Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
Serikali yenyewe haiwezi kupanga vitu vyake, sembuse hao wananchi.Elimu ianze kwanza kwa kuzui uanzishwaji wa vijiji holela holela madhara yake ndio haya , tanzania inabidi tufike mahali tuanze kupanga wananchi
Sio mtu anaacha mji anapandisha milimani juu huko mbali kabisa halafu akifika huko anaanza kulalamika hafikishiwi huduma za kijamii ,hili nalo ni tatizo kubwa sana tanzania.