneo hayo hayana skuli za kutosha? (kipi kilisababisha hayo maeneo yakose skuli?)
Pili serikali iboreshe miundombinu kwenye haya maeneo yenye waislamu wengi ili wafanyakazi wanaopelekwa huko wasikimbie kwasababu ya maisha magumu.

Tatu,katika taasisi muhimu zote za serikali na serikali kuu yenyewe kuwa na uwiano sawa wa watendaji ili kuavoid bias kama ile ya kuandaa ratiba ya mitihani ya taifa ya Clinical bila ya kuzingatia sikukuu ya idd,tatizo pale mafunzo wizarani wapo wakristo watupu,nani atakumbuka IDD.
hapo kwenye uwiano, ni pagumu zaidi ya ufikiriavyo sababu mwisho wake tutaleta udini wa pili (udini wa kwanza ni kipindi hiki ), just imagine zinatakiwa nafasi 8 za watumishi na ktk hao nane mmewafanyia usaili watu 100 na ktk hao 100 hamsini ni wakristo and the rest are muslims. Kama wakristo wawili tu kati ya 50 wamefanya vizuri na waislam zaidi ya 8 wamefanya vizuri zaidi ya wale wakristo wawili,je, mtaenda kuwachukua wakristo wengine wawili ktk kundi la waliofanya vibaya usaili na kuwapunguza waislam wanne waliofanya vizuri ili kupata idadi ya waislam wa4 na wakristo wa4 ili kubalance?
Nne,wakristo wakubali kwamba waislamu wameachwa nyuma kielimu kwasababu za kihistoria,hivyo hivi sasa wan haki ya kusaidia ila at least waweze kulingana na wao,badala ya kutoa maneno ya kejeli,dharau na jeuri kwamba waislamu vilaza,watu wa madrasa,haya maneno hayatatusaidia na badala yake yatatuletea vita.
hapa pia nakubaliana nawewe ila kuhusu kuitwa vilaza, kumbuka kwenye msafara wa mamba kenge wamo,kuna wakristo jina tu, japo haya matusi dini zote mbili haziepuki dhambi hii,kama unataka kuhakiki fungua mitandao ya kizanzibar jinsi wakristo wanavyotukanwa
Tano,Kuvumiliana katika dini baina ya waislamu na wakristo,wewe kama unaamini yesu ni mungu mimi naamini yesu sio mungu,wala sikukashifu,kama unaona ninakashifu imani yako kwa kusema kwangu yesu sio mungu nawe unaikashifu Imani yangu kwa kusema kwako yesu ni mungu,tuvumiliane katika Imani zetu na matendo yetu ya kiimani.
hapo nitaongea mtazamo wangu,mimi ukiniambia yesu sio Mungu sipungukiwi kitu,hata ukisema hakuwahi tokea mtu hapa duniani aitwaye Yesu napo haitani-affect sababu nafuata biblia inanifundisha nini, ila akiongea mkristo mwenzangu hayo maneno nitakaa naye ili tuelimishane (sio nimuelimishe, bali tuelimishane)
Sita,viongozi wa dini watumie hekima,busara na hoja katika kuwalingania watu katika dini zao badala ya kutumia matusi,kejeli na dharau kuwalingania watu katika dini zao.
tuko pamoja ktk hili
Saba,serikali ijitoae kuchangia pesa au wafanyakazi katika taasisi zote za kidini,taasisi za kidini zijeendeshe zenyewe kwa asilimia mia moja.
nataka ingekuwa hivi, mikataba ya serikali na taasisi za kidini iwe WAZI isifanywe siri
Nane,serikali hirudishe mali za taasisi zote za kidini ilizozitaifasha,na ijenge shule na mahospitali yake.
sawa kabisa
Tisa,serikali hisiwalamizimishe waislamu kuwa BAKWATA ndio chombo chao ch maamuzi,ikiwezekana BAKWATA ivunje kabisa na kuundwa chombo cha kitaifa kwa kuwahusisha waislamu wate.
haya ni maajabu kwangu kwa serikali kuwaundia waislam chombo huku ikisema haina dini
Kumi,mali zote za waislmu zilizouzwa na BAKWATA,serikali hizirudishe kwa waislamu wenyewe,ikiwemo kiwanjwa cha markazi palipotakwa kujengwa chuo kiukuu cha kiislamu.

Kumi na moja,watu wote wenye vyeo vya Shekhe,Ustadhi,maalimu,padri,askofu,mchungaji,poroko,wasiwe viongozo wa serikali na taasisi zake,ikiwezekana wasifanye kazi kabisa katlka serikali na taasisi zake,waendeshe taasisi zao za kidini.
hapo katiba itakuwa inavunjwa,kila mtu ana uhuru wa kuwa muumini wa dini aitakayo, je, ikiwakataza hao watu itawalipa? Labda katiba iseme hvyo ila ni vigumu sana
Nawasilisha[/QUOTE]

asante!
 
Usipofanya kazi na kusomesha wanao kwa bidii na ukaendela kukaa na kupiga porojo eti ''unauvunja mfumo Kristo ili tuwe sawa'' una hasara kubwa. Utaendelea kuwa fukara wewe na vizazi vyako. Hii ni fact ambayo hata utoe povu na udenda namna gani hutaweza kuigeuza.

kwahiyo wewe umesoma sana sio?.
Hebu tuwekee maendeleo yako hapa tufanye analysis.
 
tatizo ni kwamba, vikundi vyote vinavyo laani udini hapa nchini, havija kuwa tayari kumtaja/kuwataja vinara waliopandikiza udini hapa nchini. Tangu 2010 wapo watu wametumia karata ya udini ili kuingia madarakani. Na ili kujilinda na zimwi la udini, wameendelea kutumia agenda hiyo hiyo kuhubiri kwenye majukwaa ya kisiasa ili kujengea watu wengine taswira ya udini. Sasa wameona mbegu waliyo ipanda wakati wanatafuta uongozi inaanza kutoa mavuno, wanatufanyia tamthilia ya kwamba nao ni miongoni mwetu katika masikitiko ya ubaguzi wa kidini.

Hivi kweli kama udini ungekuwa umeanzishwa na watu ambao si viongozi, mustakabali wa watu hawa ungekuwa je?? Kila kukicha wapo watu waliopewa dhamana kuongoza nchi hii ambao wamekuwa waki u-hubiri udini na hasa kwenye hotuba zao ama za kisiasa au za maendeleo ya wananchi.

Na bahati mbaya sana wapo baadhi ya watu ambao pia si viongozi wa wananchi nao wameamua kuuhubiri udini, huku viongozi wanao jifanya kuukemea udini waki waangalia na kuwasilkiliza kila siku (pia naweza kusema wakiwaunga mkono). Tumeshuhudia radio, nakala za cd, magazeti, vijarida, n.k. Vyote hivi vikihubiri udini bila hatua stahiki kuchukuliwa dhidi ya vyombo hivi.

Kwenye baadhi ya nyumba za ibada, kumekuwepo na mahubiri ya ubaguzi wa kidini bila kificho na hakuna hatua zilizo chukuliwa dhidi ya wahusika.

Kama kweli tunataka kuondokana na huu mzizi wa fitina ya udini ifike mahali taasisi zinazo toa matamko zisiishie kuuzungumzia udini tu, bali pia ziwataje waasisi wa dhambi hii ya udini.

Inajulikana wazi kwamba, kama udini ungekuwa umeasisiwa na mtu/watu ambao hawana dhamana ya uongozi, watu hao wangekuwa wanaishi mahali pengine ambapo sio uraiani (gerezani).

tatizo walio madarakani hawataki kabisa kuwashughulikia wahusika, sijui wanawaogopa kwa sababu waliwatumia kisiasa.
 
Kwa maelezo yako basi pendekezo la nini kifanyike namba 4 lirekebishwe na kuongeza Serkali iwachunguze na viongozi wa Serkali ambao wanachochea udini waziwazi au kwa kificho - na au hata kwa kutofanya chochote kuzuia gonjwa hili. tatizo ni nani katika Serkali atafanya hii kazi?

Kwa serilikali hii kujichukulia hatua???!!!! Labda ingekuwa ni Tanga-TANU lakini sio Tanza-CCM!!!!
 
Sasa unabishana nini mdau?? Kilichosemwa kipo Tanzania, mi sijaona mahali wametaja ila nakubaliana na tamko kwani wameainisha hali halisi ya Tanzania. Unanishangaza kwa kung'ang'ania kutaka kuona majina, sasa sijui kama unawabishia tamko lao au unabisha kwamba Tanzania hakuna chembe za udini zinazotaka kuligawa Taifa letu.!!!

Wakati mwingine lazima tuwe na fikra pevu tunapojaribu kujibu hoja za watu. Kujua kusoma na kuandika isiwe tatizo ......

Tamko mbona nishalisemea, kwamba na mimi nilishasema maneno kama haya, soma mtiririko.

Nimeomba kuonyeshwa ni wapi inapoonyeshwa kwamba hili tamko limetoka UDASA, na si kutoka kwa muhadhiri mmoja, au wawili, au kwa Kiranga yeyote aliye log in JF kwa jina bandia na kuanzisha uvumi kwamba UDASA wametoa tamko hili, bila ya UDASA kuwa na habari.

UDASA si ni chombo cha wasomi kile?

Iweje watoe tamko lisilo sahihi, jina wala ofisi?

Au ndio kila kitu harijojo, kuanzia wanafunzi wa shule za msingi mpaka ma intellectuals wa UDASA kila sehemu bora liende tu?

Kama mtu anairipoti hii barua, kuna sehemu anatakiwa kusema "katika barua iliyosainiwa na ...." au "katika barua ya tamko lililotoka...."

Sasa kwa tamko kama hilo hapo juu lisilo na sahihi, jina, ofisi wala anuani, mtu utasemaje barua/ tamko limetoka UDASA?

Mbona tunapelekana pelekana tu?

Hata huyo Salva Rweyemamu kilaza asiyejua kuandika communique ya sentensi mbili bila kuchapia sarufi na spelling pamoja anajua kuweka angalau jina la ofisi commuques zinapotoka, itakuwa wahadhiri?
 
Back
Top Bottom