Wageni wengine bwana du!

Wageni wengine bwana du!

Ktk maisha yangu kitu ambacho siwezi ni kwenda kukaa kwa shemeji, mmmmh hapanaah.
 
Dah unahamisha wanao chumbani wakalale sebuleni kisa wageni!Acha tu wakuendeshe
 
Kosa la kwanza ni kuwahamishia wanao sebuleni bila kufahamu hao wageni watakaa hapo kwa muda gani. Wao wangefikia sebuleni,watoto wakabaki room kwao.
tena wakilala sebuleni ndio watakeleka wataondoka mapema mi kwangu chumba cha wageni sijakifanya luxury kabisa kuna kitanda tu cha tano kwa sita raha utazipata kwako sijui utake kochi na AC
 
Yaan nawaonea huruma hao watoto,ukute hata msosi hawapewi kipaumbele kisa wageni. Hapo sebulen penyewe itakua wakati wakulala mpaka wabembeleze ndo wapishwe walale halafu net hakuna
tena wakilala sebuleni ndio watakeleka wataondoka mapema mi kwangu chumba cha wageni sijakifanya luxury kabisa kuna kitanda tu cha tano kwa sita raha utazipata kwako sijui utake kochi na AC
 
usiwachekee mwambie mke wako wanatakiwa wawe watii, au waondoke mara moja.

mimi dogo alianza kumchukulia poa shemeji yake, nikawambia dogo huyo siyo mke wako ni mke wangu mimi tu.
Naogopa Ila naskilizia nahisi nitasema ,nimekosa uhuru na heshima kwangu.
 
Naogopa Ila naskilizia nahisi nitasema ,nimekosa uhuru na heshima kwangu.
kwako hutakiwi kuishi hivyo bana, amani pekee ambayo utaridhika kuipoteza ukiwa kwako ni ile inayochukuliwa na mamlaka, sio mtu mmoja, kikundi cha watu, au mnyama.

halafu hao ni watoto wadogo wanakutawala vipi!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom