Hao watoto wana malezi mabobvu huko watokako na walikua hawamuheshimu dada yao tangu huko kwao, sababu heshima hakuna kwa dada usitegemee wewe shemeji utapata,
Hofu yangu ni kuwafundisha hizo tabia mbaya watoto wenu na pengine hata kuwa abuse nyie msipokuwepo,
Cha msingi ni kuongea na mke wako kua sasa inatosha watoto kulala kwenye makochi, wapatie nauli warudi kwao haraka iwezekanavyo, na next time mgeni yoyote akija kwako usiwatoe watoto wako walale kwenye kochi wala kulala chini, bali huyo mgeni ndie anapaswa kulala kwenye kochi au chini.