Nadhani kuna angle nalazimishwa kuifikiaNimecheka sana.Ila pole.
Moja ya kitu huwa sipend na haitatokea kuzoea ni suala la kubadilishiswa utaratibu wa maisha nyumbani kwangu. Never.. mbal na wagen , ma hauz girl pia wana hiz tabia kisa tu ukiwakosoa wanatishia kuondoka.Kwangu nilikataa..
Mama mkwe wangu (ni mnyakyusa kweli kwel,ila mi wale wa mhin so sijui mambo kibao) alikuja home kuuguzwa .bwana wee nilivumilia ila nikasema noo.😂😂😂 ikabid anizoee tu.
Natafuta hapa experiencesSasa hapo ubaba wako ukowapi...
Kama wewe baba mwenye nyumba unashindwa kukemea tabia mbaya ndani kwako, unadhani sisi ndio tutaweza kufika kwako ili tuwakanye..!!??
Sio kutawaliwa mi nilitaka wewe free kuenjoy bila kuchupa mipakakwako hutakiwi kuishi hivyo bana, amani pekee ambayo utaridhika kuipoteza ukiwa kwako ni ile inayochukuliwa na mamlaka, sio mtu mmoja, kikundi cha watu, au mnyama.
halafu hao ni watoto wadogo wanakutawala vipi!!!
sasa wameshindwa vigezo na masharti, wewe inaonekana ni wale aina ya watu wasiotaka kukwaza mtu kama mimi.Sio kutawaliwa mi nilitaka wewe free kuenjoy bila kuchupa mipaka
Yaani taabu tusasa wameshindwa vigezo na masharti, wewe inaonekana ni wale aina ya watu wasiotaka kukwaza mtu kama mimi.
ila lazima ujiwekee mipaka, ni bora kuishi na mtoto mvivu kuliko aliyekosa adabu, siku mtakunjana humo ndani utashangaa ujasiri wametoa wapi.
Kama Ni ushetu Ni ushamba unawasumbua si unajua tena hawa ndugu zetu wafuga ngombe walivyo washamba?Ushauri wako unanguvu!Ila ni kazi. Wametokea wilayani ushetu
Utakuwa usumbufu hata kwake akitaka kuangalia hiyo taarifa ya habariChomoa kadi king'amuzi.
Safiii...mi kwakwel najionaga mkoloni ila fresh tu.kwangu utaishi kwa kufuata taratibu zangu only
Nani amekuambia chumbani hata kukuwa na mkeka anajikunja vizuri anauchapa usingizi, mgeni mwenye dhamira ya kukaa kwa munda asie ba malengo ya kuondoka leo anakomaa eneo lolote utakalo mpa, as long anakula bure, anaangalia tv bure nktena wakilala sebuleni ndio watakeleka wataondoka mapema mi kwangu chumba cha wageni sijakifanya luxury kabisa kuna kitanda tu cha tano kwa sita raha utazipata kwako sijui utake kochi na AC




Labda wataenda kusema kwao shemeji mtatakwako hutakiwi kuishi hivyo bana, amani pekee ambayo utaridhika kuipoteza ukiwa kwako ni ile inayochukuliwa na mamlaka, sio mtu mmoja, kikundi cha watu, au mnyama.
halafu hao ni watoto wadogo wanakutawala vipi!!!
We unaweza kumfukuza shemeji yako?Fukuza hao kenge
Hivi wanaume wenzangu mkoje aisee? Mwanaume ndio head of the family. Sasa hapo wewe ndio unaendeshwa. Mke anakuendesha na familia yake inakuendesha. Umeshakubali iwe hivyo, na sasa kubadilisha mfumo ni ngumu. Kitu wanaume wanakosea ni kutokuwa na msimamo imara tokea mwanzoni. Jaribu kama unaweza kuwaleta kwenye msitari, ila sasa hivi utaonekana mbaya tu. Hata ivyo usijali kuonekana mbaya. Mwisho wa siku cha muhimu ni mke na watoto. Na kama mke anazingua sana na kukupatia stress kila siku, mwambie abadilike au utaanza jali watoto tuNawasalimu!
Naomba nieleweke nyumba inayotembelewa ndo nyumba yenye baraka. Hivyo nisitafsiriwe kama mchoyo. Ipo hivi nimetembelewa na shemeji zangu wawili mmoja 15 na mwengine 17 hivi,japo nimeshangaa kwetu sio rahisi kutembelewa na shemeji kama dada yao hujamuoa kindoa,sasa kama tulivyo wengi maisha yetu mi naishi kwenye nyumba yenye vyumba vitatu ,kimoja ni stoo ya mpunga na mahindi nilihofia lock down,kwa hiyo natumia vyumba viwili kimoja w atoto na kilichobaki sisi.
Sasa kwa heshima nimeona niwahamishie w atoto sebuleni wao walale kwenye kitanda cha w atoto.
Mambo yaliyo nishangaza kwa ndugu hawa;kuangalia sinema zetu kutwa nzima hadi taarifa ya habari ya saa mbili usiku mpaka niwaombe zaidi ya mara moja ndo waniruhusu, hakuna anaenisalimia asubuhi tunatazama wakati mwingine Mimi huwasalimia,ajabu mmoja alimanusura akeshe kwenye tv bila kujali makelele pale Maana w atoto wamelala kwenye Kochi na kiufupi ni nyumba nzima , sasa kali ya mwaka dogo kagoma kushuka kutoka kiti (office chair)tulikuwa tukula nje kwenye kivuli ,nilipo jaribu kumwambia vipi dogo utakulaje uko juu hivyo kajibu "sili juu nakula chakula". Nikakaa kimyaa. Dogo kasogeza kiti juu ya jamvi. tukala hivyo hivyo.
Jamani sijui wengine mmewahi kuyapitia haya, kwa mbali natamani waondoke hata kesho. Adabu yao ipo chini sijui wamelelewaje?.N.a. dada yao anaangalia tu.
Nawasilisha
(copy &paste).
We unaweza kumfukuza shemeji yako?
Watajisikia vibaya wakati wewe unaumia? Na ukiumia unapata stress na hata kuhudumia watoto vizuri unashindwa na maendeleo yanarudi nyuma. Wajisikie vibaya kabisaaaa. Africa ni mambo kama haya yanaturudisha nyuma. Watu wajifunze kuwa wapambanaji. Hao vijana 15 and 17, wana wazazi. Walipowazaa walikuhusisha kwamba utakaa nao na kupata mateso juu yao? Wanatakiwa wawe na wazazi wao huko walipo. Mtoto ni jukumu la wazazi na sio shemeji. Simama imara kwa nyumba yako aisee.Nahofia watajisikia vibaya
Kama ana mambo ya kibwege namtoa mbio tuWe unaweza kumfukuza shemeji yako?