Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,880
- 7,021
Wamekuja hapo home kwa ishu gani iliyowaleta? Ni kabila gani hao wasio na haya?
itakuwa "Wasukuma" tu haoWamekuja hapo home kwa ishu gani iliyowaleta? Ni kabila gani hao wasio na haya?
itakuwa "Wasukuma" tu haoHaya maisha ku-enjoy ni kuwa na kazi unayoifanya kwa bidii na inakuingizia kipato kizuri cha kukuwezesha kufanya mambo yako mengine mengi. Kuangalia Tv siku nzima ndio inawafundisha kuwa wachapa kazi au inawadumaza?Sio kutawaliwa mi nilitaka wewe free kuenjoy bila kuchupa mipaka
Wageni wako ni watoto kwanza, pili wamepata malezi ya hovyo. Simamia wanao wasiangukie huko, maana hata hamjaoana, sijui hiyo ni desturi ya wapi?Nawasalimu!
Naomba nieleweke nyumba inayotembelewa ndo nyumba yenye baraka. Hivyo nisitafsiriwe kama mchoyo. Ipo hivi nimetembelewa na shemeji zangu wawili mmoja 15 na mwengine 17 hivi,japo nimeshangaa kwetu sio rahisi kutembelewa na shemeji kama dada yao hujamuoa kindoa,sasa kama tulivyo wengi maisha yetu mi naishi kwenye nyumba yenye vyumba vitatu ,kimoja ni stoo ya mpunga na mahindi nilihofia lock down,kwa hiyo natumia vyumba viwili kimoja w atoto na kilichobaki sisi.
Sasa kwa heshima nimeona niwahamishie w atoto sebuleni wao walale kwenye kitanda cha w atoto.
Mambo yaliyo nishangaza kwa ndugu hawa;kuangalia sinema zetu kutwa nzima hadi taarifa ya habari ya saa mbili usiku mpaka niwaombe zaidi ya mara moja ndo waniruhusu, hakuna anaenisalimia asubuhi tunatazama wakati mwingine Mimi huwasalimia,ajabu mmoja alimanusura akeshe kwenye tv bila kujali makelele pale Maana w atoto wamelala kwenye Kochi na kiufupi ni nyumba nzima , sasa kali ya mwaka dogo kagoma kushuka kutoka kiti (office chair)tulikuwa tukula nje kwenye kivuli ,nilipo jaribu kumwambia vipi dogo utakulaje uko juu hivyo kajibu "sili juu nakula chakula". Nikakaa kimyaa. Dogo kasogeza kiti juu ya jamvi. tukala hivyo hivyo.
Jamani sijui wengine mmewahi kuyapitia haya, kwa mbali natamani waondoke hata kesho. Adabu yao ipo chini sijui wamelelewaje?.N.a. dada yao anaangalia tu.
Nawasilisha
(copy &paste).
Sio copy n paste. Huyu yamemtokea mwenyewe. Ameoa kutoka familia duni isiyokua na malezi Bora. Yeye kaangalia sura na makalio. Acha ale mavi.Kama copy na paste usituchoshe.
Mimi hiyo Copy & paste ndio imenimaliza kabisa 😃😃😃😃😃Nawasalimu!
Naomba nieleweke nyumba inayotembelewa ndo nyumba yenye baraka. Hivyo nisitafsiriwe kama mchoyo. Ipo hivi nimetembelewa na shemeji zangu wawili mmoja 15 na mwengine 17 hivi,japo nimeshangaa kwetu sio rahisi kutembelewa na shemeji kama dada yao hujamuoa kindoa,sasa kama tulivyo wengi maisha yetu mi naishi kwenye nyumba yenye vyumba vitatu ,kimoja ni stoo ya mpunga na mahindi nilihofia lock down,kwa hiyo natumia vyumba viwili kimoja w atoto na kilichobaki sisi.
Sasa kwa heshima nimeona niwahamishie w atoto sebuleni wao walale kwenye kitanda cha w atoto.
Mambo yaliyo nishangaza kwa ndugu hawa;kuangalia sinema zetu kutwa nzima hadi taarifa ya habari ya saa mbili usiku mpaka niwaombe zaidi ya mara moja ndo waniruhusu, hakuna anaenisalimia asubuhi tunatazama wakati mwingine Mimi huwasalimia,ajabu mmoja alimanusura akeshe kwenye tv bila kujali makelele pale Maana w atoto wamelala kwenye Kochi na kiufupi ni nyumba nzima , sasa kali ya mwaka dogo kagoma kushuka kutoka kiti (office chair)tulikuwa tukula nje kwenye kivuli ,nilipo jaribu kumwambia vipi dogo utakulaje uko juu hivyo kajibu "sili juu nakula chakula". Nikakaa kimyaa. Dogo kasogeza kiti juu ya jamvi. tukala hivyo hivyo.
Jamani sijui wengine mmewahi kuyapitia haya, kwa mbali natamani waondoke hata kesho. Adabu yao ipo chini sijui wamelelewaje?.N.a. dada yao anaangalia tu.
Nawasilisha
(copy &paste).
Kama watakaa for one week vumila tuuu....Wiki moja tu kama mwaka
usiwachekee mwambie mke wako wanatakiwa wawe watii, au waondoke mara moja.
mimi dogo alianza kumchukulia poa shemeji yake, nikawambia dogo huyo siyo mke wako ni mke wangu mimi tu.



😋😋😋 Dah kama anakula mavi atakua anafaidi sana aisee.Sio copy n paste. Huyu yamemtokea mwenyewe. Ameoa kutoka familia duni isiyokua na malezi Bora. Yeye kaangalia sura na makalio. Acha ale mavi.
Ehee...tuelezee...... Funguka mama akeee tupate Cha kujifunzaNimecheka sana.Ila pole.
Moja ya kitu huwa sipend na haitatokea kuzoea ni suala la kubadilishiswa utaratibu wa maisha nyumbani kwangu. Never.. mbal na wagen , ma hauz girl pia wana hiz tabia kisa tu ukiwakosoa wanatishia kuondoka.Kwangu nilikataa..
Mama mkwe wangu (ni mnyakyusa kweli kwel,ila mi wale wa mhin so sijui mambo kibao) alikuja home kuuguzwa .bwana wee nilivumilia ila nikasema noo.ikabid anizoee tu.
Au labda anamsema kwa wadogo zake ndo maana wanafanya hivyo bila hofu ya shemeji yupo karibuHao ningewaonyesha segere moja flani kwa vitendo tu bila maneno wangekimbia wenyewe.
NB:
Mke wako atakuwa anakudharua sana ndiyo maana wadogo zake wanakuchukulia poa.
Ikawaje baada ya mama kupokea hizo habari???Jamaa mmoja alipokea mashemeji kama ww ila wao walikuwa wakiume, siku zikaenda siku madogo walikuwa wanaangalia match sa ta tano usiku laliga, jamaa alikuwa amelala mapema sa 3 sasa kushtuka, akawambia nenden mkalale kesho mtaangalia, sasa madogo walipopeleka taarifa kwa mama yao kwamba wananyanyaswa hawatakiwi waangalie TV, mama kapokea kama lilivyo anaona watoto wake wananyanyaswa,lkn Infact sio kwel, ila ndg ni kuishi nao kwa akili sometimes kama sio necessary wasije kuwatembeleen, ndugu ni lawama sana
Chaaaa!! Adabu zingine jamanile hali mtu anaweza ingia ndani bila kugonga mlango, na hata hajishtukii.
Hongera sanaHapanaaa.ilibid ni stick kwenye utaratib wa kwanza nikaweka msisitizo kwa vitendo wala sio maneno
Ila washamba wengi wanakua na heshima Hawa sijui Ni washamba wa wapiiKama Ni ushetu Ni ushamba unawasumbua si unajua tena hawa ndugu zetu wafuga ngombe walivyo washamba?
Maana yake ni kuwa hiki kisa sio Chako , hata tukishauri haina impactKwani hizo terminologies unazielewaje,?