Wageni wengine bwana du!

Wageni wengine bwana du!

Nawasalimu!
Naomba nieleweke nyumba inayotembelewa ndo nyumba yenye baraka. Hivyo nisitafsiriwe kama mchoyo. Ipo hivi nimetembelewa na shemeji zangu wawili mmoja 15 na mwengine 17 hivi,japo nimeshangaa kwetu sio rahisi kutembelewa na shemeji kama dada yao hujamuoa kindoa,sasa kama tulivyo wengi maisha yetu mi naishi kwenye nyumba yenye vyumba vitatu ,kimoja ni stoo ya mpunga na mahindi nilihofia lock down,kwa hiyo natumia vyumba viwili kimoja w atoto na kilichobaki sisi.
Sasa kwa heshima nimeona niwahamishie w atoto sebuleni wao walale kwenye kitanda cha w atoto.
Mambo yaliyo nishangaza kwa ndugu hawa;kuangalia sinema zetu kutwa nzima hadi taarifa ya habari ya saa mbili usiku mpaka niwaombe zaidi ya mara moja ndo waniruhusu, hakuna anaenisalimia asubuhi tunatazama wakati mwingine Mimi huwasalimia,ajabu mmoja alimanusura akeshe kwenye tv bila kujali makelele pale Maana w atoto wamelala kwenye Kochi na kiufupi ni nyumba nzima , sasa kali ya mwaka dogo kagoma kushuka kutoka kiti (office chair)tulikuwa tukula nje kwenye kivuli ,nilipo jaribu kumwambia vipi dogo utakulaje uko juu hivyo kajibu "sili juu nakula chakula". Nikakaa kimyaa. Dogo kasogeza kiti juu ya jamvi. tukala hivyo hivyo.
Jamani sijui wengine mmewahi kuyapitia haya, kwa mbali natamani waondoke hata kesho. Adabu yao ipo chini sijui wamelelewaje?.N.a. dada yao anaangalia tu.
Nawasilisha
(copy &paste).
Sasa si uwakanye maana hao ni kama wadogo zako tu.
 
Nawasalimu!
Naomba nieleweke nyumba inayotembelewa ndo nyumba yenye baraka. Hivyo nisitafsiriwe kama mchoyo. Ipo hivi nimetembelewa na shemeji zangu wawili mmoja 15 na mwengine 17 hivi,japo nimeshangaa kwetu sio rahisi kutembelewa na shemeji kama dada yao hujamuoa kindoa,sasa kama tulivyo wengi maisha yetu mi naishi kwenye nyumba yenye vyumba vitatu ,kimoja ni stoo ya mpunga na mahindi nilihofia lock down,kwa hiyo natumia vyumba viwili kimoja w atoto na kilichobaki sisi.
Sasa kwa heshima nimeona niwahamishie w atoto sebuleni wao walale kwenye kitanda cha w atoto.
Mambo yaliyo nishangaza kwa ndugu hawa;kuangalia sinema zetu kutwa nzima hadi taarifa ya habari ya saa mbili usiku mpaka niwaombe zaidi ya mara moja ndo waniruhusu, hakuna anaenisalimia asubuhi tunatazama wakati mwingine Mimi huwasalimia,ajabu mmoja alimanusura akeshe kwenye tv bila kujali makelele pale Maana w atoto wamelala kwenye Kochi na kiufupi ni nyumba nzima , sasa kali ya mwaka dogo kagoma kushuka kutoka kiti (office chair)tulikuwa tukula nje kwenye kivuli ,nilipo jaribu kumwambia vipi dogo utakulaje uko juu hivyo kajibu "sili juu nakula chakula". Nikakaa kimyaa. Dogo kasogeza kiti juu ya jamvi. tukala hivyo hivyo.
Jamani sijui wengine mmewahi kuyapitia haya, kwa mbali natamani waondoke hata kesho. Adabu yao ipo chini sijui wamelelewaje?.N.a. dada yao anaangalia tu.
Nawasilisha
(copy &paste).
Labda umewazoesha vibaya, vipi huyo dada yao alikukuta una nyumba au mlijenga kwa pamoja? mbona wanakudharau hivyo, umeshindwa kuwadhibiti kwa hilo mpaka uje jf kwa back up, ungenipa hao ndugu niishi nao japo kwa week moja tu wangenyoka
 
Nawasalimu!
Naomba nieleweke nyumba inayotembelewa ndo nyumba yenye baraka. Hivyo nisitafsiriwe kama mchoyo. Ipo hivi nimetembelewa na shemeji zangu wawili mmoja 15 na mwengine 17 hivi,japo nimeshangaa kwetu sio rahisi kutembelewa na shemeji kama dada yao hujamuoa kindoa,sasa kama tulivyo wengi maisha yetu mi naishi kwenye nyumba yenye vyumba vitatu ,kimoja ni stoo ya mpunga na mahindi nilihofia lock down,kwa hiyo natumia vyumba viwili kimoja w atoto na kilichobaki sisi.
Sasa kwa heshima nimeona niwahamishie w atoto sebuleni wao walale kwenye kitanda cha w atoto.
Mambo yaliyo nishangaza kwa ndugu hawa;kuangalia sinema zetu kutwa nzima hadi taarifa ya habari ya saa mbili usiku mpaka niwaombe zaidi ya mara moja ndo waniruhusu, hakuna anaenisalimia asubuhi tunatazama wakati mwingine Mimi huwasalimia,ajabu mmoja alimanusura akeshe kwenye tv bila kujali makelele pale Maana w atoto wamelala kwenye Kochi na kiufupi ni nyumba nzima , sasa kali ya mwaka dogo kagoma kushuka kutoka kiti (office chair)tulikuwa tukula nje kwenye kivuli ,nilipo jaribu kumwambia vipi dogo utakulaje uko juu hivyo kajibu "sili juu nakula chakula". Nikakaa kimyaa. Dogo kasogeza kiti juu ya jamvi. tukala hivyo hivyo.
Jamani sijui wengine mmewahi kuyapitia haya, kwa mbali natamani waondoke hata kesho. Adabu yao ipo chini sijui wamelelewaje?.N.a. dada yao anaangalia tu.
Nawasilisha
(copy &paste).
Una roho ngumu yani unawaacha watoto wanalala sebuleni tena kwenye makochi, halafu ndugu wa mchumba wako wanalala chumbani, we mzima kweli,
 
Jamaa mmoja alipokea mashemeji kama ww ila wao walikuwa wakiume, siku zikaenda siku madogo walikuwa wanaangalia match sa ta tano usiku laliga, jamaa alikuwa amelala mapema sa 3 sasa kushtuka, akawambia nenden mkalale kesho mtaangalia, sasa madogo walipopeleka taarifa kwa mama yao kwamba wananyanyaswa hawatakiwi waangalie TV, mama kapokea kama lilivyo anaona watoto wake wananyanyaswa,lkn Infact sio kwel, ila ndg ni kuishi nao kwa akili sometimes kama sio necessary wasije kuwatembeleen, ndugu ni lawama sana
 
Usiwasumbue watoto wako kisa wageni, labda kwa shida sana wawe wazazi.

Hao wahuni mlitakiwa muda wa kulala muwape shuka na muwaambie walale sebleni.

Kumbe una stock ya mchele na mahindi mwaya, hongera.
 
usiwachekee mwambie mke wako wanatakiwa wawe watii, au waondoke mara moja.

mimi dogo alianza kumchukulia poa shemeji yake, nikawambia dogo huyo siyo mke wako ni mke wangu mimi tu.
Alimchukuliaje!!! Alimtaka kimapenzi
 
Labda umewazoesha vibaya, vipi huyo dada yao alikukuta una nyumba au mlijenga kwa pamoja? mbona wanakudharau hivyo, umeshindwa kuwadhibiti kwa hilo mpaka uje jf kwa back up, ungenipa hao ndugu niishi nao japo kwa week moja tu wangenyoka
Week 1 ni muda mrefu sana, mimi in 2 hours wataomba pooo.
 
Nimecheka sana.Ila pole.
Moja ya kitu huwa sipend na haitatokea kuzoea ni suala la kubadilishiswa utaratibu wa maisha nyumbani kwangu. Never.. mbal na wagen , ma hauz girl pia wana hiz tabia kisa tu ukiwakosoa wanatishia kuondoka.Kwangu nilikataa..

Mama mkwe wangu (ni mnyakyusa kweli kwel,ila mi wale wa mhin so sijui mambo kibao) alikuja home kuuguzwa .bwana wee nilivumilia ila nikasema noo. ikabid anizoee tu.

Ulimpandishia sauti juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom