Wagonjwa wadaiwa kusafirishwa kwa Machela za Miti Njombe

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,291
9,925
Katika kijiji cha Kitewele Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe hali sio hali, kwani hakuna huduma ya za afya karibu, Wananchi wanalazimika kutembea zaidi ya km 30 kufuata huduma katika kituo cha afya.

Pamoja na kukosekana huduma ya kitutua cha afya barabara katika kijiji hicho hazipitiki iwe kwa gari wala pikipiki.

IMG_20211003_103824.jpg
 
Katika kijiji cha Kitewele Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe hali sio hali, kwani hakuna huduma ya za afya karibu, Wananchi wanalazimika kutembea zaidi ya km 30 kufuata huduma katika kituo cha afya.

Pamoja na kukosekana huduma ya kitutua cha afya barabara katika kijiji hicho hazipitiki iwe kwa gari wala pikipiki.

View attachment 1961182
Elimu ianze kwanza kwa kuzui uanzishwaji wa vijiji holela holela madhara yake ndio haya , tanzania inabidi tufike mahali tuanze kupanga wananchi

Sio mtu anaacha mji anapandisha milimani juu huko mbali kabisa halafu akifika huko anaanza kulalamika hafikishiwi huduma za kijamii ,hili nalo ni tatizo kubwa sana tanzania.
 
Inasikitisha sana 21 century Tanzania bado kuna mambo haya,huwa najiuliza hata huyo mbunge wa sehemu husika kwanini asitoe kitu kama sadaka kutoka mshahara wake na kwenye posho yake kama mill30 akanunua hiace used akawapa kama msaada?

Sasa kama km 30 mnampeleka mgonjwa mahututi tena mwendo wa miguu atafika kweli?ni kusema wapo wenye magonjwa yanayotibika wanakufa kutokana na hawawaishwi kupata matibabu.
 
Katika kijiji cha Kitewele Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe hali sio hali, kwani hakuna huduma ya za afya karibu, Wananchi wanalazimika kutembea zaidi ya km 30 kufuata huduma katika kituo cha afya.

Pamoja na kukosekana huduma ya kitutua cha afya barabara katika kijiji hicho hazipitiki iwe kwa gari wala pikipiki.

View attachment 1961182
😅😅😅this is barbaric
 
Elimu ianze kwanza kwa kuzui uanzishwaji wa vijiji holela holela madhara yake ndio haya , tanzania inabidi tufike mahali tuanze kupanga wananchi

Sio mtu anaacha mji anapandisha milimani juu huko mbali kabisa halafu akifika huko anaanza kulalamika hafikishiwi huduma za kijamii ,hili nalo ni tatizo kubwa sana tanzania.
Kupanga machinfa tu mjini imeshindikana. Hao ni wapiga kura wangu😅😅
 
Katika kijiji cha Kitewele Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe hali sio hali, kwani hakuna huduma ya za afya karibu, Wananchi wanalazimika kutembea zaidi ya km 30 kufuata huduma katika kituo cha afya.

Pamoja na kukosekana huduma ya kitutua cha afya barabara katika kijiji hicho hazipitiki iwe kwa gari wala pikipiki.

View attachment 1961182
Hiyo ni baada ya miaka 60 ya uhuru bado watu wanasafirishwa kwa njia zilizo tumika enzi za zana za mawe.
 
Elimu ianze kwanza kwa kuzui uanzishwaji wa vijiji holela holela madhara yake ndio haya , tanzania inabidi tufike mahali tuanze kupanga wananchi

Sio mtu anaacha mji anapandisha milimani juu huko mbali kabisa halafu akifika huko anaanza kulalamika hafikishiwi huduma za kijamii ,hili nalo ni tatizo kubwa sana tanzania.
Ficha ujinga wako,mbona siku ya uchaguzi tume huwa inafika huko.
 
Katika kijiji cha Kitewele Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe hali sio hali, kwani hakuna huduma ya za afya karibu, Wananchi wanalazimika kutembea zaidi ya km 30 kufuata huduma katika kituo cha afya.

Pamoja na kukosekana huduma ya kitutua cha afya barabara katika kijiji hicho hazipitiki iwe kwa gari wala pikipiki.

View attachment 1961182
Akili ndog unazungumzia central au local government!?
 
Miaka 60 baada ya uhuru maisha bado yako hivi. Ni kama vile tulifanya makosa kung'ang'ania kujitawala wakati tulikuwa hatuko tayari kujitawala.
 
Hapo kuna watu wako ofisini, wanatafuna mshahara na marupurupu.
Namaanisha kuna viongozi wa mkoa, wilaya, tarafa, kata hadi kijiji.
 
Mbunge wao anaitwa nani. Anashindwa kuwasaidia wananchi wake waliomchagua.

Chama cha Mbunge kinashindwa kusaidia. Mapato tuliyokusanya kwa mwezi yana kazi na faida gani ikiwa wananchi wanaangaika.

Viongozi wao wanapanda ndege wakati wananchi wanashida
 
Nchi sijui watu wana Iq ndogo au shida ni nini.

Si ajabu kukuta jeshi la polisi linatumia maguvu mengi kwenye eneo sililohitaji nguvu
 
Back
Top Bottom