Wageni wengine bwana du!

Wageni wengine bwana du!

hao kabila gani. Ila na wewe ni Bushoke, utatesaje watoto wako kwa ajili ya mashemeji? Jiangalie. Waambie waje kwangu waone asubuhi wanaondoka.
 
Pole sana Mkuu. Mtoto wa shemeji yangu kaja kukaa kwangu ili asome. Eti naye akajifanya "mwenye nyumba". Hanisalimii asubuhi wala mchana wala jioni. Siku moja anarudi toka shule alikuta vitu vyake vipo barabarani. Akapitilizia huko huko. Ila wewe wavumilie tu.
Waliondoka nashukuru ila kwa kweli sikuwasindikiza hata. Kuna mmoja juzi eti anatakarudi nimuajili kwenye salon yangu nmegoma.
 
Mimi ni mimi hua siwezagi kuvumilia ujinga eti kisa wageni watanionaje huyo dogo ninge mtwanga banzi ange tii amri kama mmbwa mkorofi anapo kutana na nondo ya kichwa
Wengine tukipiga mtu anaweza zimia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom